Tetesi: Tanzania inalipwa mabilioni ya fedha toka nje ambazo zimefanywa siri na serikali hazina rekodi, tumenunulia ndege, na kujenga SGR na Stiegler nk

Tetesi: Tanzania inalipwa mabilioni ya fedha toka nje ambazo zimefanywa siri na serikali hazina rekodi, tumenunulia ndege, na kujenga SGR na Stiegler nk

Mkuu everything, including Helium gas project was put on hold. How could someone with no on going project pays you? Is that the way white boys gamble?
I don't think so. At least with the information I have, hata helium project nao wanahangaika kwenye corridor za wizara waanze kuichimba hiyo gas.
First of all you need to understand when we say Tanzania is being paid/compensated, it is being paid by who. It is not being paid by Helium One, that is ridiculous to even think of. Tanzania would be paid by the current producers of Helium to delay Helium One from starting Helium production at a comparatively lower cost that the current industrial Helium production cost. Common sense, you don't need an MBA to understand this logic.
 
Tetesi zlizopo ni kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha na kampuni za nje lakini fedha hizi zimefanywa siri bila kuingizwa katika kasri za serikali, na hivyo kuwa nje ya wigo wa ukaguzi wa serikali kutia na CAG. Hili ndilo simulizi lililopo.

Nitawawapa dondoo za mazungumzo yaliyofanyika.

"Asikudanganye mtu, suala la Tanzania kununua ndege kwa fedha za kodi na pia kujenga Stiegler na SGR, daraja la Salenda na hizo flyover na mabarabara na miradi mikubwa inayofanyika, sio kwamba ni fedha za kodi. Tanzania haina ubavu huo wa fedha za kodi kufanya miradi mikubwa kama hiyo. Mnadanganywa. Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha ambayo zimefanywa siri, na uongozi wa nchi kutumia fedha hizo kama mtaji wa kisiasa".

Lakini je, fedha hizo zinatoka wapi, na kwa nini Tanzania ilipwe? Simulizi linaendelea.

"Fedha hizo ni fedha za Helium ya Tanzania. Katika nchi ambazo zimebarikiwa rasilimali asili Tanzania labda inaongoza. Kuanzia miaka ya 2010 dunia ilionekana kwamba inaishiwa gesi ya Helium ambayo imekuwa ikitengenezwa viwandani na kuuzwa kwa bei kubwa"

"Kuna nchi sita tu duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, na viwanda 14 duniani. Karibu nusu ya hii gesi inatoka USA. na theruthi moja inatoka Qatar. Sasa viwanda vyote hivi 14 vilivyopo duniani, vinazalisha Helium kutokana na natural gas. Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo Helium imepetikana ardhini kwa wingi sana na ndio maana sasa iko katika nafasi ya kuongoza soko la Helium duniani".

"Hii gesi inapopatikana ardhini inakuwa na concentration ya wastani wa 2% na hivyo kufanya bei yake kuwa juu sana kwa kuchimba, na ndio maana inazalishwa viwandani. Sasa jambo moja la ajabu lilitokea. Mwaka 2015 wataalamu waligundua hii gesi Tanzania ikiwa inapatikana kwa kiwango cha juu sana, kati ya 5-15%. Hii ilifanya Tanzania kuwa nchi pekee ambayo ina Helium ardhini ambayo inaweza kuchimbwa na kuzalishwa kwa gharama ya chini kuliko inavyozalishwa na viwanda hivi 14 katika nchi 6 duniani. Na matokeo ni kwamba Tanzania ikajikuta katika nafasi ya kuongeongoza soko la Helium duniani, kama ambavyo Saudi Arabia inaongoza soko la mafuta duniani."

"Kwa sasa kuna upungufu mkubwa wa Helium. Kufuatia upungufu wa hii gesi, Marekani hata walianza kuweka hifadhi kubwa ya gesi hii kwa ajili ya matumizi ya baadae. Upungufu wa hii gesi umefanya bei yake uongezeka kwa zaidi ya asilimia 135% kwa mwaka mmoja tu!"

"Hii gesi ya Helium ni muhimu sana na itaipaisha Tanzania kiuchumi kuliko hata kama ingekuwa na mafuta. Matumizi ya hii gesi ni pamoja na kwenye mambo kama welding na hata utaalamu wa space (kwa kiingereza uses of Helium gas: are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, space travel, etc)"

"Lakini sasa kukawa na tatizo. Ikiwa Tanzania ingeruhusiwa kuchimba hii Helium na kuuza, basi ingeuza kwa bei poa kiasi kwamba ingeua kabisa uzalishaji wa hivi viwanda 14, USA akiwa mzalishaji mkubwa. Basi inaonekana kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzania icheleweshe uzalishaji wa Helium hadi wakati unaokubalika. Lakini kwa kufanya hivyo, lazima kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzaia ilipwe fedha nyingi kama "compensation" ya kuzuia uzalishaji wa Helium ili kunusuru kampuni zinazouza Helium kwa sasa. Hiyo ndiyo fedha inayofanya miradi yenu ambayo wanasiasa wenu wanawaambia eti ni kodi za wananchi ili kuji-promote kisiasa. Habari ya ugunduzi wa Heluim Tanzania na umuhimu wa hii gesi katika soko la dunia, ilipaswa kuwa kubwa kuliko kama Tanzania ingegundua mafuta. Sasa jiulize, kwa nini wanasiasa wenu wamekaa kimya kuhusu huu ugunduzi mkubwa uliofanyika Tanzania? Tanzania ni nchi pekee duniani unapata Helium ardhini na utatawala soko la dunia kama ilivyo kwa Tanzanite, na mnakaa kimya, kwa nini?"

