Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea

Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea

The Supreme Conqueror

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2017
Posts
458
Reaction score
1,280
Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.

Katiba+Bendera=Mzalendo 🇹🇿
 
Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.

Katiba+Bendera=Mzalendo 🇹🇿
Hakuna namna mbwa akipenda kuondoka Mungu yupo atafanya kazi yake ipasavyo
 
Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.

Katiba+Bendera=Mzalendo 🇹🇿
Tawire baba! Tawiree!
 
Na ndicho ambacho nimeona mimi muota ndoto, na kitashangaza wengi...

Ni mabadiliko makubwa...
Watanzania wengi wanapenda sana kujihadithia hadithi wanazozipenda, kuliko kufanyia kazi matatizo yao ili wayatatue.

Mabadiliko makubwa ni vigumu kuja kama nchi bado ina watu wajinga wengi ambao hawajui hata kusoma kwa ufahamu.

Yani hata hayo unayoweza kuyaona ni makubwa, kwa mfano tupewe katiba mpya tunayoitaka leo, uongozi wa CCM ubadilishwe, kama hatujawa na mabadiliko ya kuondoa ujinga kwa wananchi, baada ya euphoria ya muda mfupi, tutajikuta tunarudia makosa yaleyale tu.

Kwa hivyo, ni muhimu kujikita kuondoa ujinga mkubwa kwa wananchi wengi, hapo hamna shortcut.
 
Ndoto nzuri hizi,huwa mnalala wapi nami niende nikalale niote ndoto hizo?
 
Hivi wale waongeaji maarufu wa CCM mbona kama wamekata Moto? Au sasa hivi ndo wameona vipengele vya makubaliano
 
Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.

Katiba+Bendera=Mzalendo [emoji1241]
Mwenyezi mungu atuongoze na atupe subra na roho zenye uvumilivu nina uhakika mwenyezi mungu hujibu kila ombi
 
MABADIRIKO MAKUBWA LAZIMA YAJE,BAADA YA KUONA UDHAIFU MKUBWA WA UTAWALA WA MWANAMKE
 
Watanzania wengi wanapenda sana kujihadithia hadithi wanazozipenda, kuliko kufanyia kazi matatizo yao ili wayatatue.

Mabadiliko makubwa ni vigumu kuja kama nchi bado ina watu wajinga wengi ambao hawajui hata kusoma kwa ufahamu.

Yani hata hayo unayoweza kuyaona ni makubwa, kwa mfano tupewe katiba mpya tunayoitaka leo, uongozi wa CCM ubadilishwe, kama hatujawa na mabadiliko ya kuondoa ujinga kwa wananchi, baada ya euphoria ya muda mfupi, tutajikuta tunarudia makosa yaleyale tu.

Kwa hivyo, ni muhimu kujikita kuondoa ujinga mkubwa kwa wananchi wengi, hapo hamna shortcut.
Huo ujinga atauondoa nani?.Bila kuondoa huo mfumo ulioweka nakulea huo ujinga kamwe usitegemee mfumo uliopo sasa utauondoa.
 
Huo ujinga atauondoa nani?.Bila kuondoa huo mfumo ulioweka nakulea huo ujinga kamwe usitegemee mfumo uliopo sasa utauondoa.
That is beside my point.

OP (TSC) - Naona mabadiliko makubwa Tanzania.

Kiranga - Mabadiliko makubwa hayawezekani bila kuondoa ujinga mkubwa wa watu wengi, hapo hakuna shortcut.

Gigabyte - Huo ujinga atauondoa nani? Bila kuondoa huo mfumo uliopo sasa...

That is beside my point, my point ni kwamba usitegemee mabadiliko makubwa bila kuondoa ujinga.

Hayo masuala la ujinga atauondoa nani, na tutauondoa vipi ni masuala tofauti na angalizo langu.

Yani kuna nyumba ina geti, halafu ina mlango wa mbele umefungwa.

OP (TSC) anakuja anasema naona tutapata ufunguo wa geti sasa hivi. Tutaingia ndani ya nyumba hii.

Mimi namkumbusha tu, asifikiri kwamba tukipata ufunguo wa geti ndiyo tumemaliza mchezo, bado kuna mlango wa mbele hatujaweza kuufungua.

Wewe unaniambia ni muhimu kufungua geti kwanza, bila kufungua geti hatutafika hata hapo kwenye huo mlango wa mbele.

Obviously you are right, lakini hilo haliondoi point yangu kwamba bado kuna mlango wa mbele, tusiusahau na kufikiri kwamba tukifungua geti ndiyo tumemaliza matatizo.
 
Hayo mabadiliko kama yaliyofanywa huko niger au?🤔🤔🤔🤐
 
Back
Top Bottom