Tanzania huenda ikatuchukua karne nzima kumpata Rais Samia mwingine

Tanzania huenda ikatuchukua karne nzima kumpata Rais Samia mwingine

Vijana wa hovyo sana nyinyi,sizani kama mnastahiki kuitwa ni Taifa la kesho
Tena wa ajabu sana.

Yaani hawa ndio wanamfanya Rais aone mambo yako bam bam mtaani kumbe wananchi wanalia.

Au ndo kusema jerojero zinafanya kazi?

Hovyo kabisa, mnasifia hadi dunia inatushangaa!

Huku mtaani kila kitu kimepanda then mtu anakuja kuropoka tu mitandao.

Daah.

Safari bado sana kwa vijana kama hawa.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tena wa ajabu sana.

Yaani hawa ndio wanamfanya Rais aone mambo yako bam bam mtaani kumbe wananchi wanalia.

Au ndo kusema jerojero zinafanya kazi?

Hovyo kabisa, mnasifia hadi dunia inatushangaa!

Huku mtaani kila kitu kimepanda then mtu anakuja kuropoka tu mitandao.

Daah.

Safari bado sana kwa vijana kama hawa.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Fanya kazi hakuna cha bure, Unataka Rais akupe pesa ya kula?
 
CCM ni ile ile......... Praise Team kazini
 
Nahisi kama ni Msoga GANG vs Push GANG! Anyway nadhani naota.
 
Kiukweli Tanzania iko salama mikononi mwa Rais SSH hasahasa;
1. Hakuna kikundi cha wasiojulikana kilichokuwa kinateka na kuua

2. Hakuna matusi kwenye majukwaa kama yule dikteta alivyokuwa anasema "Baki na mavi yako"

3. Hakuna task force ya TRA iliyokuwa inanyang'anya wafanyabiashara fedha zao

4. Hakuna TAKUKURU iliyokuwa inabambikiza watu makesi ya uwongo

5. Hakuna matumizi mabaya ya fedha za Serikali kama kujenga Airport Kijijini Chato

6. Hakuna matakwimu ya uwongo kama vile kukua kwa uchumi by 7.8% wakati ukweli ni 4.2%

7. Hakuna uwongo wa kusema tunajenga kwa fedha zetu wakati tunakopa kwenye mabenki ya kimataifa
Mafisadi mnasherekea ukombozi baada ya mwamba kupumzika

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Back
Top Bottom