Tanzania inahitaji Rais anayejiamini na mwenye uhakika wa Jambo lake na Maamuzi yake

hata mm naumia kisawa sawa, siamini yatokeayo kweli tumefiwa na baba jembe. Swala la tutaleta majibu hapo baadae ni hatari...angeshauriana na wasaidizi angekuwa anamaliza mchezo palepale kama baba alivyokuwa anafanya. Pia hii ya kutengua wala sioni umuhimu..maana baba akimtengua mtu anamwambia kabisa nimekutengua sababu yake ni hii na ile, hata sisi wananchi tunapata mwanga na kuridhika na uteuzi mpya. kwasasa hata hatujui wanatenguliwa kwasababu ipi?..au ndio yale yale ya ccm ya kale ya kufichiana uozo imerudi kwa kasi. Watakaokuja kuja kugombea nafasi hii ya juu nami naunga mkono hoja wawe ni WANAUME JASIRI, WAWAZI, WAKWELI, WACHAPA KAZI, WASIOOGOPA, WENYE KUFANYA MAAMUZI YA KISHUJAA ili kulikomboa taifa letu zuri
 
Kama mwendazake ndiye alikuwa na sifa ambazo mama hana. Ni kheri mno mama azikose kabisa.

Mama akaze uzi hapo hapo tayari dawa inapenya.
Akaze uzi gani, wa kutokuwa makini kupitia sifa za viongozi kabla ya kuwateua?
 
Unaweza tokea msituni ukawa Rais bora, lakini unaweza utoke darasani ukawa Rais wa ajabu. Urais Ni Taasisi imara Basi!
 
Ukizoea maisha ya kiswahili huwezi kuwa na utulivu...asilani
Ukiruhusu hisia kutawala akili kwa kuwa tu anaekupa muongozo ndio alikutoa kisiasa umeotea ...JPM kuna wakati aliwaambia wazee watulie wanawashwa sana.
Ila mwanamke ambae ulimvu..pichu lazima afuate kilausemalo kwa kuzingatia anaamini we ndo umefikisha alipo.
Mama yetu hakuwahi jiandaa kuwa Presedaa kamwe ni zali tu.. aliridhika kutumwa kuelekezwa cha kufanya sio kutoa maamuzi ya mwisho.
Sasa msela wangu kwa vile bado anatamani sana kuongoza akiongozwa na wivu wakiswahili ...kwamba mshamba fulani alikuja kumfunika kimaamuzi na kuona matokeo basi moyo ulikuwa unamuuma mpaka kukonda ila kwa sasa anaraha balaa na shavu limerejea maana anaongoza kwa kivuli.
Kumtaka mama kukaa nae kando hilo sahau ..endelea kuumia taratibu mpaka kwenye sanduku la kura ndio utafuta machozi.

Kuna mengi sana kachemsha kisa ushikaji...Tume ya madini kamweka shoga yake wa kitambo ex Barrick employee kuongoza unatarajia nini hapo.
Sukuma gang, Mataga na wafuasi wajiwe ambao ki uhalisia ndio wenye uchungu na hii nchi ni kundi lililopozwa kwenye mitandao lakini mitaani wanapenda kuona mama anabaki nje ya awamu ya nne ili waende sawa.
 
Dah....panga pangua ya nini tena....Sera ni zilezile....tena alisema mwenyewe kuwa yeye na JPM ni kitu kimoja....anyway tuendelee kumpa Mama muda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
 
Tuna Rais ambae anasahau hata majina ya aliowateua na mikoa aliyowapa[emoji3][emoji3][emoji3]
Mungu tunusuru
 
Well saidi; rais anayetegemea sana ushauri siyo competent. Anatakiwa aweze kutoa uamauzi hata bila kupata ushauri, na akipata ushauri anaupima kwanza kabla ya kutoa uamuzi, kwani siyo lazima akubaliane na kila ushauri. Watamwita kuwa hashauriki, lakini yeye asisyumbishwe na mano hayo.
 
Hawa ndio wabongo. Uzuri wa Mama yetu kipenzi Samia Suluhu Hassan ni kwamba hasikilizi wasema ovyo.

Mama anajua jukumu lake ni kuwatumikia Watanzania, full stop!
 
Hizi chuki zao na husda zao kwa mzee wa Msoga hata sijui zimesababishwa na nini.

Eti mama asimsikilize Mzee kikwete mtu alielitumikia taifa hili katika nyadhifa mbali mbali nyeto kabisa ambazo asilimia 98 ya members wote humu mtaota tu kuzipata amsikilize eti gentamycine.

Hivi hawa watu wanakula MAVI??? Mbona akili zao mbovu hivi???
 
Tatizo liko wapi? si ametengua kabla hajaapa? Na inawezekana hata anaweza akawa badilisha hata kabla hawaja apishwa SHIDA IKO WAPI Mkuu.
Sifa ya Magufuli alikuwa anatengua na anatoa sababu za kutengua hata miezi minne hajaisha tayari waliokuwa wanafurahia kifo chake sasa wameanza kuomboleza kwa uchungu kuliko hata sisi tuliolia sikuza msiba.Tutaelewana tu kwamba hakunaga kama JPM
 
Well said.

Yaani eti Leo Hayati Magufuli alikuwa bora. MAVI yao hawa Sukuma gang.

Na kwa taarifa tu, sisi Watanzania tumedhamiria kumuomba Mama agombee mwaka 2025 maana miaka 4 ni michache sana kuleta mabadiliko ya kweli na kuondoa majeraha na sononeko zilizosababishwa na hawa washamba
 
Tena alivyo mpuuzi eti mama asimsikilize JK, askilizwe nani sasa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…