NB: Kwa wale mnaochangia mada hii bila kufikirisha sana ubongo wenu, jiulizeni jambo hili: Je implications za Tanzania kuwa nchi pekee duniani yenye Helium inayopatikana ardhini kwa wingi, ambayo inaweza kuua soko la nchi 6 pekee duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, huku Marekani ikiwa imeshikilia zaidi ya asilimia 50% ya soko hilo, ni nini? Jiulizeni pia kwa nini serikali yetu imekaa kimya sana kuhusu huu ugunduzi wa Helium nchini ambayo itatatuweka karibu sawa kimapato na nchi zinazozalisha mafuta?

Pia tafakarini sana kile Bloomberg wamesema kuhusu ugunduzi wa Helium Tanzania, "With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania".

Mwisho tafakarini sana matumizi ya Helium, kutia ndani matumizi yake katika makombora ya masafa marefu (intercontinental ballistic missiles), space travel, chromatography, medical lasers, optical fiber nk


Reference: In Photos: Massive Underground Helium Reserve Found in Tanzania
Reference: That huge helium deposit under Tanzania is even bigger than we thought
Reference: Tanzania could become top helium producer - African Business Magazine

Taarifa ya Bloomberg Businessweek juu ya Helium ya Tanzania
2019-08-28


Among the key uses for helium today are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, and space travel. The Large Hadron Collider, the particle accelerator outside Geneva wrestling with the biggest questions of physics, needs 120 metric tons of helium a week to keep running. Helium can make things superconductive, meaning they can transmit electricity basically forever without generating any heat, and other helium properties make the element essential for semiconductor manufacturing. Every MRI machine in the world bathes its magnetic coils in liquid helium to prevent overheating.

Like the price of lithium, the price of helium is one of the more opaque among commodities, but reports said it jumped 135% from the previous year. With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania.

Helium prices

Current price: $37.50 per 1000 cubic feet
View attachment 1331611
Hizi ni propaganda za kujaribu kuichafua serikali ya rais Magufuli na sijui zinalenga ku achieve nini, certainly not in the interest of the masses.
Nadhani sheria ya kuzuia taarifa za uongo na upotoshaji wa namna hii inatakiwa kuanza kutumika mapema iwezekanavyo ili kuzuia wanasiasa uchwara wasiokuwa na hoja kuyumbisha wananchi kwa masilahi yao binafsi.
 
Tetesi zlizopo ni kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha na kampuni za nje lakini fedha hizi zimefanywa siri bila kuingizwa katika kasri za serikali, na hivyo kuwa nje ya wigo wa ukaguzi wa serikali kutia na CAG. Hili ndilo simulizi lililopo.

Nitawawapa dondoo za mazungumzo yaliyofanyika.

"Asikudanganye mtu, suala la Tanzania kununua ndege kwa fedha za kodi na pia kujenga Stiegler na SGR, daraja la Salenda na hizo flyover na mabarabara na miradi mikubwa inayofanyika, sio kwamba ni fedha za kodi. Tanzania haina ubavu huo wa fedha za kodi kufanya miradi mikubwa kama hiyo. Mnadanganywa. Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha ambayo zimefanywa siri, na uongozi wa nchi kutumia fedha hizo kama mtaji wa kisiasa".

Lakini je, fedha hizo zinatoka wapi, na kwa nini Tanzania ilipwe? Simulizi linaendelea.

"Fedha hizo ni fedha za Helium ya Tanzania. Katika nchi ambazo zimebarikiwa rasilimali asili Tanzania labda inaongoza. Kuanzia miaka ya 2010 dunia ilionekana kwamba inaishiwa gesi ya Helium ambayo imekuwa ikitengenezwa viwandani na kuuzwa kwa bei kubwa"

"Kuna nchi sita tu duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, na viwanda 14 duniani. Karibu nusu ya hii gesi inatoka USA. na theruthi moja inatoka Qatar. Sasa viwanda vyote hivi 14 vilivyopo duniani, vinazalisha Helium kutokana na natural gas. Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo Helium imepetikana ardhini kwa wingi sana na ndio maana sasa iko katika nafasi ya kuongoza soko la Helium duniani".

"Hii gesi inapopatikana ardhini inakuwa na concentration ya wastani wa 2% na hivyo kufanya bei yake kuwa juu sana kwa kuchimba, na ndio maana inazalishwa viwandani. Sasa jambo moja la ajabu lilitokea. Mwaka 2015 wataalamu waligundua hii gesi Tanzania ikiwa inapatikana kwa kiwango cha juu sana, kati ya 5-15%. Hii ilifanya Tanzania kuwa nchi pekee ambayo ina Helium ardhini ambayo inaweza kuchimbwa na kuzalishwa kwa gharama ya chini kuliko inavyozalishwa na viwanda hivi 14 katika nchi 6 duniani. Na matokeo ni kwamba Tanzania ikajikuta katika nafasi ya kuongeongoza soko la Helium duniani, kama ambavyo Saudi Arabia inaongoza soko la mafuta duniani."

"Kwa sasa kuna upungufu mkubwa wa Helium. Kufuatia upungufu wa hii gesi, Marekani hata walianza kuweka hifadhi kubwa ya gesi hii kwa ajili ya matumizi ya baadae. Upungufu wa hii gesi umefanya bei yake uongezeka kwa zaidi ya asilimia 135% kwa mwaka mmoja tu!"

