Tanzania inahitaji kiongozi kijana kama Ibrahim Traoré wa Burkina Faso

Tanzania inahitaji kiongozi kijana kama Ibrahim Traoré wa Burkina Faso

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Wazee hili taifa letu la Tanzania wamelitapanya Sana kwa kuingia mikataba hewa ya kilaghai na mataifa ya nje . Kijana traore anezaliwa Mwaka 1987 nikijana katika viongozi wa afrika wa mfano na anafaa kuigwa, Kila anapopita wananchi hawachoki kumshangilia kwa kazi anayoifanya.

Hapa kwetu wazee wakiingia ofisini wanawaza kuuza Kila rasilimali zilizopo haitoshi wakishaona hata sheria zinawabana wanazifanyia marekebisho kwa ajiri ya kulinda wizi wao .

Sasa wakati ndiyo huu wakukataa wazee kuongoza nchi kwani kwa miaka 62 ya Uhuru elimu afya na n.k kazi haijafanyika kwa kiwango kinachotakiwa kulingana na rasilimali zilizopo.
 
FB_IMG_17292553659602839.jpg
 
Wazee hili taifa letu la Tanzania wamelitapanya Sana kwa kuingia mikataba hewa ya kilaghai na mataifa ya nje . Kijana traore anezaliwa Mwaka 1987 nikijana katika viongozi wa afrika wa mfano na anafaa kuigwa, Kila anapopita wananchi hawachoki kumshangilia kwa kazi anayoifanya.
Hapa kwetu wazee wakiingia ofisini wanawaza kuuza Kila rasilimali zilizopo haitoshi wakishaona hata sheria zinawabana wanazifanyia marekebisho kwa ajiri ya kulinda wizi wao .
Sasa wakati ndiyo huu wakukataa wazee kuongoza nchi kwani kwa miaka 62 ya Uhuru elimu afya na n.k kazi haijafanyika kwa kiwango kinachotakiwa kulingana na rasilimali zilizopo.
Sa kwa Tanzania mfano kijana gani unaona anafaa kuwa Rais wa nchi? Mana hata hao waliopewa nafasi wameleta ukakasi tu kwenye nafasi zao wala hakuna utofauti na wazee
 
Wazee hili taifa letu la Tanzania wamelitapanya Sana kwa kuingia mikataba hewa ya kilaghai na mataifa ya nje . Kijana traore anezaliwa Mwaka 1987 nikijana katika viongozi wa afrika wa mfano na anafaa kuigwa, Kila anapopita wananchi hawachoki kumshangilia kwa kazi anayoifanya.
Hapa kwetu wazee wakiingia ofisini wanawaza kuuza Kila rasilimali zilizopo haitoshi wakishaona hata sheria zinawabana wanazifanyia marekebisho kwa ajiri ya kulinda wizi wao .
Sasa wakati ndiyo huu wakukataa wazee kuongoza nchi kwani kwa miaka 62 ya Uhuru elimu afya na n.k kazi haijafanyika kwa kiwango kinachotakiwa kulingana na rasilimali zilizopo.
Tatizo la viongozi wa Tanzania siyo umri. Narudia tena, siyo umri. Tatizo ni CCM kutoweza kujenga misingi ya kupata viongozi wazuri. Yaani wameziba zile njia zote za kupata viongozi bora ili wao waweze kuteuana na kuongoza kama wanavyotaka. Na mbaya zaidi wananchi nao hawajui wajibu wao ni nini. Wako wako tu, muda wote wanajadili Yanga na Simba na vita vya nchi nyingine.
 
Traore anaondoka lini madarakani au mnataka kiongozi wa milele?
 
Wazee hili taifa letu la Tanzania wamelitapanya Sana kwa kuingia mikataba hewa ya kilaghai na mataifa ya nje . Kijana traore anezaliwa Mwaka 1987 nikijana katika viongozi wa afrika wa mfano na anafaa kuigwa, Kila anapopita wananchi hawachoki kumshangilia kwa kazi anayoifanya.

Hapa kwetu wazee wakiingia ofisini wanawaza kuuza Kila rasilimali zilizopo haitoshi wakishaona hata sheria zinawabana wanazifanyia marekebisho kwa ajiri ya kulinda wizi wao .

Sasa wakati ndiyo huu wakukataa wazee kuongoza nchi kwani kwa miaka 62 ya Uhuru elimu afya na n.k kazi haijafanyika kwa kiwango kinachotakiwa kulingana na rasilimali zilizopo.
kwa hiyo huyo kijana hapo Burkina Faso na hao wenzake wa Guinea conacry, Niger na hata hapo Gabon wamefanya nini cha tofauti hata wananchi wawe na ahueni ya maisha?🐒
 
Mkuu kutoka chama gani?
Kama ni hiki hiki ambacho kinazidi kulididimiza Taifa kwenye lindi la umasikini,Ujinga na Maradhi afadhari tuendelee kuongozwa na Wazee!
 
