Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Mfano. Kuna kitu kinaitwa Chicken War. Miaka hiyo ya nyuma USA walikuwa wanauza sasa kuku Ulaya na hasa Ujerumani. Kuku kutoka USA walikuwa bei rahisi kuliko wale wanaozalishwa Ujerumani. Wafuga kuku wa Ujerumani wakaanza kulia kuwa kuku wa US wanawafanya washindwe kuuza. Serikali yao ikawasikiliza. Ikaongeza ushuru kwa kuku kutoka US kiasi kwamba wakawa siyo cheap tena. US kuona hivyo akarudishia kwa kuweka Tariff kwa gari Trucks zote kutoka Ujerumani.
Miaka mingi imepita na ushuru huo waliwekeana bado upo. Matokeo yake soko la Trucks za Ujerumani US likafa, na soko la kuku wa US Ujerumani likafa. Labda wazalisha kuku wa Ujerumani walipata soko na watengeneza Trucks wa US walipata soko.
Leo hii Trump ni kama anataka kuanzisha vita ya kiuchumi na kila nchi. Nchi yetu imewahipigana vita ya kiuchumi? Kuna umuhimu wa nchi kupigana vita hizi?
Miaka mingi imepita na ushuru huo waliwekeana bado upo. Matokeo yake soko la Trucks za Ujerumani US likafa, na soko la kuku wa US Ujerumani likafa. Labda wazalisha kuku wa Ujerumani walipata soko na watengeneza Trucks wa US walipata soko.
Leo hii Trump ni kama anataka kuanzisha vita ya kiuchumi na kila nchi. Nchi yetu imewahipigana vita ya kiuchumi? Kuna umuhimu wa nchi kupigana vita hizi?