"Hii gesi ya Helium ni muhimu sana na itaipaisha Tanzania kiuchumi kuliko hata kama ingekuwa na mafuta. Matumizi ya hii gesi ni pamoja na kwenye mambo kama welding na hata utaalamu wa space (kwa kiingereza uses of Helium gas: are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, space travel, etc)"

"Lakini sasa kukawa na tatizo. Ikiwa Tanzania ingeruhusiwa kuchimba hii Helium na kuuza, basi ingeuza kwa bei poa kiasi kwamba ingeua kabisa uzalishaji wa hivi viwanda 14, USA akiwa mzalishaji mkubwa. Basi inaonekana kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzania icheleweshe uzalishaji wa Helium hadi wakati unaokubalika. Lakini kwa kufanya hivyo, lazima kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzaia ilipwe fedha nyingi kama "compensation" ya kuzuia uzalishaji wa Helium ili kunusuru kampuni zinazouza Helium kwa sasa. Hiyo ndiyo fedha inayofanya miradi yenu ambayo wanasiasa wenu wanawaambia eti ni kodi za wananchi ili kuji-promote kisiasa. Habari ya ugunduzi wa Heluim Tanzania na umuhimu wa hii gesi katika soko la dunia, ilipaswa kuwa kubwa kuliko kama Tanzania ingegundua mafuta. Sasa jiulize, kwa nini wanasiasa wenu wamekaa kimya kuhusu huu ugunduzi mkubwa uliofanyika Tanzania? Tanzania ni nchi pekee duniani unapata Helium ardhini na utatawala soko la dunia kama ilivyo kwa Tanzanite, na mnakaa kimya, kwa nini?"

NB: Kwa wale mnaochangia mada hii bila kufikirisha sana ubongo wenu, jiulizeni jambo hili: Je implications za Tanzania kuwa nchi pekee duniani yenye Helium inayopatikana ardhini kwa wingi, ambayo inaweza kuua soko la nchi 6 pekee duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, huku Marekani ikiwa imeshikilia zaidi ya asilimia 50% ya soko hilo, ni nini? Jiulizeni pia kwa nini serikali yetu imekaa kimya sana kuhusu huu ugunduzi wa Helium nchini ambayo itatatuweka karibu sawa kimapato na nchi zinazozalisha mafuta?

Pia tafakarini sana kile Bloomberg wamesema kuhusu ugunduzi wa Helium Tanzania, "With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania".

Mwisho tafakarini sana matumizi ya Helium, kutia ndani matumizi yake katika makombora ya masafa marefu (intercontinental ballistic missiles), space travel, chromatography, medical lasers, optical fiber nk


Reference:
In Photos: Massive Underground Helium Reserve Found in Tanzania
Reference: That huge helium deposit under Tanzania is even bigger than we thought
Reference: Tanzania could become top helium producer - African Business Magazine

Taarifa ya Bloomberg Businessweek juu ya Helium ya Tanzania
2019-08-28


Among the key uses for helium today are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, and space travel. The Large Hadron Collider, the particle accelerator outside Geneva wrestling with the biggest questions of physics, needs 120 metric tons of helium a week to keep running. Helium can make things superconductive, meaning they can transmit electricity basically forever without generating any heat, and other helium properties make the element essential for semiconductor manufacturing. Every MRI machine in the world bathes its magnetic coils in liquid helium to prevent overheating.

Like the price of lithium, the price of helium is one of the more opaque among commodities, but reports said it jumped 135% from the previous year. With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania.

Helium prices

Current price: $37.50 per 1000 cubic feet
View attachment 1331611
Siyo taarifa mpya wala siri kwa kuwa ilichapishwa na gazeti la "The Citizen" la tarehe 24/01/2018 baafa ya kongomano la sayansuli kimataifa lilofanyika Chuo Kikuu Dsm chini ya Idara ya Jiolojia.

Hayo mengine imeongeza kuonesha hisia zako hasi dhidi ya Serikali. Hata kama uliyosema ni kweli, ni uthibitisho wa kauli ya Rais kuwa Tanzania ni tajiri haitaji kuwa ombaomba iwapo itasimamia rasmali zake vizuri kwa ajili ya maendeleo.

Kutiwa sahini mkataba wa uanzishaji wa Twiga Mining Co ni uthibitisho kuwa kodi itapatikana kutumika kwa maendeleo ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni propaganda za kujaribu kuichafua serikali ya rais Magufuli na sijui zinalenga ku achieve nini, certainly not in the interest of the masses.
Nadhani sheria ya kuzuia taarifa za uongo na upotoshaji wa namna hii inatakiwa kuanza kutumika mapema iwezekanavyo ili kuzuia wanasiasa uchwara wasiokuwa na hoja kuyumbisha wananchi kwa masilahi yao binafsi.
Tatizo la watu kama nyie mnatumie lugha ya kisiasa kujibu hoja zinazowafunua ufisadi wa kisiasa. Unaacha kujibu substance issue zilizopo unajiingiza kwenye majibu ya ujumla - generic political answers- eti upotoshaji, wanasiasa uchwara nk. Hiyo ni lugha ya wanasiasa mashabiki ambao hawana hoja na watupu kichwani. Hata mpinzani Zitto amejibu hii thread kwa namna ya ukomavu wa kisiasa, sasa wewe mkomavu wa CCM unashindwa nini? Je ni namna ya kuonyesha wapinzani wana akili sana kuliko nyie?

Kama ni uchwara wa kisiasa basi nyie ndio mnaongoza.Hamuwezi kutegemea kuendeleza monopoly ya siasa nchini mnayolazimisha kwa kujibu kila hoja inayotolewa au kila mnapokosolewa kwa kusema ni upotoshaji, taarifa za uongo sijui siasa uchwara, ili kama ungekuwa unanifahamu utumie polisi wenu au TISS sjui kunikamata. Jibu hoja acha utoto wa ksiasa hapa. Kama una point za kukanusha kanusha basi. Kama huna kaa kimya na ujinga wako. Wewe kutojua undani wa mambo kama haya halifanyi liwe uongo au upotoshaji. Watu mmezoea kuishi kwa vitisho na maneno ya kippopaganda sijui upotoshaji nk. Ujinga wa hali ya juu huo katika siasa.

Mnaniudi sana watu wa aina yako. Ni wazi nyie ni failures katika maisha mliokimbilia kwenye siasa. Tunahitaji wanasiasa intellectuals wenye kujibu mambo kwa nguvu ya hoja, sio mashabiki kama wewe.
 
Mkuu, kama ungesoma mambo ya business hili la compensation lingekuwa rahisi sana kwako kuelewa.

Fikiria hili. Tuseme una kiwanda cha kutengeneza chupa za chai, na inakugharibu shilingi elfu moja kutengeneza chupa moja ya chai na unaiuza kwa shilingi 1500 ukipata faida ya Shs 500 kwa kila chupa. Na wewe ndio mtu pekee mwenye kiwanda cha chupa za chai duniani.

Sasa anakuja mtu anakuambia, nimegundua njia ya kutengeneza chupa bora zaidi na moja nitaitengeneza kwa shilingi 500 badala ya 1000 kama wewe, na nitakapoanza kuzitengeneza nitaziuza kwa shilingi 1000 badala ya 1500 kama wewe.

Utafanya nini? Kumbuka huyo mtu akianza kuuza chupa moja kwa shilingi 1000 basi wewe itabidi ufunge kiwanda chako, maana watu hawatakubali kununuia chupa zako kwa shilingi 1500 wakati zipo ambazo ni bora zaidi na zinauzwa kwa shilingi 1000 kila moja.

Una mamwili ya kufanya. Itabidi ujitahidi sana upunguze gharama yako ya uzalishaji kutoka shilingi 1000 hadi 500 ili na wewe upunguze bei hadi shilingi 1000 au hata 900 ili kuendelea na biashara. Labda hilo halitawezekana.

Njia ya pili ni kumwambia (au kumlazimisha ukiweza) yule jamaa aliyegundua njia bora na rahisi ya kutengeneza chupa, kwamba sikiliza, katika kila faida ya Shs 500 ninayopta kwa kuuza chupa zangu, nitakupa shs 250 ili usianze kutengeneza chupa zako hadi nitakapofunga kiwanda changu baada ya miaka 10. Nakupa hiyo shs 250 bure bila wewe kufanya kazi na huku rasilimali yako ya kutengeneza chupa za chai ikiendelea kuwapo na utaanza kuitumia siku mie nikiacha. Nipe hiyo mika 10 nijiandae kufunga kiwanda changu bila hasara.

Kumbuka hata ukimpa shs 250 katika faida yako, bado utapata faida, japo itakuwa imepungua, tofauti na hasara ya kufunga kabisa kiwanda chako.

Kuna wakati Bill Gates wa Microsoft aliambiwa aruhusu ushindani katika soko la operating system kwenye computer ili wateja wawe na uhuru wa kutumia operating system zaidi ya Microsoft Windows, la sivyo atapigwa faini ya mamilioni ya dola kila mwaka. Bill Gates alipiga hesabu akakuta hata akipigwa fine bado atapata faida, akaendelea na ukiritimba!

Mfano rahisi ni hivi, nikikwambia nipo hapa Moshi nakusubiri na ukiweza kufika na gari yako kutoka Dar ndani ya masaa matano nitakulipa Tshs 3M, je utajali kupigwa tochi na trafiki? Wakikupiga tochi si utakuwa unawaambia hebu niandikieni faini haraka nina haraka!

Sasa hvyo ndivyo biashara ya kimataifa inavyofanyika. Na kama umenielewa hapo juu utaelewa kwa nini kuna tetesi Tanzania inalipwa kuchelewesha uzalishaji wa Helium, na nani watakuwa wanatoa hela za kuilipa Tanzania.
Mkuu, haya uliyoweka hapa yanaeleweka sana hata bila kwenda shule ya eneo hilo.

Katika swala la hii gesi ya helium, Mmarekani hana shida kabisa, maanake yeye mipango yake ni ya muda mrefu. Analimbikiza madini yote yenye uhitaji anaooujua, kwa hiyo, kwake kununua na kulimbikiza helium ya kukusanya lisingekuwa tatizo kwake kuinunua kwetu, badala ya kutoa pesa ili tucheleweshe kuweka mali sokoni.

Ndio maana nikasema kuna ugumu wa kuliamini hili.
 
Mkuu, haya uliyoweka hapa yanaeleweka sana hata bila kwenda shule ya eneo hilo.

Katika swala la hii gesi ya helium, Mmarekani hana shida kabisa, maanake yeye mipango yake ni ya muda mrefu. Analimbikiza madini yote yenye uhitaji anaooujua, kwa hiyo, kwake kununua na kulimbikiza helium ya kukusanya lisingekuwa tatizo kwake kuinunua kwetu, badala ya kutoa pesa ili tucheleweshe kuweka mali sokoni.

Ndio maana nikasema kuna ugumu wa kuliamini hili.
Ahaa! Rudia statement ya Bloomberg;

"Helium One expects to be producing helium from Tanzania by the end of 2020, a few months before the world's main supplier, the U.S. government, ceases to supply the gas from the Federal Helium Reserve in Texas"
 
Rais kuwa Tanzania ni tajiri haitaji kuwa ombaomba iwapo itasimamia rasmali zake vizuri kwa ajili ya maendeleo.

Hili ni sawa kabisa.
Kuna tofauti kubwa sana kulisema na kulitekeleza.

Ndio, tutafaidika kidogo na mikataba hii mipya kuliko ilivyokuwa hapo zamani, lakini mwelekeo bado ni ule ule wa kuchimba na kusafirisha nje.
Tunayo madini ya graphite sehemu mbalimbali nchini, yanachimbwa na kusombwa, wala hatutaki kujua yanatumika kutengeneza mali zipi, ili nasi tujaribu kutengeneza mali hizo tuwauzie wengine.

Hiyo helium, hivyo hivyo. Utajiri wetu ni wa kuchimba na kusafirisha. Huko ndiko kufaidika na utajiri huo?

Hawa vijana wanaomaliza vyuo na kukaa vijiweni, hatuuoni huo utajiri tunaoupoteza bure? Kwa nini kusiwe na mikakati ya kuwaunganisha vijana hawa na hizi mali zetu ili tufaidike zaidi nazo kikamilifu!

Sasa najua sitaeleweka, lakini ukweli ni kwamba bado hatuna mipango endelevu ya kuutumia huu utajiri tulio nao kikamilifu.
 
Tuchimbe tu hiyo helium teknolojia inabadilika upesi twaweza kuja jikuta tuna helium halafu hatuna cha kufanya nayo.Ichimbwe chap chap
YEHODAYA tatizo USA watakubaliana nasi?! Au watalianzisha kama Iraq, Syria na kwingineko? Hayo majambazi yanatutia hofu sana kwa kweli..
 
Tetesi zlizopo ni kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha na kampuni za nje lakini fedha hizi zimefanywa siri bila kuingizwa katika kasri za serikali, na hivyo kuwa nje ya wigo wa ukaguzi wa serikali kutia na CAG. Hili ndilo simulizi lililopo.

Nitawawapa dondoo za mazungumzo yaliyofanyika.

"Asikudanganye mtu, suala la Tanzania kununua ndege kwa fedha za kodi na pia kujenga Stiegler na SGR, daraja la Salenda na hizo flyover na mabarabara na miradi mikubwa inayofanyika, sio kwamba ni fedha za kodi. Tanzania haina ubavu huo wa fedha za kodi kufanya miradi mikubwa kama hiyo. Mnadanganywa. Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha ambayo zimefanywa siri, na uongozi wa nchi kutumia fedha hizo kama mtaji wa kisiasa".

Lakini je, fedha hizo zinatoka wapi, na kwa nini Tanzania ilipwe? Simulizi linaendelea.

"Fedha hizo ni fedha za Helium ya Tanzania. Katika nchi ambazo zimebarikiwa rasilimali asili Tanzania labda inaongoza. Kuanzia miaka ya 2010 dunia ilionekana kwamba inaishiwa gesi ya Helium ambayo imekuwa ikitengenezwa viwandani na kuuzwa kwa bei kubwa"

"Kuna nchi sita tu duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, na viwanda 14 duniani. Karibu nusu ya hii gesi inatoka USA. na theruthi moja inatoka Qatar. Sasa viwanda vyote hivi 14 vilivyopo duniani, vinazalisha Helium kutokana na natural gas. Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo Helium imepetikana ardhini kwa wingi sana na ndio maana sasa iko katika nafasi ya kuongoza soko la Helium duniani".

"Hii gesi inapopatikana ardhini inakuwa na concentration ya wastani wa 2% na hivyo kufanya bei yake kuwa juu sana kwa kuchimba, na ndio maana inazalishwa viwandani. Sasa jambo moja la ajabu lilitokea. Mwaka 2015 wataalamu waligundua hii gesi Tanzania ikiwa inapatikana kwa kiwango cha juu sana, kati ya 5-15%. Hii ilifanya Tanzania kuwa nchi pekee ambayo ina Helium ardhini ambayo inaweza kuchimbwa na kuzalishwa kwa gharama ya chini kuliko inavyozalishwa na viwanda hivi 14 katika nchi 6 duniani. Na matokeo ni kwamba Tanzania ikajikuta katika nafasi ya kuongeongoza soko la Helium duniani, kama ambavyo Saudi Arabia inaongoza soko la mafuta duniani."

"Kwa sasa kuna upungufu mkubwa wa Helium. Kufuatia upungufu wa hii gesi, Marekani hata walianza kuweka hifadhi kubwa ya gesi hii kwa ajili ya matumizi ya baadae. Upungufu wa hii gesi umefanya bei yake uongezeka kwa zaidi ya asilimia 135% kwa mwaka mmoja tu!"

"Hii gesi ya Helium ni muhimu sana na itaipaisha Tanzania kiuchumi kuliko hata kama ingekuwa na mafuta. Matumizi ya hii gesi ni pamoja na kwenye mambo kama welding na hata utaalamu wa space (kwa kiingereza uses of Helium gas: are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, space travel, etc)"

"Lakini sasa kukawa na tatizo. Ikiwa Tanzania ingeruhusiwa kuchimba hii Helium na kuuza, basi ingeuza kwa bei poa kiasi kwamba ingeua kabisa uzalishaji wa hivi viwanda 14, USA akiwa mzalishaji mkubwa. Basi inaonekana kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzania icheleweshe uzalishaji wa Helium hadi wakati unaokubalika. Lakini kwa kufanya hivyo, lazima kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzaia ilipwe fedha nyingi kama "compensation" ya kuzuia uzalishaji wa Helium ili kunusuru kampuni zinazouza Helium kwa sasa. Hiyo ndiyo fedha inayofanya miradi yenu ambayo wanasiasa wenu wanawaambia eti ni kodi za wananchi ili kuji-promote kisiasa. Habari ya ugunduzi wa Heluim Tanzania na umuhimu wa hii gesi katika soko la dunia, ilipaswa kuwa kubwa kuliko kama Tanzania ingegundua mafuta. Sasa jiulize, kwa nini wanasiasa wenu wamekaa kimya kuhusu huu ugunduzi mkubwa uliofanyika Tanzania? Tanzania ni nchi pekee duniani unapata Helium ardhini na utatawala soko la dunia kama ilivyo kwa Tanzanite, na mnakaa kimya, kwa nini?"

