Lucas philipo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,039
- 2,676
Tena wa ajabu sana.Vijana wa hovyo sana nyinyi,sizani kama mnastahiki kuitwa ni Taifa la kesho
Fanya kazi hakuna cha bure, Unataka Rais akupe pesa ya kula?Tena wa ajabu sana.
Yaani hawa ndio wanamfanya Rais aone mambo yako bam bam mtaani kumbe wananchi wanalia.
Au ndo kusema jerojero zinafanya kazi?
Hovyo kabisa, mnasifia hadi dunia inatushangaa!
Huku mtaani kila kitu kimepanda then mtu anakuja kuropoka tu mitandao.
Daah.
Safari bado sana kwa vijana kama hawa.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Idiot!!Fanya kazi hakuna cha bure, Unataka Rais akupe pesa ya kula?
Umeme mbona Case closed!! Wewe uko Tanzania?Idiot!!
Bora ukae kimya jombaa, acheni sifa za kijinga kisa mnalipwa.
Unasifia nini huku umeme unakatika hovyo au kazi unazosema tutazifanyia puani mwako?
Damn !
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Acha mambo ya ajabu,!!Umeme mbona Case closed!! Wewe uko Tanzania?
Wasaka tonge au sio?Hatimaye Tanzania yarudi enzi kuwa shamba la bibi!.
Wewe ni zaidi yake kwa upunguani, hii inajulikana kirahisi sana kupitia unayoweka humu JF.Daaah kweli huyo mjomba ni punguani au niwewe
Una 'ujabali' gani kama siyo uchizi!Daaah kweli huyo mjomba ni punguani au niwewe
Mbwiga unatafuta bwana kwa nguvu.CHADOMO WANAHAHA SANA
Sehemu gani DSM Mjomba?Acha mambo ya ajabu,!!
Dsm leo siku ya nne maeneo hayana maji, umeme unakatika kila uchwao halafu unauliza such illogical question?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wewe ni wakupuuzwa tu
Kuwa muungwana,Naogopa ban
CHADOMO ni ileileCCM ni ile ile......... Praise Team kazini
Mafisadi mnasherekea ukombozi baada ya mwamba kupumzikaKiukweli Tanzania iko salama mikononi mwa Rais SSH hasahasa;
1. Hakuna kikundi cha wasiojulikana kilichokuwa kinateka na kuua
2. Hakuna matusi kwenye majukwaa kama yule dikteta alivyokuwa anasema "Baki na mavi yako"
3. Hakuna task force ya TRA iliyokuwa inanyang'anya wafanyabiashara fedha zao
4. Hakuna TAKUKURU iliyokuwa inabambikiza watu makesi ya uwongo
5. Hakuna matumizi mabaya ya fedha za Serikali kama kujenga Airport Kijijini Chato
6. Hakuna matakwimu ya uwongo kama vile kukua kwa uchumi by 7.8% wakati ukweli ni 4.2%
7. Hakuna uwongo wa kusema tunajenga kwa fedha zetu wakati tunakopa kwenye mabenki ya kimataifa
Uko sahihi sanaUmesahau,
Uhuru wa mahakama,
Demokrasia,
Uhuru wa kujieleza
Uhusiano kimataifa,
Ujenzi wa LNG
Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo
Ujenzi wa SGR
ujenzi wa SG