Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
- Thread starter
- #21
Mim sijaongelea mikoa mingine ebu jikite kwenye uziMikoa mingine ambayo watu wanaongezeka, ukifanya utafiti wengi ni Wachaga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mim sijaongelea mikoa mingine ebu jikite kwenye uziMikoa mingine ambayo watu wanaongezeka, ukifanya utafiti wengi ni Wachaga.
Mim sijaongelea maisha Bora na sijafanya comparison na jamii nyingine nimeongelea mkoa wa KilimanjaroHayo maswali yako ni rahisi sana kuyajibu, Jamii ya wachagga ni jamii inayo jishughulisha sana kwenye masuala ya maendeleo hususani biashara n.k
Cha msingi kuwa na maisha bora kuweza kumudu kusaidia familia kuwa katika hali nzuri n.k sasa basi kutokana na hali hiyo mchagga lazima atoke kwao ili atoboe ni lazima akajichanganye popote panapo wezekana ili apate chochote kitu.
Hili ni jambo la kawaida sana kwa jamii hii tofauti sana na jamii zingine hapa nchini ambazo huwa hawa sanuki mapema kuanza harakati za kimaendeleo ikiwemo ku make mkwanja ndio maana kwa asilimia kubwa sana nchi hii wachaga wana miliki pesa ndefu sana ukilinganisha na jamii zingine.
Lakini pamoja na hayo yote jamii zingine hapa nchini kwa sasa zimeamka sii haba wana jichanganya na kufanya harakati zao za kusaka noti sehemu mbali mbali nchini na kwingineko duniani.
Sababu kubwa ni kwamba Kilimanjaro maisha ni magumu sana na hakuna fursa. Mimi mwenyewe naishi huku na ninapambana sana kuhama.Sensa imetuonesha kwamba wachaga wengi na wapare wanaishi nje ya mkoa wa Kilimanjaro.
Siwez kusema kama ni jambo zuri au baya.
You're defending your ego. Angesema ya kuinyanyua ego yako usingempinga ama kumwambia ivyo ego is real in human beingAcha kukariri,wape wasafishe mtaro
Pole sana kama hata kuhama ni shida basi umenasa pabayaSababu kubwa ni kwamba Kilimanjaro maisha ni magumu sana na hakuna fursa. Mimi mwenyewe naishi huku na ninapambana sana kuhama.
Kwani Kilimanjaro nzima ni wachagga tu? Kwani watoto wanaoandikishwa darasa la kwanza mikoa mingine hakuna kichagga? Kwani sensa inaonesha idadi ya watu mkoani kilimanjaro imeshuka, ingawaje si wote ni wachagga?Ukienda mkoa wa Kilimanjaro utashangaa mambo yafuatayo haya matatizo hayako tu uchagani bali hata upareni yapo
Idadi ndogo ya wanafunzi wanaoandikishwa darasa la kwanza, huku mikoa mingine wanafunzi wakiwa wengi na wengine wanakaa chini Hali ni tofauti mkoa wa Kilimanjaro idadi ya wanafunzi inazidi kushuka kila miaka inavyozidi kwenda Kuna shule inaandikisha darasa la kwanza wanafunzi 10, Kuna nyingine iliandikisha wa-nne
Nyumba nyingi kuwa empty hili ni tatizo lingine kubwa Kuna idadi kubwa sana ya nyumba hazina watu na ukienda vijijini Hali ndo mbaya Zaid nyumba nzuri nyingine gorofa Ila hazina watu sanasana utamkuta kijana mmoja tu ambaye Yuko kwa ajili ya kuziangalia
Vijiji mkoa wa Kilimanjaro havina watu kama umepanga kwenda kukaa week kwa Ile Hali ya vile vijiji vyao utajikuta umehairisha hakuna watu kabisa yaani in-short mkoa wa Kilimanjaro una ukiwa sio sawa na kipindi tunakua
Changamoto nyingine hakuna vijana Kuna kijiji nilienda kijiji kizima kijana ni mmoja ambaye ni bodaboda wengine waliobaki ni watu wa miaka 40 na kuendelea ni nadra sana kumuona kijana wa miaka 20's
Ukihamia Kilimanjaro na ukatoboa basi jua ungekuwa kwenye majiji ungetoboa zaidi.Huko Kilimanjaro watu hawaendi kutafuta maisha
Uzao wa panya unajulikana hata ukivishwa kaniki.ukiona hivyo ujue nimkoa ambao hauna fursa ukibaki huko utabaki maskini. halafu shida nyingine wanaoa kamke kamoja kamoja kamavile nimahanithi unamkuta mtu anavitoto viwilitu vya dawa.
hatuongelei kuhusu panya mkuu.Uzao wa panya unajulikana hata ukivishwa kaniki.
Wewe endelea kuzaa watoto wengi maana anayepokea hiyo mimba ni wewehatuongelei kuhusu panya mkuu.
Ule mkoa sio maskin hata ukiangalia kwa kipato wako vizuriukiona hivyo ujue nimkoa ambao hauna fursa ukibaki huko utabaki maskini. halafu shida nyingine wanaoa kamke kamoja kamoja kamavile nimahanithi unamkuta mtu anavitoto viwilitu vya dawa.
oeni wanawake hata wawili/watatu msipende kukaa Kama machoko wanao subiri kupumuliwa.Wewe endelea kuzaa watoto wengi maana anayepokea hiyo mimba ni wewe
Nimejibu kutokana na alichokiandika, huwezi kusema wachagga ni mahanithi kwakuwa wanaoa mkeo mmoja na kupata watoto 2.hatuongelei kuhusu panya mkuu.
wapo vizuri wapi? wakati vijana wahuko kaziyao nikulewa nakufirw Pamoja nakuvuta bangi pamoja namatomboy/dada zaoUle mkoa sio maskin hata ukiangalia kwa kipato wako vizuri
Serikali inabidi iwekeze kule ijenge viwanda, ifungue kambi za jeshi ili uchumi ukue pesa zipatikane mtaani.Huko Kilimanjaro watu hawaendi kutafuta maisha
Duuu ina maana kilamanjaro ni pangumu kufanya maisha na kuo au kuolewa? vijana wanaishi Kilimanjaro kufanikiwa kimaisha wakiwa Kilimanjaro inaoneka ni jambo ambalo haliwezekani?Sis tulizaliwa 15 ila sasa wako baba na mama peke yao
Uko lazima uwe mtumishi wa serikali ndiyo utaweza kuishiSababu kubwa ni kwamba Kilimanjaro maisha ni magumu sana na hakuna fursa. Mimi mwenyewe naishi huku na ninapambana sana kuhama.