Tetesi: Tanzania inalipwa mabilioni ya fedha toka nje ambazo zimefanywa siri na serikali hazina rekodi, tumenunulia ndege, na kujenga SGR na Stiegler nk

Oh ok sawa.

Nimekuelewa now mwanzo nilijua na wewe unajua kiasi gani tunapata basi ngoja tuite tetesi na uzushi tu.
 
Disagree.

TRA wasingetukaba hivi kama kuna chanzo kingine kikubwa cha kugharamia miradi ya kimkakati
Nakubaliana nawe mkuu Ndachuwa

Hivi tungekiwa kwenye neema hiyo, ni kwanini wafanyakazi wa umma wa nchi hii hawajaongezwa mishahara yao, ambapo ni kwa mujibu wa sheria, kwa miaka 4 mfululizo?
 
Highly unlikely, kama ni injection ya pesa nje , ahueni ingekuwa kubwa zaidi.
 
Tanzania,tualipwa ili tusiichimbe gesi yetu. Mbona hadhithi ya Abunuwasi/Alflelah Ulelah.Mtoa UZI Angalia usibadili gea bila Klachi,hiyo gari sio "Automatic gear"

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wazi huna elimu ya kutosha kuelewa hilo ndio maana unaona kama hadithi ya Abunuwasi. Umewahi kusikia Microsoft wanafanya kosa makusudi katika monopoly ya operating systems ili walipe faini? Najua huwezi kuelewa.
 
Kasome taarifa ya ongezeko la deni la Taifa kwa kipindi cha miezi 6 ya mwisho ya mwaka 2019 hafu ndo utuambie hizo pesa za mikopo zimeenda kufanya nn.
NI wazi hazjaenda kununua Dreamliner, Airbus, Bombardier na kujenga SGR na Stiegler

Umewahi kujiuliza kwa nini serikal haina wasiwasi na ongezeko kubwa la deni la taifa? Kuna nini inachojua ambacho wananchi wala wapinzani hawajui kuhusu kuliona deni hilo ni tatizo la muda mfupi?
 
uzushi uzushi uzushi ... yaani mawazo yako unaamua kuyafanya kuwa habari ... this does not warrant my thinking
Like you said, it is your thinking....which is not necessarily the thinking of someone with common sense, right?
 
Kwa hili ni uongo,
kinywa cha JPM hakiwezi kuacha kuropoka hata kwa bahati mbaya!!
Uongo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hewaaa! Sasa jiulize. Kwanza ni kweli kwamba Tanzania imekuwa nchi pekee duniani kuwa na Helium inayoptaikana ardhini kwa wingi na ambayo itatuingizia fedha kama vile tu tumegundua mafuta.

Sasa kwa nini kinywa cha JPM ambacho unasema hakiwezi kuacha kuropoka hata kwa bahati mbaya kimekaa kimya juu ya hilo? Inawezekana hatulipwi, lakini je kuwa na Helium nyingi nazo ni porojo? Umesikia lini serikali ikiongea kwa shamra shamra juu ya Helium yetu? Kwa nini wako kimya juu ya utajiri huu?

Jiulize kwa nini ni vyombo vya nje tu ndio ninaonekama kuwa na mchecheto na Helium yetu na serikali yetu imekaa kimya kabisa juu ya hilo? Angalia hapa chini;

 
Sio jambo la kuchekelea hili.

Hawa mabbeberu wakituchoka watapandikiza watu tupigane sisi kwa sisi ili tu waje kuvuna hii gesi yetu.

Wamevuna mafuta nchi za ghuba leo hii wanajidai " sisi marekani ni njchi ya kwanza kwa uzalishaji na akiba kubwa ya mafuta" Pumbavu! sana hawa watu, waliyatoa wapi? walipiganisha nchi za kiarabu wakati wakipigana wao walikuwa wakisafirisha mafuta eti kugharamia vita.

Unafikiri Mmarekani yupo Saudia miaka na miaka kuulinda ufalme wa saudia kwa malipo gani?.

Tayari wana mafuta ya kutosha miaka 100 ijayo, bado hawana hii gasi.
 
Umenena vema Mkuu.

Watu humu JF hawaelewi maana ya Tanzania kuwa nchi pekee duniani yenye Helium inayopatikana ardhini kwa wingi, ambayo inaweza kuua soko la nchi 6 pekee duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, huku Marekani ikiwa imeshikilia asilimia 50% ya soko hilo. Watu wanaropoka bila kujua implications za jambo hili, bila kujiuliza kwa nini serikali imekaa kimya sana kuhusu huu ugunduzi wa Helium.
 
Mungu mpokee mja wako Lwajabe
Kumbeee! Mie naye siku hizi nimeanza kuchoka kwenye hesabu za kujumlisha, yaani 2+2 inanipa taabu kupata jawabu?
Kumbe habari ya Lwajabe ilianzia humohumo? Basi kuna mengine makubwa mno hayajajulikana, Ila hakika utawala wa chama kingine ukiingia madarakani watu wa kunyongwa watakuwa wengi mno na tutamtaka huyo Rais asaini utekelezaji haraka
 
Kwanini hao waliopita hawakulipwa wakafanya miradi mikubwa ili wapate kick?
 
Mbona deni la taifa linaongezeka kama kuna pesa mbadala?? Kumbe ni tetesi! Huu ndio umbea aliosema naniliu
 
Kwanini hao waliopita hawakulipwa wakafanya miradi mikubwa ili wapate kick?
Fikirisha akili kidogo. Confirmation ya Helium Tanzania ilikuwa 2015. Sasa hao waliopita wangelipwaje kwa kitu ambacho hakikuwepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…