Tanzania huenda ikatuchukua karne nzima kumpata Rais Samia mwingine

Polepole upo sahihi lakini ungeyasema hayo kipindi upo kwenye nafasi nyeti chamani.
 
Ni kweli kabisa ni wa kipekee maana alisimama na misimamo take kuhusu korona weee hatimaye.....!( This is a scientific issue) lazima kama msomi ukubaliane na scie activities)
 
Naona wapambe wa chief Hangaya mnapiga propaganda mfu. Ni hivi, mama wa kambo si mama.
Umesahau,

Uhuru wa mahakama,
Demokrasia,
Uhuru wa kujieleza
Uhusiano kimataifa,
Ujenzi wa LNG
Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo
Ujenzi wa SGR
ujenzi wa SG
 
Hawa chawa wasiokuwa na staha yoyote sijui wanaokotwa wapi.

Huyo Rais Samia aliyekuwepo kachukuliwa na nani; au na yeye kamfuata mtangulizi wake?

Hivi kweli watu kama huyu mleta mada hapa nao wanahesabika huko wanakotoka kwamba wapo mapambanoni kumpamba anayewalisha?

Unaleta mada kama hii hapa, unataka watu wajadili nini?

Niseme tu, ninakujibu hivi hapa kufuatana na kichwa cha mada yako. Kama kuna mambo umeyaandika huko chini siyajui mimi. Kwa kawaida huwa sisomi mada za kipuuzi kama ijionyeshavyo kwenye kichwa cha habari.
 
Ni lini tutampata Samia mwingine anayezurura kila kukicha na ndege juu mawinguni akituacha wananchi wake ardhini?

Ni lini tutampata Samia mwingine ambaye amejitahidi kuongeza mfumuko wa Bei hata kwa vitu visivyo luxury Kama Rim Paper,Mafuta ya kupika na Petrol


Huyu mama alianza vizuri sana hata siye tulomchukia Mwendazake na kikosi chake tulimpenda Mama lakini mama kama anaanza kugonga miti
 
Heshima ni kitu cha BURE jifunze kuandika Kwa staha
Kwani harembui? We huoni mijicho yake ile ilivyolegezwa?

Amiri jeshi gani anarembua? Anaaibisha nchi.

Amiri jeshi gani hawezi hata kufoka japo kidogo atie mikwara ya kutisha wazembe?

Au ndo mambo ya kizenji? Ulegevu na kurendemka?
 
HAKUNA KAMA #SSH,INCHI ILIHARIBIKA HII NDG,KWA MAMBO 75%FICTIONS, AND ILLUSIONS,KWA SASA INAKAA KWENYE MSTARI TARATIBU UNDER HIGH SUPERVISION MDA SIO MREFU WATANZANIA TUTAFURAHI SANA.
 
Mungu wewe upo uliko unajuwa siri nzito sana.
 
CHADEMA wanalia sana aise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…