Tanzania inafuata misingi yote ya Demokrasia ya vyama vingi

thank you very much kamanda.
umegonga penyewe aisee
 
Futa hii kitu πŸ‘†πŸ‘† wee chawa!! Mentioned above hakuna kitu kama hicho, hata mtot wa primary anajua hilo!!!
si uje taratibu na ubainishe kasoro zilizopo na upendekeze suluhisho muungwana?.

Acha watoto wasome mkuu.

by the way una maoni mazuri, thank you mkuu...
 
si uje taratibu na ubainishe kasoro zilizopo na upendekeze suluhisho muungwana?.

Acha watoto wasome mkuu.

by the way una maoni mazuri, thank you mkuu...
Watoto wana haki kujua mwenendo wa utawala wa Nchi yao!! Hapo hakuna haja ya kuja taratibu, kuhusu uchaguzi wa bongo jins unavyoendeshwa kila mtu anajua hata wanaccm pia! Fikiria ule uchaguzi 2020 na yale ndio madhara ya kumpa Rais mamlaka makubwa!!
 
Watoto wana haki kujua mwenendo wa utawala wa Nchi yao!! Hapo hakuna haja ya kuja taratibu, kuhusu uchaguzi wa bongo jins unavyoendeshwa kila mtu anajua hata wanaccm pia! Fikiria ule uchaguzi 2020 na yale ndio madhara ya kumpa Rais mamlaka makubwa!!

wazazi na walimu wanalo jukumu nao hao wanafunzi. we pambana na haya kwanza.

sidhani kama kuna ukweli hapo kwamba kila mtu anajua.

ni muhimu kuwa makini kuepuka kuwasemea wasiohusika na kua na fikra za ujumla jumla, kwa kiasi kikubwa ndio nadhani umechangia pakubwa kwenye changamoto nyingi nchini.
kudhani na kupumbazwa na ujumla jumla ambao kimsingi haupo kutaendea kuchelewesha mambo mengi kusonga au kubadilika.....
 
Ulichoandika ni kujidanganya au unadanganya wasiojielewa.Mambo yote yako wazi kama tupu ya mbuzi sidhani kama kuna ulazima wakuanza kudanganyana.Labda kama unapalilia njia yako ya chooni ndo unaweza kuona yako sawa kama ulivyosema.
 
Kiingereza hakikupendi. Achana nacho kabisa kinakuaibisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…