Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea

Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea

Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.

Katiba+Bendera=Mzalendo [emoji1241]
Kama ni barafu limeshatolewa kwenye jokofu [emoji16] liko juani linayeyuka taratibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu kichwani kinanimbia kuwa Tanzania inakaribia kuona mabadiliko makubwa ya kiuongozi na mfumo ambayo yatakuja bila kutegemea. Viongozi wengi walioko madarakani sasa hivi wameshafikia saturation point ya kufikiri na ni suala la muda tu chochote kinaweza kikatokea.

Katiba+Bendera=Mzalendo 🇹🇿
Akili yangu inaniambia akina Lissu na genge lake HAWAWEZI kuwa viongozi wa Serikali ya nchi hii daima!
 
Huo ujinga atauondoa nani?.Bila kuondoa huo mfumo ulioweka nakulea huo ujinga kamwe usitegemee mfumo uliopo sasa utauondoa.
Ujinga unalea mfumo mbovu.

Mfumo nao kwakuwa unafaidika ukaamua kulea ujinga.

Uondoa ujinga, hakuna mfumo mbovu utastawi.
 
Naogopa yaliyompata Yusufu baada ya kueleza ndoto yake...

Aliishia kuuzwa utumwani, nusura afe...


Naiombea Tanzania amani...
Kuombea amani nchi ifanikiwe ndo cha msingi maana mara nyingi mafanikio ya mtu hufungwa na mahali alipo. Aisee ila kwa wale wa rohoni yajayo yaliyoonwa hayafurahishi hata kidogo ni mabaya sana infact nchi itazizima na kuomboleza wengi kuingia matesoni. Maombi muhimu tuendelee kuomba.
 
Watanzania wengi wanapenda sana kujihadithia hadithi wanazozipenda, kuliko kufanyia kazi matatizo yao ili wayatatue.

Mabadiliko makubwa ni vigumu kuja kama nchi bado ina watu wajinga wengi ambao hawajui hata kusoma kwa ufahamu.

Yani hata hayo unayoweza kuyaona ni makubwa, kwa mfano tupewe katiba mpya tunayoitaka leo, uongozi wa CCM ubadilishwe, kama hatujawa na mabadiliko ya kuondoa ujinga kwa wananchi, baada ya euphoria ya muda mfupi, tutajikuta tunarudia makosa yaleyale tu.

Kwa hivyo, ni muhimu kujikita kuondoa ujinga mkubwa kwa wananchi wengi, hapo hamna shortcut.
Nani haswa anaweza kufanya kazi hiii ndugu yangu?
 
Nani haswa anaweza kufanya kazi hiii ndugu yangu?
Mwalimu Nyerere alisema, kazi ya kulinda taifa ni yetu sote.

Yani usione kuwa, kuna polisi na wanajeshi ukasema kazi ya ulinzi ni yao uwaachie.

Maana yake, usitafute mtu fulani wa kumuachia hii kazi, kila mtu ana sehemu yake.

Kuna sehemu ya uongozi, kuna sehemu ya walimu, kuna sehemu ya malezi kwenye familia, kuna sehemu ya wazee, kuna sehemu ya watoto. Kila mtu ana sehemu yake.
 
Back
Top Bottom