NB: Kwa wale mnaochangia mada hii bila kufikirisha sana ubongo wenu, jiulizeni jambo hili: Je implications za Tanzania kuwa nchi pekee duniani yenye Helium inayopatikana ardhini kwa wingi, ambayo inaweza kuua soko la nchi 6 pekee duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, huku Marekani ikiwa imeshikilia zaidi ya asilimia 50% ya soko hilo, ni nini? Jiulizeni pia kwa nini serikali yetu imekaa kimya sana kuhusu huu ugunduzi wa Helium nchini ambayo itatatuweka karibu sawa kimapato na nchi zinazozalisha mafuta?

Pia tafakarini sana kile Bloomberg wamesema kuhusu ugunduzi wa Helium Tanzania, "With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania".

Mwisho tafakarini sana matumizi ya Helium, kutia ndani matumizi yake katika makombora ya masafa marefu (intercontinental ballistic missiles), space travel, chromatography, medical lasers, optical fiber nk


Reference: In Photos: Massive Underground Helium Reserve Found in Tanzania
Reference: That huge helium deposit under Tanzania is even bigger than we thought
Reference: Tanzania could become top helium producer - African Business Magazine

Taarifa ya Bloomberg Businessweek juu ya Helium ya Tanzania
2019-08-28


Among the key uses for helium today are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, and space travel. The Large Hadron Collider, the particle accelerator outside Geneva wrestling with the biggest questions of physics, needs 120 metric tons of helium a week to keep running. Helium can make things superconductive, meaning they can transmit electricity basically forever without generating any heat, and other helium properties make the element essential for semiconductor manufacturing. Every MRI machine in the world bathes its magnetic coils in liquid helium to prevent overheating.

Like the price of lithium, the price of helium is one of the more opaque among commodities, but reports said it jumped 135% from the previous year. With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania.

Helium prices

Current price: $37.50 per 1000 cubic feet
View attachment 1331611
Kama kweli basi shame to the people who have done this. Ni ujinga na upumbavu wa kipepe..
 
Ahaa! Rudia statement ya Bloomberg;

"Helium One expects to be producing helium from Tanzania by the end of 2020, a few months before the world's main supplier, the U.S. government, ceases to supply the gas from the Federal Helium Reserve in Texas"
Na haitashangaza, huyo huyo US ndiye akawa mnunuzi mkuu, ku-'replenish' stock yake ya helium.

Lakini sisi hata lile wazo tu la kufikiria kuwaalika akina Philips. General Electric, Siemens; na hata waChina waje wawekeze hapa kwetu kutengeneza MRI zao na kutuuzia na kuwauzia waafrika wenzetu, hilo linatushinda kuliunganisha na hizi mali zetu.

Kwa nini hili linatushinda?

Hata kutengeneza maputo tu hatuwezi, tukawauzia waKenya ili tofauti kubwa ya biashara kati yetu ipungue hatuwezi tukaliwaza hilo?
Hata kutengeneza penseli tokana na graphite yetu nyingi hapa tukawauzia watoto kote Afrika, haiwezekani; ila tunachoweza ni kuchimba na kusafirisha?
 
Tetesi zlizopo ni kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha na kampuni za nje lakini fedha hizi zimefanywa siri bila kuingizwa katika kasri za serikali, na hivyo kuwa nje ya wigo wa ukaguzi wa serikali kutia na CAG. Hili ndilo simulizi lililopo.

Nitawawapa dondoo za mazungumzo yaliyofanyika.

"Asikudanganye mtu, suala la Tanzania kununua ndege kwa fedha za kodi na pia kujenga Stiegler na SGR, daraja la Salenda na hizo flyover na mabarabara na miradi mikubwa inayofanyika, sio kwamba ni fedha za kodi. Tanzania haina ubavu huo wa fedha za kodi kufanya miradi mikubwa kama hiyo. Mnadanganywa. Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha ambayo zimefanywa siri, na uongozi wa nchi kutumia fedha hizo kama mtaji wa kisiasa".

Lakini je, fedha hizo zinatoka wapi, na kwa nini Tanzania ilipwe? Simulizi linaendelea.

"Fedha hizo ni fedha za Helium ya Tanzania. Katika nchi ambazo zimebarikiwa rasilimali asili Tanzania labda inaongoza. Kuanzia miaka ya 2010 dunia ilionekana kwamba inaishiwa gesi ya Helium ambayo imekuwa ikitengenezwa viwandani na kuuzwa kwa bei kubwa"

"Kuna nchi sita tu duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, na viwanda 14 duniani. Karibu nusu ya hii gesi inatoka USA. na theruthi moja inatoka Qatar. Sasa viwanda vyote hivi 14 vilivyopo duniani, vinazalisha Helium kutokana na natural gas. Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo Helium imepetikana ardhini kwa wingi sana na ndio maana sasa iko katika nafasi ya kuongoza soko la Helium duniani".

"Hii gesi inapopatikana ardhini inakuwa na concentration ya wastani wa 2% na hivyo kufanya bei yake kuwa juu sana kwa kuchimba, na ndio maana inazalishwa viwandani. Sasa jambo moja la ajabu lilitokea. Mwaka 2015 wataalamu waligundua hii gesi Tanzania ikiwa inapatikana kwa kiwango cha juu sana, kati ya 5-15%. Hii ilifanya Tanzania kuwa nchi pekee ambayo ina Helium ardhini ambayo inaweza kuchimbwa na kuzalishwa kwa gharama ya chini kuliko inavyozalishwa na viwanda hivi 14 katika nchi 6 duniani. Na matokeo ni kwamba Tanzania ikajikuta katika nafasi ya kuongeongoza soko la Helium duniani, kama ambavyo Saudi Arabia inaongoza soko la mafuta duniani."

"Kwa sasa kuna upungufu mkubwa wa Helium. Kufuatia upungufu wa hii gesi, Marekani hata walianza kuweka hifadhi kubwa ya gesi hii kwa ajili ya matumizi ya baadae. Upungufu wa hii gesi umefanya bei yake uongezeka kwa zaidi ya asilimia 135% kwa mwaka mmoja tu!"

