Tanzania iitake VOA kuomba Msamaha kwa habari yake ya Uzushi na Uongo

Du

u
Duuh gazeti mkuu!
 
Lucas umeshakuwa tena msemaji wa serikali?
Ukweli wa mikataba unaujua? Umeona? Umesoma?
Hivi kwanini wa Tz hatutaki kiutafuta ukweli badala ya kukurupuka?
 
Wewe ushasafishwa ubongo na CCM; yaani brainwashed, hivi wewe kwa akili zako unafikiri nani anasema uongo hapo? Serikali au VOA; halafu wewe umesikia Habari VOA Swahili. Umesoma outlets nyingine?

Critically think; usitumie matako kufikiri; unapoenda Bank yoyote ya Tanzania ukitaka kukopa inabidi uonyeshe nini cha Kwanza? Lazima uonyeshe kuwa na uwezo wa kulipa mkopo. Ndiyo hivyo hivyo wakopeshaji wa Nchi wanavyofanya. Unaulizwa una nini kama ukishindwa kulipa; ndiyo hapo; Samia hawezi kukwambia; unafikiri hana akili ya kukudanganya wewe? Huko juu kila kitu kiko wazi.

Yaani unkifungua mafaili ya Ikulu uone ndiyo utajua; na hii ndiyo siri kubwa CCM hawawezi kuachia Nchi.

Tuko hivi Nchi yetu kwa sababu ya Wajinga kama nyie!!!!!!!!!!! Shenzi Taipu
 
Akili yako ndogo sana na hujitambui kabisa wewe. Hujaona hao VOA wamerudi nyuma baada ya ukurupukaji wao wa awali?
 
Nani akupe riba ya 0.01% na inflation yote hii? Alafu kwa miaka 40 uilipe..

Uchumi haupo hivyo kaka Kitila atupe huo mkataba si wetu Sisi Watanzania?
 
Wewe ni zombie linalotembea. VOA Wanakusaidia utambue ujinga wa jimama wewe unaleta mambo ya kijinga. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Wewe ni zombie linalotembea. VOA Wanakusaidia utambue ujinga wa jimama wewe unaleta mambo ya kijinga. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
Wewe hujawahi kuwa na akili hata siku moja.
 

Inabidi uende mwenyewe kuwaambia waombe radhi. Ukiandika hapa, habari zinawafikiaje sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…