Tanzania huenda ikatuchukua karne nzima kumpata Rais Samia mwingine

Yan haitoweza kutokea tena..ni kwel kabisa..naunga mkono hoja
 
Kaziiendelee
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Kaziindelee
 
Duuuh! Sikuuona huu uzi. Safi sana.

Hizi ndio propaganda machines ambazo mama anatakiwa kufanya nazo kazi, sio suala la kushangaa shangaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…