Tanzania inaweza kuanza kuzalisha ndege za watu wachache

Tanzania inaweza kuanza kuzalisha ndege za watu wachache

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimesema kipo hatua za mwisho za majadiliano na kampuni ya Skyleader yenye makao makuu nchini Czech ili waje kuwekeza nchini Tanzania.

Skyleader ni kampuni inayotengeneza ndege ndogo za wazi ambazo huwa na siti moja hadi mbili. Kampuni hiyo inaweza kuanza uzalishaji wa ndege hizo nchini.

1.jpg
 
Hiyo ikipigwa upepe kama unatoka Unguja ukwenda Dar unaweza ukajikuta umetupwa Mogadishu...hii ni hatari kwa kwa matumizi
 
Kwa umeme gani tulio nao wakutupa jeuri hyo
 
Kampuni ya kutengeneza ndege ya nchini Czech, inapanga kuanzisha kituo chake cha utengenezaji wa ndege nchini Tanzania.

plane-pic.jpg

Chanzo cha kuaminika kimesema kuwa kampuni hiyo iko kwenye mazungumzo ya mwisho na serikali ya Tanzania ili kuanzishwa kwa kiwanda cha kutengeneza ndege aina ya Skyleader 500 hapa nchini.

Mwekezaji ameonyesha nia ya kuanzisha kituo chake katika maeneo ya pwani, Kwa hali hii kampuni ina uwezekano wa kujenga kiwanda chake Mkoani Mtwara,” chanzo hicho kilisema.


Skyleader ni watengenezaji wa ndege wa Jamhuri ya Cheki waliobobea katika kubuni na kutengeneza ndege zenye mwanga wa juu zaidi kwa namna ya ndege zilizo tayari kuruka katika kategori za Férations Aéronautique Internationale microlight na ndege nyepesi za michezo hasa kwa nchi kama Marekani.



Source: the citizen.
 
Kampuni ya kutengeneza ndege ya nchini Czech, inapanga kuanzisha kituo chake cha utengenezaji wa ndege nchini Tanzania.


Chanzo cha kuaminika kimesema kuwa kampuni hiyo iko kwenye mazungumzo ya mwisho na serikali ya Tanzania ili kuanzishwa kwa kiwanda cha kutengeneza ndege aina ya Skyleader 500 hapa nchini.

Mwekezaji ameonyesha nia ya kuanzisha kituo chake katika maeneo ya pwani, Kwa hali hii kampuni ina uwezekano wa kujenga kiwanda chake Mkoani Mtwara,” chanzo hicho kilisema.

Skyleader ni watengenezaji wa ndege wa Jamhuri ya Cheki waliobobea katika kubuni na kutengeneza ndege zenye mwanga wa juu zaidi kwa namna ya ndege zilizo tayari kuruka katika kategori za Férations Aéronautique Internationale microlight na ndege nyepesi za michezo hasa kwa nchi kama Marekani.




Source: the citizen.
Uki track anga ya dunia ilivyo bize kwa biashara ya ndege. Sidhani kama mwekezaji huyo yuko serious, kuanzisha huduma hiyo hapa nchini.
 
Back
Top Bottom