Tanzania ina watumishi wengi wenye upeo na maarifa madogo sana

Tanzania ina watumishi wengi wenye upeo na maarifa madogo sana

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
1,770
Reaction score
5,423
Watumishi wengi ni watu wenye maarifa na upeo mdogo sana!

Wakati tangazo la nyongeza ya mishahara linatoka mimi Fumadilu Kalimanzila niliandika humu JF nikawaeleza kuwa Tanzania haina uwezo wa kuhimili nyongeza ya mishahara ya 23.3%! Nilishambuliwa sana humu.

Leo mtu amekuta ameongezewa Tshs.8,000/= anabwatuka kama chizi na kusahau kuwa watu wenye maarifa walifanya analysis na kuwaeleza kuwa huo uwezo Tanzania hatuna!

Sababu za umasikini wa Nchi hii ni nyingi ikiwa ni pamoja na vilaza wengi walioajiriwa Serikalini kwa " connections", kufoji vyeti na wengi waliofanya vibaya darasani (fail) na watumishi wasiopenda kujiendeleza (personal development) n.k.

Watumishi wengi wa Serikali ni watu wa majungu, washirikina, wasaka posho ,wavivu na watu wasiotoa huduma bora kwa Wananchi.

Wengine ni watu waliojengeka vichwani mwao kuumiza Wananchi, vichwa vyao vimejaa mawazo ya rushwa ,kufunga biashara za watu, kufilisi watu ama kutia watu hasara za kijinga,kufuta biashara na kupiga watu fine basi.

Wengi ni watu wenye maarifa na ubunifu duni ambao hata genge la kuuza nyanya hawawezi kuendesha.

Wengi hawana tija kabisa na wanalipwa mishahara kutokana na Kodi za Wananchi kwa kukaa maeneo ya kazi na si kwa tija ya ufanisi wa kazi zao!
 
Sijui kama umewahi kusoma ile hadithi ya sungura na zabibu. Alipokosa zabibu alisema 'sizitaki hizi mbichi'.

Ndiyo wewe uliyekosa ajira serikalini unasema wafanyakazi upeo wao mdogo.
Katika vitu ambavyo haviko kichwani mwangu ni kuomba ajira!
 
Tatizo ni uongozi wa Serikali yako ya CCM iliyochaguliwa na wewe,so tatizo ni wewe mwenyewe na Wananchi wenzako.
Kwa hiyo,kama kuna watumishi wa aina hiyo inawowasemea jua fika tatizo ni wewe na wenzio.
 
Ndio maana kuna siku nilimsikia Rais anasema walimu waajiriwe kwa mikataba, itakayokuwa inapitiwa baada ya muda fulani kulingana na perfomance yake.

Akadai hii tabia ya mwalimu akishaajiriwa ndio mpaka astaafu/kufariki inawafanya wengi wao wafanye kazi kwa mazoea.

Rais alikuwa sahihi 100%.
 
Watumishi wengi ni watu wenye maarifa na upeo mdogo sana!

Wakati tangazo la nyongeza ya mishahara linatoka mimi Fumadilu Kalimanzila niliandika humu JF nikawaeleza kuwa Tanzania haina uwezo wa kuhimili nyongeza ya mishahara ya 23.3%! Nilishambuliwa sana humu.

Leo mtu amekuta ameongezewa Tshs.8,000/= anabwatuka kama chizi na kusahau kuwa watu wenye maarifa walifanya analysis na kuwaeleza kuwa huo uwezo Tanzania hatuna!

Sababu za umasikini wa Nchi hii ni nyingi ikiwa ni pamoja na vilaza wengi walioajiriwa Serikalini kwa " connections", kufoji vyeti na wengi waliofanya vibaya darasani (fail) na watumishi wasiopenda kujiendeleza (personal development) n.k.

Watumishi wengi wa Serikali ni watu wa majungu, washirikina, wasaka posho ,wavivu na watu wasiotoa huduma bora kwa Wananchi.

Wengine ni watu waliojengeka vichwani mwao kuumiza Wananchi, vichwa vyao vimejaa mawazo ya rushwa ,kufunga biashara za watu, kufilisi watu ama kutia watu hasara za kijinga,kufuta biashara na kupiga watu fine basi.

Wengi ni watu wenye maarifa na ubunifu duni ambao hata genge la kuuza nyanya hawawezi kuendesha.

Wengi hawana tija kabisa na wanalipwa mishahara kutokana na Kodi za Wananchi kwa kukaa maeneo ya kazi na si kwa tija ya ufanisi wa kazi zao!
Sio TU uwezo mdogo,ila kinacho waathiri watanzania zaidi ni chembechembe zile ya kuchukuwa chako mapema ndizo zinawaathiri watanzania mmoja mmoja na Taifa Kwa ujumla,ongeza na uvivu tangu wa kuchapa kazi hata Ile wa kutumia akili ya asili TU🤔Japo najua SII wote waliobarikiwa na Mungu uwezo huo ila hata wale waliojaaliwa uwezo wa kufikiria na kuona mbali wametingwa na mawazo ya chukua chako mapema 🚶
 
Ukiwa vizuri kichwani kwa kazi za kiserikali unapigwa fitina plus majungu.
 
Ndio maana kuna siku nilimsikia Rais anasema walimu waajiriwe kwa mikataba, itakayokuwa inapitiwa baada ya muda fulani kulingana na perfomance yake.

Akadai hii tabia ya mwalimu akishaajiriwa ndio mpaka astaafu/kufariki inawafanya wengi wao wafanye kazi kwa mazoea.

Rais alikuwa sahihi 100%.
Mbona wao hupeana vyeo hata kwa vilza na kwenye nafasi nyeti

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom