Tetesi: Tanzania inalipwa mabilioni ya fedha toka nje ambazo zimefanywa siri na serikali hazina rekodi, tumenunulia ndege, na kujenga SGR na Stiegler nk

Mbona deni la taifa linaongezeka kama kuna pesa mbadala?? Kumbe ni tetesi! Huu ndio umbea aliosema naniliu
Ukijua uchumi, utaelewa kwamba deni la taifa kuongezeka sababu yake inaweza kuwa ni kuwepo kwa Helium pia, kwa hiyo kuongezeka kwa deni la taifa inakuwa ni tatizo la muda mfupi. Ndio maana watu wana wasiwasi na ukubwa wa deni hili wakati Magufuli hana wasiwasi kabisa - kuonyesha anajua ni tatizo la muda. Ni sawa na kukopa sana fedha wakati una account ya muda unasubiri iive uchukue fedha nyingi zaidi ya hata ulizokopa.

Pia, kwani deni la taifa ni kwa fedha za nje tu? Au hujui deni la taifa linatia fedha za ndani kwa kiasi kikubwa?
 
Hata wamarekani na wao wanalumbana kuhusu kukopa
 
Hiyo reserve ya Helium tu innatosha kutufanya tutoke kwenye tope la umaskini na kutufanya tuwe nchi ya uchumi wa kati ndani ya miaka mitatu endapo kama viongozi wetu wa serikali watakuwa wakweli na wazalendo.

Lakini kama mambo ya usiri siri yataendelea hiyo neema itaishia kwenye matumbo machache na taifa litabakia katika umaskini wake ule ule.
 
Kama pesa za helium zipo ,deni lisingekuwa kubwa kwa haraka hivyo liwe la ndani au la nje au kinacholipwa ni kidogo hakiakisi na tusibishanie tetesi .
 
Pia tuombee hiyo helium ikianza kuchimbwa nchi yetu iwe na amani maana watu weupe hawachelewi kutuvuruga tuwe kama Congo.
 
Hahahaaaa una mawazo kama yangu nilitaka mwambia hii ni alikasusu kahawa hailetagi madhar makubwa hivi kichwai
Obviously, ndio maana duniani kuna wengine ni maprofessor wengine hata kuwafafanulia dunia ni mviringo huwezi, na wanasubiri makatibu wenezi wa vyama wawaambie vitu watakavyoamini bila kupinga
 
Hii nchi bwana! Kila mtu anakuja na la kwake....Jiululize deni la taifa liko ngapi kwa sasa na sio kusema tunapewa hela bure!!
 
Hii nchi bwana! Kila mtu anakuja na la kwake....Jiululize deni la taifa liko ngapi kwa sasa na sio kusema tunapewa hela bure!!
Hii nchi bwana, kuna watu vilaza sana. Toka waelewe neno deni la taifa basi wao wakisikia kuna hela hawataelewa kwa sababu wameambiwa kuna deni la taifa!

Hivi hata unajua deni la taifa linakuwaje, ni deni kutoka wapi, linahusuje fedha za ndani na nje, na ni kwa vipi linaweza kuzuia serikali kulipwa fedha kwa siri?
 
Ngoja niingie kwenye siasa Siku moja nitumie power kuwakomboa watanzania kutoka kwenye usingizi wa pono.maana tuna rasilimali nyingi sana but inaonekana uongozi tunaopata kila term ndio hawana vision.
 
MaSerikali ya ccm yanayo historia ya ku mismanage big resource za nchi. Hili la helium kila mtanzania apewe fungu lake la helium akauze popote anapopajua
 
Pia tuombee hiyo helium ikianza kuchimbwa nchi yetu iwe na amani maana watu weupe hawachelewi kutuvuruga tuwe kama Congo.
Good point Mkuu. Ukifikiria umuhimu na matumizi ya Helium, na Tanzania ndio ikawa kiongozi wa soko la Helium duniani, hili sio jambo dogo na la mzaha. Marekani hata siku moja hakubali kuwa tegemezi wa nchi ndogo kama Tanzania. Jambo la kwanza, watataka kuwa na raisi wanaemtaka Tanzania.

Helium ni gesi muhimu sana katika electronics technology ya sasa na mambo ya space science, ambapo sasa kuna ushindani mkubwa kati ya USA, Urusi na China katika space technology na warfare. Ona kwamba Helium inatumika pia kwenye intercontinental ballistic missiles! Halafu watu wanakuja walia lia ujinga humu ndani ooh hizi ni hadithi za Abunuwasi, deni la taifa sijui, wakati neno Helium wameliona kwa mara ya kwanza kwenye hii thread!

Itakuwa yale yale ya Iraq, wana-create mazingira ya kuingiza majeshi yao nchini, halafu mkiwaambia waondoke wanawaambia hatutoki ng'o!

Watu humu JF hawajajua uzito wa hili jambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…