Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Nimegundua humu Jf kuna watu mnajitahidi kujadili msaada ambazo pengine zimepita uwezo wenu wa kufikiria.TISS ni kubwa sana tofauti na mnavyofikiria. TISS ni dubwasha moja lenye mgawanyiko mkubwa ndani yake. Ndani ya TISS kuna kitengo kinaitwa PSU (Presidential Security Unit) ambao hao uliowataja kwa kuwaita wanyarwanda ni miongoni mwao, na upatikanaji wao ni tofauti kabisa na mnavyofikiria.

yaani unavyoipamba TISS kwa kuifananisha na dubwasha, unaweza sema ni dubwasha kweli.

ikifika katika uweredi na umahiri wa mashirika ya ujasusi, tiss ni kipunje kidogo sana cha mchanga.

haya ndio madubwana ya ujasusi duniani.
US — Central Intelligence Agency (CIA)

UK — Secret Intelligence Service (MI6)

Israel — Institute for Intelligence and Special Operations (Mossad)

Pakistan — Inter-Service Intelligence (ISI)

Russia — Foreign Intelligence Service (SVR)

France — General Directorate for External Security (DGSE)

China — Ministry of State Security (MSS -- which covers both internal and external security)
 
Hata na mm nimehisi ni walizi pale camera inapoonyesha sura mara bili yaan alifika mwisho akageuza
Ishi na watu kwa wema binaadamu wana mwengine kwenye nafsi zao!
Sio kila anae kuchekelea hana account ya maovu yako moyoni kwake!
 
Poor IT system management , very poor security system, huwezi tegemea usiri wa mtu hata dakika moja, implement new technology and management basi mtawakamata wote wanao toa habari au kutuma picha.

TISS bado wanafanya manually tena kwa mdomo, sim card zao haziko locked, wanatakiwa TISS na Ikulu iwe na private network yao ambayo itaruhusu information sharing within the system, sim card locked and monitored, hata waki screen Short wanaonekana, wakiongea wana onekana, waki text wana onekana, wakituma photo wana onekana, computer zao ziwe locked wakituma email, photos, docs wana onekana, copy any thing from their laptop isiwezekana until approval hata kama atacopy bado kuna message itaonyesha kuwa due to security reasons you are not allowed to copy any thing hehe , hii kitu inawezekana na nimekuwa kwenye company zenye ushindani mkubwa na wanaibiana information kila siku between USA and china, I can help you guys.

Kingine ni kuweka encryption on sending docs, huu mchezo tumefanya sana, nilikuwa na uwezo wa kutuma docs kwa watu 20 au picha au text lakini katika hao 20 ni wawili tu wanaweza fungua , TISS hii 80% wana mifumo ya kizamani, wanatakiwa to invest more in technology.
 
Tatizo lilianzia pale ambapo hao kitengo walianza kuchukua watu kutoka katika chama na siyo kuwa na mfumo wao unaojitegemea katika kuajiri..

Wakiweza kusafisha hilo basi wamefanikiwa.
 
Nimekuelewa kabisa, kwamba:
1. Watengeneze VLAN yao peke yao Tanzania nzima
2. Watumie encryption---data zao zote ziwe zinakuwa routed zikiwa encrypted
3. Watumie PUK codes kuhakikisha simu-card zao ziko locked

Kwa hali ya namna hii. anayeweza ku-leakisha taarifa uwezekano mkubwa ni yule ambaye ni mmoja wao, kwa yule wa nje inakuwa SIYO KAZI RAHISI SANA, japo inawezekana pia
 
Kwani wewe ni muhalifu wa mtandaoni mpaka umeacha kutumia hizo social platform. Au uligundua nini hatarishi kwa upande wako ukaacha kutumia??
Aliyetoa Hoja Kasema Hatumii
Mbona Wewe Una Kichwa Kigumu Sana Pot
 
[emoji38][emoji38] naratibu sasa usije niua, nimekosea badala ya kum quote yeye nimeku quote wewe. Sorry kaka!
Nitakufanyizia Kazi Vizuri
Nasema Uongo Ndugu Zangu
😂😁😀😅😄😃
 
TISS imeingiliwa na wana siasa. haswa chama tawala. ukishakuwa kada wanakusukumizia huko.. hawajali kuhusu qualifications.

zamani TISS walikuwa wana recruit smart peoples tu. na kazi za weledi zilionekana.
lakin sasa hivi makada ndio usalama..nmatokeo yake tunapata watumishi wasio na weledi.

na huu ni mwanzo.tu.

The worst thing is that even the Intelligence fraternity is divided according to their political allegiances!!! Ndio maana wakina Membe & co. waliweza kupata siri za serikali!!! Mama Samia ni lazima arekebishe hali hiyo nae atasaidiwa tu kama atabahatika kumpata makamu wa RAIS asiyetokana na makundi ndani ya ccm!
 
Watakuja hapa na porojo zao watakwambia "wewe huijui tiss, ni dubwasha kubwa sana limepenya kila sehemu ya nchi....watakwambia wapo vichaa, machangudoa, barmaid nk. ni tiss waliobobea kutaka information gathering.

kumbe ni utopolo mtupu, vijana wengi waliopachikwa huko hata ile basic knowledge ya ku troubleshoot computer hawana.
 
Mkuu unakuwa mjinga kidogo.

Watu wasiporidhika ni vigumu sana kuwanyamazisha.

YOU CANT SILENCE THE WORLD.

Kwamba vyombo vingi vimenyamazishwa siyo kwamba watendaji wote wanaipenda hali hiyo.
Kila binadamu anayo nafsi inayomtuma kutenda sawa hata kama kuna watu hawapendi ukweli ujulikane.
👊👊
 
Back
Top Bottom