Tanzania idadi ya watu imeongezeka lakini hali sio nzuri mkoa wa Kilimanjaro

Mim sijaongelea maisha Bora na sijafanya comparison na jamii nyingine nimeongelea mkoa wa Kilimanjaro
 
ukiona hivyo ujue nimkoa ambao hauna fursa ukibaki huko utabaki maskini. halafu shida nyingine wanaoa kamke kamoja kamoja kamavile nimahanithi unamkuta mtu anavitoto viwilitu vya dawa.
 
Kwani Kilimanjaro nzima ni wachagga tu? Kwani watoto wanaoandikishwa darasa la kwanza mikoa mingine hakuna kichagga? Kwani sensa inaonesha idadi ya watu mkoani kilimanjaro imeshuka, ingawaje si wote ni wachagga?
 
Huko Kilimanjaro watu hawaendi kutafuta maisha
Ukihamia Kilimanjaro na ukatoboa basi jua ungekuwa kwenye majiji ungetoboa zaidi.

Mfano sisi kwenye group la whatsApp tuliokuwa na kusoma pamoja waliopo Moshi kwa sasa hawazidi hata 5, wengine wote tupo mikoa ya watu huku
 
ukiona hivyo ujue nimkoa ambao hauna fursa ukibaki huko utabaki maskini. halafu shida nyingine wanaoa kamke kamoja kamoja kamavile nimahanithi unamkuta mtu anavitoto viwilitu vya dawa.
Uzao wa panya unajulikana hata ukivishwa kaniki.
 
ukiona hivyo ujue nimkoa ambao hauna fursa ukibaki huko utabaki maskini. halafu shida nyingine wanaoa kamke kamoja kamoja kamavile nimahanithi unamkuta mtu anavitoto viwilitu vya dawa.
Ule mkoa sio maskin hata ukiangalia kwa kipato wako vizuri
 
hatuongelei kuhusu panya mkuu.
Nimejibu kutokana na alichokiandika, huwezi kusema wachagga ni mahanithi kwakuwa wanaoa mkeo mmoja na kupata watoto 2.

Unaoa na kutafuta watoto kutokana na nguvu zako katika majukumu ya kuilea familia. Kuna watu wana wake na watoto wengi lakini hawawezi kutimiza majukumu yao katika ulezi.
 
Ukimkuta kijana anaishi Kilimanjaro miezi 12 ya mwaka chunguza akili yake.

Ule mkoa haufai kuishi kabisa. Hakuna changamoto, hela ngumu, watu wachoyo, wabahili.

Ila ni pazuri kwenda kutalii. Pale Moshi hali ya hewa yenyewe ni utalii tosha
 
Sis tulizaliwa 15 ila sasa wako baba na mama peke yao
Duuu ina maana kilamanjaro ni pangumu kufanya maisha na kuo au kuolewa? vijana wanaishi Kilimanjaro kufanikiwa kimaisha wakiwa Kilimanjaro inaoneka ni jambo ambalo haliwezekani?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…