"Hii gesi ya Helium ni muhimu sana na itaipaisha Tanzania kiuchumi kuliko hata kama ingekuwa na mafuta. Matumizi ya hii gesi ni pamoja na kwenye mambo kama welding na hata utaalamu wa space (kwa kiingereza uses of Helium gas: are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, space travel, etc)"

"Lakini sasa kukawa na tatizo. Ikiwa Tanzania ingeruhusiwa kuchimba hii Helium na kuuza, basi ingeuza kwa bei poa kiasi kwamba ingeua kabisa uzalishaji wa hivi viwanda 14, USA akiwa mzalishaji mkubwa. Basi inaonekana kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzania icheleweshe uzalishaji wa Helium hadi wakati unaokubalika. Lakini kwa kufanya hivyo, lazima kulikuwa na makubaliano kwamba Tanzaia ilipwe fedha nyingi kama "compensation" ya kuzuia uzalishaji wa Helium ili kunusuru kampuni zinazouza Helium kwa sasa. Hiyo ndiyo fedha inayofanya miradi yenu ambayo wanasiasa wenu wanawaambia eti ni kodi za wananchi ili kuji-promote kisiasa. Habari ya ugunduzi wa Heluim Tanzania na umuhimu wa hii gesi katika soko la dunia, ilipaswa kuwa kubwa kuliko kama Tanzania ingegundua mafuta. Sasa jiulize, kwa nini wanasiasa wenu wamekaa kimya kuhusu huu ugunduzi mkubwa uliofanyika Tanzania? Tanzania ni nchi pekee duniani unapata Helium ardhini na utatawala soko la dunia kama ilivyo kwa Tanzanite, na mnakaa kimya, kwa nini?"

NB: Kwa wale mnaochangia mada hii bila kufikirisha sana ubongo wenu, jiulizeni jambo hili: Je implications za Tanzania kuwa nchi pekee duniani yenye Helium inayopatikana ardhini kwa wingi, ambayo inaweza kuua soko la nchi 6 pekee duniani zinazozalisha Helium kwa sasa, huku Marekani ikiwa imeshikilia zaidi ya asilimia 50% ya soko hilo, ni nini? Jiulizeni pia kwa nini serikali yetu imekaa kimya sana kuhusu huu ugunduzi wa Helium nchini ambayo itatatuweka karibu sawa kimapato na nchi zinazozalisha mafuta?

Pia tafakarini sana kile Bloomberg wamesema kuhusu ugunduzi wa Helium Tanzania, "With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania".

Mwisho tafakarini sana matumizi ya Helium, kutia ndani matumizi yake katika makombora ya masafa marefu (intercontinental ballistic missiles), space travel, chromatography, medical lasers, optical fiber nk


Reference:
In Photos: Massive Underground Helium Reserve Found in Tanzania
Reference: That huge helium deposit under Tanzania is even bigger than we thought
Reference: Tanzania could become top helium producer - African Business Magazine

Taarifa ya Bloomberg Businessweek juu ya Helium ya Tanzania
2019-08-28


Among the key uses for helium today are arc welding, chromatography, medical lasers, optical fiber, intercontinental ballistic missiles, and space travel. The Large Hadron Collider, the particle accelerator outside Geneva wrestling with the biggest questions of physics, needs 120 metric tons of helium a week to keep running. Helium can make things superconductive, meaning they can transmit electricity basically forever without generating any heat, and other helium properties make the element essential for semiconductor manufacturing. Every MRI machine in the world bathes its magnetic coils in liquid helium to prevent overheating.

Like the price of lithium, the price of helium is one of the more opaque among commodities, but reports said it jumped 135% from the previous year. With such extreme sensitivity in this market, a big new helium source could, just maybe, transform a whole country’s economy. A country such as, say, Tanzania.

Helium prices

Current price: $37.50 per 1000 cubic feet
View attachment 1331611
Mimi binafsi naona ni sahihi kufanya siri au kuiza kwa siri kama ulichokiandika ni ukweli.

Wazungu si watu wazuri. Kwa nchi zinazoendelea ukionekana unayo maliasili nyingi ambayo wao wanaihitaji saana hawakawii kukuundia visa na kukuvamia kwa lengo la kukuibia maliasili hiyo. Rejea Iraq na hata Libya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu angalia mbali zaidi ya hapo. Tunalipwa fedha ambayo haiingii kwenye rekodi za serikali ili serikali iliyopo madarakani iseme sisi tuna tumia kodi za wananchi vizuri na kujipa kiki ya kisiasa kuwa wamefanya miradi mikubwa tofauti na viongozi waliopita?
Tunachohitaji sisi ni maendeleo tu. Hizo propaganda zako za ufipa peleka huko huko ufipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini hili linatushinda?

Hata kutengeneza maputo tu hatuwezi, tukawauzia waKenya ili tofauti kubwa ya biashara kati yetu ipungue hatuwezi tukaliwaza hilo?
Hata kutengeneza penseli tokana na graphite yetu nyingi hapa tukawauzia watoto kote Afrika, haiwezekani; ila tunachoweza ni kuchimba na kusafirisha?
Tatizo Ni sekta binafsi haijiongezi.Sehemu kubwa ya sekta binafsi hizo Ni fursa ambazo ilitakiwa izitumie.Fursa hizo hata wewe jitose ufanye unataka Afanye Nani ?
 
Tatizo Ni sekta binafsi haijiongezi.Sehemu kubwa ya sekta binafsi hizo Ni fursa ambazo ilitakiwa izitumie.Fursa hizo hata wewe jitose ufanye unataka Afanye Nani ?
Katika jambo mhimu kama hili serikali haiwezi ikajitoa.
Hao sekta binafsi wanahitaji mazingira yanayowezesha shughuli zao, na ni wajibu wa serikali kuyaweka mazingira hayo.

