Halafu nyie ndo wa kwanza kujipigia selfieUtoporo mtupu!
Hapo kuna vitu kibao vipo ila nimeona nije na hivi kwanza, najua kuna mambo makubwa pia katika sekta ya afya pamoja na uboreshaji wa miundombinu ya mahakama zetu.Ongezea pia na miradi mbalimbali ya maji iliyomalizika na inayo endelea kujengwa,
Pia umeme wa REA.
Tatizo kubwa ni michwa kwenye hiyo miradi. Kuna watu unakuta wanajipanga kuhujumu. Nenda uone miundombinu ya hiyo miradi, yaani hakuna ukarabati, nakuhakikishia hiki kizazi ni Dkt Magufuli na wachache ndiyo wenye vision, wengine wanawaza kuiba tu. Hawakarabati kabisa miundo mbinuTanzania kama nchi chini ya JPM inasonga kwa kasi ya mwanga.