Tanzania ikitaka kuwa salama ijiepushe kushirikiana na nchi za Mashariki ya Kati

Tanzania ikitaka kuwa salama ijiepushe kushirikiana na nchi za Mashariki ya Kati

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
Ukiondoa magaidi ya madawa ya kulevya yaliyopo nchi za Caribbean na America ya Kati ambao wanaendesha biashara ya madawa ya kulevya, nchi hatari zaidi dunia kushirikiana nazo na hasa kwa nchi za Kiafrika ni za Mashariki ya Kati.

Vita vyote vinavyopiganwa Afrika hivi sasa vina mkono wa UAE, Yemen, Iran, Egypt, Saudi Arabia, Oman, Lebanon, Syria nk. Hata vita huko Afghanistan na Pakistan ni nchi hizo hizo zinafadhili.

Mbaya zaidi wanatumia itikadi kali za kidini kupata uungwaji mkono na baadhi ya viongozi na wananchi wa nchi husika.

Ni vema Serikali yetu ikachukuwa tahadhari kubwa kila inapoingia mikataba na nchi hizi kwani ni hatari kwa mustakabali wa ustawi wa nchi yetu!
 
Vita vyote vinavyopiganwa Afrika hivi sasa vina mkono wa UAE, Yemen, Iran, Egypt, Saudi Arabia, Oman, Lebanon, Syria nk. Hata vita huko Afghanistan na Pakistan ni nchi hizo hizo zinafadhili.
Sio vita vyote mkuu ukitoa Libya na Sudan na Ethiopia & Somalia kwa sehemu(hapa hata mataifa ya Ulaya na Asia yana mikono).....huku kwingine kama Drc, Sahel Waarabu hawapo huko.

Kiufupi Dunia ya Sasa ina vurugu tu, Kila mmoja anajiingiza anapoona atanufaika.
 
Ukiondoa magaidi ya madawa ya kulevya yaliyopo nchi za Caribbean na America ya Kati ambao wanaendesha biashara ya madawa ya kulevya, nchi hatari zaidi dunia kushirikiana nazo na hasa kwa nchi za Kiafrika ni za Mashariki ya Kati.

Vita vyote vinavyopiganwa Afrika hivi sasa vina mkono wa UAE, Yemen, Iran, Egypt, Saudi Arabia, Oman, Lebanon, Syria nk. Hata vita huko Afghanistan na Pakistan ni nchi hizo hizo zinafadhili.

Mbaya zaidi wanatumia itikadi kali za kidini kupata uungwaji mkono na baadhi ya viongozi na wananchi wa nchi husika.

Ni vema Serikali yetu ikachukuwa tahadhari kubwa kila inapoingia mikataba na nchi hizi kwani ni hatari kwa mustakabali wa ustawi wa nchi yetu!

Na Isiraeli imo kwenye hii black list yako?
 
Ukiondoa magaidi ya madawa ya kulevya yaliyopo nchi za Caribbean na America ya Kati ambao wanaendesha biashara ya madawa ya kulevya, nchi hatari zaidi dunia kushirikiana nazo na hasa kwa nchi za Kiafrika ni za Mashariki ya Kati.

Vita vyote vinavyopiganwa Afrika hivi sasa vina mkono wa UAE, Yemen, Iran, Egypt, Saudi Arabia, Oman, Lebanon, Syria nk. Hata vita huko Afghanistan na Pakistan ni nchi hizo hizo zinafadhili.

Mbaya zaidi wanatumia itikadi kali za kidini kupata uungwaji mkono na baadhi ya viongozi na wananchi wa nchi husika.

Ni vema Serikali yetu ikachukuwa tahadhari kubwa kila inapoingia mikataba na nchi hizi kwani ni hatari kwa mustakabali wa ustawi wa nchi yetu!
Itikali kali ya kidini kwa wasiokuwa waislam ni kule kupigania haki yao. Ukiwa zezeta , kunywa pombe, kufanya kazi baa huyo ndio muislam wanaemtaka.
 
Ukiondoa magaidi ya madawa ya kulevya yaliyopo nchi za Caribbean na America ya Kati ambao wanaendesha biashara ya madawa ya kulevya, nchi hatari zaidi dunia kushirikiana nazo na hasa kwa nchi za Kiafrika ni za Mashariki ya Kati.

Vita vyote vinavyopiganwa Afrika hivi sasa vina mkono wa UAE, Yemen, Iran, Egypt, Saudi Arabia, Oman, Lebanon, Syria nk. Hata vita huko Afghanistan na Pakistan ni nchi hizo hizo zinafadhili.

Mbaya zaidi wanatumia itikadi kali za kidini kupata uungwaji mkono na baadhi ya viongozi na wananchi wa nchi husika.

Ni vema Serikali yetu ikachukuwa tahadhari kubwa kila inapoingia mikataba na nchi hizi kwani ni hatari kwa mustakabali wa ustawi wa nchi yetu!
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-04-19-10-13-524_com.instagram.android.jpg
    Screenshot_2024-10-04-19-10-13-524_com.instagram.android.jpg
    366.6 KB · Views: 5
Ni rahisi kufund ugaidi kwakuwa wana fedha nyingi rahisi zisizoumiza.
 
Shida unajibu kwa mihemko. Alichosema mleta mada kina ukweli kwa kiasi kikubwa. Ila amesahau kuitaja Qatar ambayo ni nchi inayoongoza kufadhili machafuko hadi kwenye nchi za Kiislamu. Mfano mzuri ni vita ya Libya
NATO nchi za kiislam? Yeye analeta amani duniani? Tatizo lenu mumekaririshwa makanisani kuhusu uislam na hamtaki kuusoma na kuufahamu..ukisoma uislam huko uliko utatoka siku hiyo hiyo
 
Hivi Elishabab Somalia anafadhiliwa na Nani? Na wale magaidi walioteketezwa kule Rufuji Nani anwapa pesa na Je Delgabo wale magaidi wanafadhiliwa na pesa na Silaha? Haya maswali yanahitaji majibu
 
Kwani NATO ni nchi? Je kuna itikadi gani ya kidini inasambaza?
Unawaogopa waislamu? Vita 90% duniani vinfadhiliwa na waglatia...Hao jamaa wanatumia ndege kuua watu wasiokuwa na hatia wala hawajavamia makazi yao ...Mtu atume ndege kutoka Uk na USA ili akamalize watoto huko syria unafikiria wana akili timamu kweli ?

Upigane vietnam ,Ukraine, Middle east , hapo Afghanstan mtu unaishi mbali huko unafauta nn?
 
Unawaogopa waislamu? Vita 90% duniani vinfadhiliwa na waglatia...Hao jamaa wanatumia ndege kuua watu wasiokuwa na hatia wala hawajavamia makazi yao ...Mtu atume ndege kutoka Uk na USA ili akamalize watoto huko syria unafikiria wana akili timamu kweli ?

Upigane vietnam ,Ukraine, Middle east , hapo Afghanstan mtu unaishi mbali huko unafauta nn?
Tatizo la ISIS na Al Shabaab wanaua waislaam wenzao, hawana habari na wenye itikadi tofauti!
 
Back
Top Bottom