Kazi ya kuwaandaa vijana wawe tayari kutumiwa na sekkta binafsi, huwezi kuondoa wajibu wa serikali kufanikisha hilo; na mengi mengine.
 
Mimi binafsi naona ni sahihi kufanya siri au kuiza kwa siri kama ulichokiandika ni ukweli.

Wazungu si watu wazuri. Kwa nchi zinazoendelea ukionekana unayo maliasili nyingi ambayo wao wanaihitaji saana hawakawii kukuundia visa na kukuvamia kwa lengo la kukuibia maliasili hiyo. Rejea Iraq na hata Libya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utafanya siri wazungu wasijue, huu sio ujinga?

Wanaofichwa wasijue kinachoendelea ni maamuma kama nyie, sio wazungu, hawa wana nyenzo zote za kujua kila linalofanyika huko makabatini kwenu.

Tunachohitaji sisi ni maendeleo tu. Hizo propaganda zako za ufipa peleka huko huko ufipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni zaidi ya ujinga..., inaelekea kwenye 'upumbavu'.
 
Dah! Tunalipwa ili isivunwe?adumu Maghufuli!
[/eeQUOTE]
Huu mchezo siyo wa leo. Nilifanya utafiti 1972 kuhusu madini hata kuvuna mafuta na urani yetu tunalipwa tueivune. Hizo hell wanazijua genge la CCM tu. Usione wanaparulana iko maneno.
 
Mkuu, unataka tuongee dini? Unajichanganya sana na kutoelewa ukweli wa kisayansi juu ya Biblia. Kwani Yesu aliumbwa kwa mara ya kwanza alipozaliwa na Mariam? Yesu alikuwapo mabilioni ya miaka kabla ya kuzaliwa na Mariam hiyo miaka 2020 iliyopita unayoitaja.

Na pia tofautisha kati ya dunia kuwepo na kuumbwa kwa vitu kama wanyama na mimea na bahari nk juu ya dunia. Dunia imekuwapo kwa mabilioni ya miaka ikiwa imefunikwa na maji, kabla ya uumbaji unaoongelewa katika kitabu cha Mwanzo.

Genesis 1:1-2: In the beginning God created the heavens and the earth. Now the earth was formless and void, and darkness was over the surface of the deep. And the Spirit of God was hovering over the surface of the waters.

Mwanzo 1:1-2 sio day 1 ya uumbaji, ni mabilioni ya miaka kabla ya day 1 ya uumbaji. Sasa baada ya mabilioni ya miaka katika status hiyo ya Mwanzo 1:1-2, ndipo Mungu siku moja akasema; “Let there be light,”a and there was light. And God saw that the light was good, and He separated the light from the darkness. God called the light “day,” and the darkness He called “night.” And there was evening, and there was morning—the first day (Genesis 1:3-5).

Tatizo mnaenda kanisani kuimba mapambio na kuambiwa uzinzi na kuiba ni dhambi na mnaridhika na hayo mambo madogo bila kuwa watafiti. Na mkikutana na watu wanaojua dini wakakitaka kuwaelimisha zaidi mnakuwa na shingo ngumu.

Umeandika pumba
 
Mkuu, unataka tuongee dini? Unajichanganya sana na kutoelewa ukweli wa kisayansi juu ya Biblia. Kwani Yesu aliumbwa kwa mara ya kwanza alipozaliwa na Mariam? Yesu alikuwapo mabilioni ya miaka kabla ya kuzaliwa na Mariam hiyo miaka 2020 iliyopita unayoitaja.

Na pia tofautisha kati ya dunia kuwepo na kuumbwa kwa vitu kama wanyama na mimea na bahari nk juu ya dunia. Dunia imekuwapo kwa mabilioni ya miaka ikiwa imefunikwa na maji, kabla ya uumbaji unaoongelewa katika kitabu cha Mwanzo.

Genesis 1:1-2: In the beginning God created the heavens and the earth. Now the earth was formless and void, and darkness was over the surface of the deep. And the Spirit of God was hovering over the surface of the waters.

Mwanzo 1:1-2 sio day 1 ya uumbaji, ni mabilioni ya miaka kabla ya day 1 ya uumbaji. Sasa baada ya mabilioni ya miaka katika status hiyo ya Mwanzo 1:1-2, ndipo Mungu siku moja akasema; “Let there be light,”a and there was light. And God saw that the light was good, and He separated the light from the darkness. God called the light “day,” and the darkness He called “night.” And there was evening, and there was morning—the first day (Genesis 1:3-5).

Tatizo mnaenda kanisani kuimba mapambio na kuambiwa uzinzi na kuiba ni dhambi na mnaridhika na hayo mambo madogo bila kuwa watafiti. Na mkikutana na watu wanaojua dini wakakitaka kuwaelimisha zaidi mnakuwa na shingo ngumu.

Mbna hujaleta reference ya hapo palipoandikwa dunia ilikuepo miaka ma bilion....😀 Na wap pameandikwa yesu alikuepo kabla ya marium kumzaa? Hujui chchte kuhusu dunia na vilivyomo huna unachojua bora ungekaa kimya kuliko kuandika upuuzi mwngi hvo ndo unajionesha ni jinsi gan huna akili
 
Mbna hujaleta reference ya hapo palipoandikwa dunia ilikuepo miaka ma bilion....😀 Na wap pameandikwa yesu alikuepo kabla ya marium kumzaa? Hujui chchte kuhusu dunia na vilivyomo huna unachojua bora ungekaa kimya kuliko kuandika upuuzi mwngi hvo ndo unajionesha ni jinsi gan huna akili
Kati yake na wewe; naona wewe ndiye "asiekuwa na akili". Hili liko wazi kabisa.
 
Back
Top Bottom