Tanzania iliwahi kuwa nchi ya tatu kwa upelelezi duniani

Tz sio kwamba imewai kuwa ya tatu tu hata majuzi miaka kama mitano au saba tz ilishika nafasi ya kwanza

Kumbuka ni Tz peke yake ndio iliweza kufanya RAISI wa nchi nyingine awe anabadilisha makazi ya kulala kwa miezi Sita mfululizo

kwaiyo usishangae saana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
rais yupi huyo?
 
Ni kweli
 
Naskia walikuwa wakipata ujuzi cuba na urusi... Na hizi nchi naskia wako juu sana kwenye eneo hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri neno UZALENDO liliishia huko na enzi hizo

Sent from my SM using Tapatalk
 
Zamani usalama wa taifa walikuwa na siri nzito yaani unaweza kulala naye kitanda kimoja usijue kuwa umelala na mwanausalama,
Lakini wa siku hizi wanajitangaza wenyewe kwenye bar na kumbi za starehe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kila jambo linalo husu usalama wa watanzania mnazungumzia CHADEMA? Duuh basi mtakuwa mnaweweseka usijue mkilala kuwa mnatafutwa na serikali ya Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha kuonyesha ujuha wako hadharani!! Hii post ni ya 2013. 2013 huyo dhalimu na dikteta alikuwepo madarakani? Usikurupuke vinginevyo UTAUMBUKA.

Mbona kila jambo linalo husu usalama wa watanzania mnazungumzia CHADEMA? Duuh basi mtakuwa mnaweweseka usijue mkilala kuwa mnatafutwa na serikali ya Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana. Amani inawalemaza watu. Nafikiri watakuja juta itakapo kuja wakati wa kupigana wenyewe kwa wenyewe. Wewe subiri tu Magufuli atoke.

Wengi hawajui mda huu nafikiri tungekuwa tuko hatarini kuipoteza amani yetu.

Kama sio maamuzi mazito ya Rais Magufuli sijui hii nchi ingekuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amani anaivuruga nani? Umeshawahi kuona waraka kama huu kabla ya huyo dikteta na dhalimu kuingia madarakani!

Maaskofu nao wanaokota maneno vijiweni? Acha upumbavu wako wewe!

WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini - JamiiForums


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…