Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
Hao VOA hawaifikii CCM kwa uongo na ulaghai, toeni kwanza boriti kwenye macho yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni kwa akili yako inayonyonya vitu bila kuchambua.VOA habari zake ni za kuaminika sana
Tangia lini hoja ikajibuwa kwa namna hii? Ndio nani alikufundisha ujibuji huu wa hoja?Hao VOA hawaifikii CCM kwa uongo na ulaghai, toeni kwanza boriti kwenye macho yenu
Kwa hiyo wewe hao VOA ndio Mungu wako? Ndio akili yako ilipoishia hapo?Bwana lucas ifike pahala uwe unatumia ubongo wako wa kuzaliwa, tangu lini VOA wakaleta habari za uongo? Sisi sio wajinga na chawa kama wewe...
Waambie waweke ushahidi uone kama wanao zaidi ya upashikuna na uzushi tu kama mnavyofanyaga ma CHADEMA.VOA wana kila kitu kuthibitisha maandishi yao mnataka waombe radhi kwa lipi?
Utakimbia wewe na ujinga wako.IPO SIKU mtatamani kuikimbia mama Tanzania na hamtakua na nafasi hiyo Mungu ni mwema sana
Haya bwana lucas kila la kheri katika safari yako ya kumpambania Mama Samia mi5 tena🤣Kwa hiyo wewe hao VOA ndio Mungu wako? Ndio akili yako ilipoishia hapo?
Chawa sasa kawa mshauri wa serikali, hoja Yako haina mashiko. Endelea tu kusifia huenda ukalambishwa teuziTangia lini hoja ikajibuwa kwa namna hii? Ndio nani alikufundisha ujibuji huu wa hoja?
Waambie walete na kuweka ushahidi hadharaniUnataka kudhalilika?
Hata ukijifanya hujui ila ukweli unao na vidampa wote walumumba mnakopa pesa zakutanua na wasanii wa bongo moveUtakimbia wewe na ujinga wako.
Luca isije kuwa tunachukua ya kausha damu mwisho tukaanza kukimbiza na drips za damu☺️Ndungai Aliona mbali CCM mnakopa mikopo ya kuliangamiza taifa
Nchi yetu na rasilimali zake zipo katika mikono salama ya Rais Samia.ndio maana Inaendelea kupaa kimaendeleo na kuendelea kuaminika kwa wadau mbalimbali wa maendeleo.Hata ukijifanya hujui ila ukweli unao na vidampa wote walumumba mnakopa pesa zakutanua na wasanii wa bongo move
Mkopo ni wa masharti nafuu kabisa wenye riba ya 0.01% na utalipwa kwa muda wa miaka 40.Luca isije kuwa tunachukua ya kausha damu mwisho tukaanza kukimbiza na drips za damu☺️
Uthibitisho wa unafuu huo na dhamana ni nini kwa taifa🤔Mkopo ni wa masharti nafuu kabisa wenye riba ya 0.01% na utalipwa kwa muda wa miaka 40.
Yaani tunafanya upuuzi kuliko uliofanywa na wazee wetu karne nyingi zilizopitaLabda africa nzima iombwe msamaha, kuna katumi imechorwa leo ikionesha viongozi wa africa wanasubiria mikopo huku wao wakiwa wameshika vito vya thamana mikononi mwao.
Inawezekana wewe unatakiwa kumwomba radhi aliye taka uzinduke toka usingizini na kundi lako☺️Uthibitisho wa unafuu huo na dhamana ni nini kwa taifa🤔
Miladi yote imekwama mpaka mwendo Kasi hazitembei ila machawa mnazidi kunenepa mnakura JASHO la watanzania ipi SIKU mtalipa hata kama sio nyinyi vizazi vyenu vitalipa sawa na matendo yenuNchi yetu na rasilimali zake zipo katika mikono salama ya Rais Samia.ndio maana Inaendelea kupaa kimaendeleo na kuendelea kuaminika kwa wadau mbalimbali wa maendeleo.
Miradi yote Inaendelea vizuri sana pasipo kukwama wala kusuasua.Miladi yote imekwama mpaka mwendo Kasi hazitembei ila machawa mnazidi kunenepa mnakura JASHO la watanzania ipi SIKU mtalipa hata kama sio nyinyi vizazi vyenu vitalipa sawa na matendo yenu
Acha kuunga mkono uzushi na uongo wa hao wachonganishiYaani tunafanya upuuzi kuliko uliofanywa na wazee wetu karne nyingi zilizopita