Tanzania inaweza kuwa ndiyo nchi inayoongoza kwa kuboresha miundobinu ya masoko na vituo vya mabasi ya abiria kwa nchi za East Africa

Tanzania inaweza kuwa ndiyo nchi inayoongoza kwa kuboresha miundobinu ya masoko na vituo vya mabasi ya abiria kwa nchi za East Africa

Nenda Cairo kaone.
Nchi inajitahidi sana lakini Egypt wako dunia ya kwanza wale, hata ya pili wamevuka sema hawajipigii debe
Tunazungumzia kusini mwa jangwa la sahara.
 
Danganyika hii mmoja ya kichwa mawe? YESU shuka tu.Danganyika mmoja ya mmbowe?
 
Angalia vile hua wanapenda kusema Kenya ni watu wa misifa, kumbe siku zote ni kwavile Tanzania hua hawana lolote la kujisifu kwa miundombinu..... Unaona vile wakipata la kujisifu wanakua tu na hizo tabia za kikenya? It feels good to brag doesn't it? na mtu akisema mnajisifu mwambieni, "I'm not bragging, I'm merely stating facts!"
 
Masoko hku anajenga gavana[emoji1787][emoji1787]rais ana vitu mhimu vya kufanya bana
[emoji23][emoji23] raisi wenu ni shida yeye yupo bize kujifukiza bangi ikulu baada ya korona kukumtembelea mjengoni
 
Muonekano Wa Soko La Magomeni, Dar Es salaam View attachment 1497071
IMG_20200614_170949_0.jpg
 
Mbona hayo masoko bado yapo kwenye michoro? Yatakamilika mwaka gani?
 
Back
Top Bottom