Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Hii imenikumbusha aliwahi kuwepo mzungu mmoja aliunda ndege yake kwa kutumia injini za pikipiki mbao na mabati kule Njombe, inasemekana alipewa saa 24 aondoke, lakini miaka ya 1990s kulikuwepo wazungu walikuwa wanaunda ndege zao kule Kibidula Mufindi sijui waliishia wapiKampuni ya kutengeneza ndege ya nchini Czech, inapanga kuanzisha kituo chake cha utengenezaji wa ndege nchini Tanzania.