Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Wiki chache zilizopita tulishuhudia mjadala mkali kuhusu bandari, baadaye kukaibuka tetesi za rupia kupenyezwa kwa baadhi ya wakazi wa Ufipa ili wajiondoe katika mjadala huu.
Dkt. Slaa, Dkt. Nshallah, Mwabukusi, Tundu Lissu, TEC na wananchi wengine wakaendelea kutoa elimu kuhusiana na kile kilicho sainiwa.
Way forward:
Kujadili bila kuchukua hatua ni kupoteza muda, akina Dr Slaa wakaja na wazo la maandamano yasiyo na kikomo mpaka serikali itakapofuta mkataba wa awali na kuandaa solution yenye tija.
Jana Dkt. Slaa amesikika akisema kuwa wanajaribu kuwapigia simu CHADEMA ili kuratibu hili suala lakini viongozi hawapokei simu.
Haifahamiki ni kwasababu wameweka simu silent au hawaungi mkono maandamano, kama hawaungi mkono maandamano ni vyema ila wangepokea washauri wanafikiri njia gani inafaa zaidi.
Kwa ninavyoijua hii nchi, mjadala huu umefungwa, ule wa Ngorongoro pia umefungwa, sasa tunasubiri mjadala wa wanyama kusafirishwa wakiwa hai kupelekwa Dubai ili watu wa Dubai wakawaangalie kisha warejeshwe ili kutangaza utalii kwa vitendo.
Utakapoiva tutajadili kisha tuhamie kwenye uendelezaji wa misitu yote baada ya huo 2025 itakuwa imefika, CCM ishinde kwa kishindo.
Dkt. Slaa, Dkt. Nshallah, Mwabukusi, Tundu Lissu, TEC na wananchi wengine wakaendelea kutoa elimu kuhusiana na kile kilicho sainiwa.
Way forward:
Kujadili bila kuchukua hatua ni kupoteza muda, akina Dr Slaa wakaja na wazo la maandamano yasiyo na kikomo mpaka serikali itakapofuta mkataba wa awali na kuandaa solution yenye tija.
Jana Dkt. Slaa amesikika akisema kuwa wanajaribu kuwapigia simu CHADEMA ili kuratibu hili suala lakini viongozi hawapokei simu.
Haifahamiki ni kwasababu wameweka simu silent au hawaungi mkono maandamano, kama hawaungi mkono maandamano ni vyema ila wangepokea washauri wanafikiri njia gani inafaa zaidi.
Kwa ninavyoijua hii nchi, mjadala huu umefungwa, ule wa Ngorongoro pia umefungwa, sasa tunasubiri mjadala wa wanyama kusafirishwa wakiwa hai kupelekwa Dubai ili watu wa Dubai wakawaangalie kisha warejeshwe ili kutangaza utalii kwa vitendo.
Utakapoiva tutajadili kisha tuhamie kwenye uendelezaji wa misitu yote baada ya huo 2025 itakuwa imefika, CCM ishinde kwa kishindo.