Tanzania ili iendelea Yapasa Vyama vyote vya siasa Vifutwe

Tanzania ili iendelea Yapasa Vyama vyote vya siasa Vifutwe

MkamaP

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2007
Posts
8,146
Reaction score
3,235
Ili Tanzania isonge mbele inabidi kutokee namna fulani vyama vyote vya siasa vifutwe na wanasiasa waliopo sahivi wote kwa ujumla wao wazuie kujihusisha na siasa wala kuteuliwa ama kuchaguliwa.

Pili wafanyakazi wa umma wafutwe wote, waajiriwe wapya tuanze upya. Wafanyakazi wataobaki wawe wanajeshi tu.
 
Hizi thread za kumaliza bando yafaa zifutwe
 
Nina mashaka na elimu yako, yumkini ni ngumbaro, na kama ni msomi basi wale vilaza ambao elimu aijawasaidia kufikiri sawasawa, Aibu.
 
Ili Tanzania isonge mbele inabidi kutokee namna fulani vyama vyote vya siasa vifutwe na wanasiasa waliopo sahivi wote kwa ujumla wao wazuie kujihusisha na siasa wala kuteuliwa ama kuchaguliwa.

Pili wafanyakazi wa umma wafutwe wote, waajiriwe wapya tuanze upya. Wafanyakazi wataobaki wawe wanajeshi tu.
Hata waliozaliwa wafe,tuwapate wazaliwa wengine,ndiyo hoja yako
 
Hata waliozaliwa wafe,tuwapate wazaliwa wengine,ndiyo hoja yako

Hoja ni kuwa kusiwe na smooth transition kati ya kizazi na kizazi ktk utendaji , fikra na namna ya ku approach mambo nyeti ya wananchi.
 
Kabla havikuwepo mbona haikuendelea
Kilikuwepo CCM ama TANU.
Mimi ninachosema vifutwe vyote vilivyopo na CCM ifutwe pia, waaznishe vipya kabisa na wanasiasa waliopo wazuiliwe kujihusisha na siasa.
Kabla ya vyama Gemany east Africa/Tanganyika iliendelea sana kwa mda mfupi sana.
 
mtu mweusi safari ya kujitambua,kujisimamia,kuwajibika,kuacha uvivu,rushwa bado ni ndefu sana.

Ukitaka kufungua kiwanda kipya cha kuzalisha bidhaa Tanzania unakutana na ugumu usio wa lazima,lakini ukiagiza bidhaa kama izo kutoka viwanda vya china unalipa ushuru tu wa forodha unapitisha bandarini unauza.

Wale mahafisa wa nemki,tfda wakikuona wanakunja uso kwanza uwaogope.

kha",,,sasa shida yote ya nini! Basi naagiza uchinani uko nalipa ushuru naingiza bongo.
 
Ili Tanzania isonge mbele inabidi kutokee namna fulani vyama vyote vya siasa vifutwe na wanasiasa waliopo sahivi wote kwa ujumla wao wazuie kujihusisha na siasa wala kuteuliwa ama kuchaguliwa.

Pili wafanyakazi wa umma wafutwe wote, waajiriwe wapya tuanze upya. Wafanyakazi wataobaki wawe wanajeshi tu.
Na chama kiwepo kipya kianze kuongoza upyaaa au nasema uongo ndugu yang!!
 
Back
Top Bottom