Nadhani ili taifa liweze kuendelea na kupambana na matatizo ya kiuchumi nilazima mfumo wa utawala ubadilike.
Kwanza idadi ya vyama vya siasa ipungue
Pili iundwee selikali ya kitaifa ambayo vyama vyote vitakuwa na nafasi serikalini. Hii italeta ushindani na uwajibikaji wenye tija zaidi.
Tatu, masuala ya serikali yasiwe mlango wa kichama bali taifa liwe na milango yake na vyama vyote vinadi sera zao wakieleza namna ya kutimiza mpango huo.
Mwisho kabisa ukuzaji wa viwanda vidogo na vikubwa utiliwe mkazo na serikali itoe mitaji kwa watanzania ili iweze kuwa na walipa kodi wa uhakika.
Kwanza idadi ya vyama vya siasa ipungue
Pili iundwee selikali ya kitaifa ambayo vyama vyote vitakuwa na nafasi serikalini. Hii italeta ushindani na uwajibikaji wenye tija zaidi.
Tatu, masuala ya serikali yasiwe mlango wa kichama bali taifa liwe na milango yake na vyama vyote vinadi sera zao wakieleza namna ya kutimiza mpango huo.
Mwisho kabisa ukuzaji wa viwanda vidogo na vikubwa utiliwe mkazo na serikali itoe mitaji kwa watanzania ili iweze kuwa na walipa kodi wa uhakika.
Upvote
1