Tanzania iitake VOA kuomba Msamaha kwa habari yake ya Uzushi na Uongo

Acha ujinga wako hapa.kwa hiyo hapo ni wapi waliposema na kuonyesha kuwa tunagawa madini yetu na migodi yetu kama karanga za kuonja. Unaelewa maana ya ushirikiano? Au umekurupuka tu huko.
Wewe unaweza kushiriakana na Korea? Kwa ujuzi upi ulionao ?
Tanzania ina nini Hadi ishirikiane na Korea
 
Wachawi wanatusumbua tu, wangekuwa wanaroga KENGE kama hizi za kuitwa chawa, wangekuwa wanafanya la maana saana.

Peleka kikundu juu hizi chawa.
 
Ndungai Aliona mbali CCM mnakopa mikopo ya kuliangamiza taifa
 
Muda utaongea 😄

Ila jamaa wanakuja kuwekeza bana na kuchuma si mchezo
Wenzetu wana mipango

Ova
 
Wewe LOFA usipende kushabikia UJINGA Kwa kitu ambacho hukijui.

Serikali yako hii ya kifala imekiri kuingia mikataba ya madini na Korea alafu wewe unakuja na upuuzi.
View attachment 3008346
President Yoon Suk Yeol met the leaders of Tanzania
: 2024-06-02 20:45:00

언어 변경하기
Change font
share
사진 확대
On the 2nd, two days before the South Korea-Africa Summit in Seoul, President Yoon Suk Yeol is taking a commemorative photo with Tanzanian President Samia Suluhu Hasan before the South Korea-Tanzania summit held at the Presidential Office in Yongsan. Reporter Lee Seung-hwan.
President Yoon Suk Yeol, who entered the African summit diplomatic schedule, held a series of meetings with the leaders of Tanzania and Ethiopia on the 2nd to discuss cooperation measures such as expanding core mineral trade.

President Yoon met with Tanzanian President Samia Suluhu Hasan in the presidential office this afternoon to agree to start negotiations on the Economic Partnership (EPA) between the two countries, signed a memorandum of understanding (MOU) on the supply chain of key minerals, and even held a luncheon meeting. He also signed an MOU and held dinner meetings with Ethiopian Prime Minister Abiy Ahmed Ali.


"We are pleased to be the first African country to declare the start of EPA negotiations with Tanzania, and we hope that the agreement will be signed as soon as possible to contribute to diversifying trade items and increasing trade volume between the two countries," the president's office said in a statement after a luncheon meeting with the Tanzanian leaders later in the day.

President Yoon is conducting summit diplomacy with leaders of African countries ahead of the Korea-Africa Summit to be held on the 4th and 5th. 48 African countries have accepted the invitation to the summit, of which 25 top-level leaders are scheduled to visit Korea.


President Yoon also held an interview with AFP on the occasion of the summit. "Korea is a high-tech manufacturing powerhouse, but it relies on imports for more than 95% of its raw materials," President Yoon said in an interview. "We will lay the foundation for comprehensive cooperation such as exchange of information related to core minerals, technical cooperation, and joint exploration."

African countries are reportedly hoping to share Korea's experience of becoming an advanced country from a developing country in half a century and participate in various infrastructure construction.

[Reporter Ahn Junghoon]
 
Pumbafu watu wakiusema ukweli mnaanza kulia Lia INCHI YETU INAUZWA NYIE MNASHANGILIA UCHAWA WENU UNALIGALIMU TAIFA MAFALA NYIE
 
Kama unashabikia na kushadadia uzushi na uongo wa VOA basi utakuwa na matatizo makubwa sana ndugu yangu
 
Wachawi wanatusumbua tu, wangekuwa wanaroga KENGE kama hizi za kuitwa chawa, wangekuwa wanafanya la maana saana.

Peleka kikundu juu hizi chawa.
Bila shaka umeishiwa hoja na hoja yangu imekupiga kwelikweli kichwani mwako mpaka umeishia kutukana matusi tu. Na bado naendelea kukushushia nyundo mpaka UFE
 
VOA habari zake ni za kuaminika sana
 
Kama unashabikia na kushadadia uzushi na uongo wa VOA basi utakuwa na matatizo makubwa sana ndugu yangu
Leo tutaelewana tu, hakuna popote niliposhadadia/kuunga mkono/wala kupinga chochote kuhusu jambo hili, nimesema bado ni mapema sana kukubali au kukanusha,nimekupa na mifano ya akina Zitto walivyotukanwa bungeni miaka hiyo kwa jambo ambalo lilikuja kudhihirika kuwa ni la kweli baadae, so its a bit too early to say yes, or No, punguza papara,utaaibika.
 
Unataka kudhalilika?
 
Hawa ni wahuni tu
 
Tuleteeni Mkataba tuusome tujue nani mkweli.

Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…