Wazee hili taifa letu la Tanzania wamelitapanya Sana kwa kuingia mikataba hewa ya kilaghai na mataifa ya nje . Kijana traore anezaliwa Mwaka 1987 nikijana katika viongozi wa afrika wa mfano na anafaa kuigwa, Kila anapopita wananchi hawachoki kumshangilia kwa kazi anayoifanya.

Hapa kwetu wazee wakiingia ofisini wanawaza kuuza Kila rasilimali zilizopo haitoshi wakishaona hata sheria zinawabana wanazifanyia marekebisho kwa ajiri ya kulinda wizi wao .

Sasa wakati ndiyo huu wakukataa wazee kuongoza nchi kwani kwa miaka 62 ya Uhuru elimu afya na n.k kazi haijafanyika kwa kiwango kinachotakiwa kulingana na rasilimali zilizopo.


Sio kwa vijana hawa wetu zero brain. Angalieni kampeni za kujiandikisha kupiga kura mnasubiri Chadema, wasanii vijana wamekuwa wakata viuno wa CCM hakuna la maana la kijamii zaidi ya kamari na kiki, watu wanauliwa hamuandamani. Mnafikiri mtashika madaraka wakati wakina Samia, Mwinyi, Kikwete na viongozi wa CCM wanajaza watoto wao, wake, wakwe kwenye madaraka yao sahau hilo. Msije kuota mpaka vijana watoke usingizini ndiyo mje kutoa hoja kama hizi
 
Kuondolewa CCM madarakani, huo ni mpango wa MUNGU

Tuzidishe maombi, ipo siku yatajibiwa na maajabu kutokea
 
Tatizo la viongozi wa Tanzania siyo umri. Narudia tena, siyo umri. Tatizo ni CCM kutoweza kujenga misingi ya kupata viongozi wazuri. Yaani wameziba zile njia zote za kupata viongozi bora ili wao waweze kuteuana na kuongoza kama wanavyotaka. Na mbaya zaidi wananchi nao hawajui wajibu wao ni nini. Wako wako tu, muda wote wanajadili Yanga na Simba na vita vya nchi nyingine.
👊👊 Unaakili Sana aisee humu jf kuna nyuzi kibao za vita za huko mbele sasa najiuliza ivi Sisi ndo tuko salama sana? ujinga mtupu wenzako wanapigana kukataa ujinga wewe unakaa kuwawazia wao!
 
Wazee hili taifa letu la Tanzania wamelitapanya Sana kwa kuingia mikataba hewa ya kilaghai na mataifa ya nje . Kijana traore anezaliwa Mwaka 1987 nikijana katika viongozi wa afrika wa mfano na anafaa kuigwa, Kila anapopita wananchi hawachoki kumshangilia kwa kazi anayoifanya.

Hapa kwetu wazee wakiingia ofisini wanawaza kuuza Kila rasilimali zilizopo haitoshi wakishaona hata sheria zinawabana wanazifanyia marekebisho kwa ajiri ya kulinda wizi wao .

Sasa wakati ndiyo huu wakukataa wazee kuongoza nchi kwani kwa miaka 62 ya Uhuru elimu afya na n.k kazi haijafanyika kwa kiwango kinachotakiwa kulingana na rasilimali zilizopo.
Mjeda?
 
Kwahiyo kwako wewe unataka sifa ya kugombea urais iwe "ujana"? Poor thinking
 
Wazee hili taifa letu la Tanzania wamelitapanya Sana kwa kuingia mikataba hewa ya kilaghai na mataifa ya nje . Kijana traore anezaliwa Mwaka 1987 nikijana katika viongozi wa afrika wa mfano na anafaa kuigwa, Kila anapopita wananchi hawachoki kumshangilia kwa kazi anayoifanya.

Hapa kwetu wazee wakiingia ofisini wanawaza kuuza Kila rasilimali zilizopo haitoshi wakishaona hata sheria zinawabana wanazifanyia marekebisho kwa ajiri ya kulinda wizi wao .

Sasa wakati ndiyo huu wakukataa wazee kuongoza nchi kwani kwa miaka 62 ya Uhuru elimu afya na n.k kazi haijafanyika kwa kiwango kinachotakiwa kulingana na rasilimali zilizopo.
Pale hakuna kitu ni mihemko tu kama magufuri na sifa huku anaharibu mahusiano ya kimataifa na kujiweka kwenye hali ngumu kushirikiana na nchi nyingi ..

wanaoteseka ni wananchi wa kawaida
 
Back
Top Bottom