Tanzania inayotaka kujitegemea kiuchumi sasa inarudi zama za kutembeza bakuli ughaibuni

Tanzania inayotaka kujitegemea kiuchumi sasa inarudi zama za kutembeza bakuli ughaibuni

Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Mnagawana mbao na nani?
Waimba mapambio ya atawale milele mnapata tabu. Kaa kimya kama ulivyokuwa umekula kimya kipindi cha mwendazake.
Eti mikataba?. Niambie ni mikataba ipi magufuli alisaini ambayo bunge lilihidinisha.
 
Acha mawazo ya ukabila. Unadhani hakuna kabila lisilofanya biashara? Yapo makabila kibao. Ila hawatafuti sifa kama wachaga. Ni kabila gani Tanzania utazunguka usilikute? Mfano tu wakinga ni kabila la wafanya biashara. Na wanafedha. Wametulia uwezi kuta mkinga anajisifu. Wachaga, wachaga labda kwa wale wasio wajua wachaga. Sioni cha ajabu. Kuna kipindi tulienda eneo moja, mchaga akaanza sifa huku wameenea wachaga ndo wenye mashamba. Baada ya utafiti walioenea ilikuwa ni kabila tofauti na wachaga. Tuache sifa za kijinga. Tuongelee utaifa. Si uchaga. Moshi huko ni shida tu.
Hivi unajua maana ya ukabila wewe?! NImesema makabila mengine hayafanyi biashara au nimekuambia utofauti wa ufanyaji biashara kati ya Wachaga na hayo makabila mengine?

Btw, kama kuwataja Wachaga ni ukabila, how come tena a nwewe unawataja Wakinga, na kwanini kwa mfano, hukuwataja Wakwere au Wafipa?

Ulivyo na mawazo ya hovyo si ajabu hapo unadhani mimi ni Mchaga...
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Mtu ukisema ukweli kama huu unaambiwa eti umejipanga kumkwamisha mama. Toka lini Mzalendo akaitakia mabaya nchi yake? Mama kuna muda anasema mambo mpaka nashangaa. Nilidhani ni peke yangu sikumuelewa aliposema anaenda kuifungua nchi. Anaifungua nchi toka wapi. Wapi ilifungwa?

Mimi binafsi sitaki nchi yangu irudi nyuma, nataka isonge mbele. Mbele huko naona dalili za nchi yetu kukwama kama hatutakuwa serious. Sitaki siku watanzania wamuite mama "RAIS WA KUDEMKA". Maono yake ni yapi. Haya anayosema ya uchumi namuobea afanikiwe maana atakuwa amepiga hatua zaidi. Lakini kama U serious haupo, tutegemee vituko ndani ya miaka miwili tu ya uongozi wake, kitu ambacho mimi sitaki kitokee kwasababu naipenda Nchi yangu. Mama Watanzania tupo nyuma yako usituangushe mama. Chapa kazi, siku 100 zinakaribia toka umeridhi Urais, angalau utuoneshe jambo.
 
Waliozoea kusafisha mikojo Ili tumbo lishibe leo biashara ile imekufa wanatapatapa Sana hawa.Jiwe ajui chochote kuhusu uchumi wa duniani sera zake chakavu zilifaa miaka ya 50 na sio kizazi cha sasa zingetuletea umasikini kuzidi ethiopia bora Mungu alivyosikia maombi yetu.Nchi inafunguliwa tunauza tutakapo korosho mbaazi ufuta mwaka huu bei juu.Waliozoea kuona viroba baharini imekula kwao.
World Bank tumeingia Uchumi wa Kati. Unajidhalilisha Kalonji. Acha chuki binafsi.
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.

nilitaka nikupe zawadi ya gari benz kwa maneno yako mazuri sana ila sijui ulipo
 
MH. Rais Samia Suluhu Hassan ameanza vizuri anachofanya pia ni muhimu sana kwa ustawi wa taifa letu ila awe makini asirudie makosa yalikwishakufanyika, lakini MAJALIWA KASSIM MAJALIWA atatukosea sana tena sana watanzania asipochukua fomu ya kuomba kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kweli asipofanya hivyo binafsi sitamsamehe tunamuhitaji katika hiyo nafasi, imani yangu na matumaini yangu yako kwake MUNGU amlinde. haya ni mawazo yangu binfsi sijatumwa, wala simchukii mtu, niko tayari kukosolewa sio kuhukumiwa.

upo sawa kabisa majaliwa ndie anaefaa kuwa rais ila atawekewa vikwazo na kina kikwete
 
Hakuna nchi yoyote duniani iliyojifungia na kuweza kuendelea.Mama yetu Samia piga kazi.Achana na hawa wapuuzi walikokuwa wako kwenye usingizi ya P wakisubiria Mungu atuletee miujiza.
Makupa Mbona unaonesha una IQ ndogo aiseee? Lini Tanzania ilijifungia? Kodi za Bandarini kule zilitoka wapi kama tulijifungia? Mnakuwa kama hamna akili vile wakati mnazo. GDP yetu ilikuwaje kama tumejifungia? Serikali ya JPM ililenga kukuza Viwandana Uwekezaji, lini tumejifungia? Mnaongea Nadharia za mtoto wa Chekechea kwasababu mna roho mbaya za kishetani. Mkumbuke Msipoipigania Tanzania, nchi haitakaa sawa. " Mama alisema nanukuu maneno yake " Kuna wawekezaji wameanza kurudi nyuma baada ya Hayati Dr. Maguful kufariki, wanadhani mambo hayataenda".

Hii inaonesha mama ana kazi kubwa ya kujenga Confidence ya uwekezaji na pia kupambana na vikwazo vya uwekezaji.
 
Wasukuma kazi mnayo, nendeni kwa Gwaji boy mkamfufue mungu wenu, Muacheni mama afanye kazi wezi nyie
Mbwa wewe. Sisi ni Watanzania, tena wengine hatuna asili ya unao wataja. Tupo Visiwani huko anakotokea mama lakini Tuna Ipenda Tanzania yetu".
 
Tunawajua kundi lenu loote mnaojitahidi kumkwamisha mama Samia.

Mnajitahidi kubeza kila anachokifanya.

Hata hivyo hamtaweza maana tayari mshajulikana.

Niwashauri tu kuwa mnatakiwa mkubali kuwa mama Samia ndiye Rais wa JMT.
Hebu zungumza nini kakosea aliechangia, usiwatie ujinga watu kwa ushabiki. Sema kitu gani kakosea na kipi kipo sawa, na wewe unaonaje ili tuelimike.

Hii kuchangia kitoto toto bila kutoa kasoro kwa aliechangia tunavuruga ubora wa Jukwaani lá JF. Hili Jukwaani ni lá maoni na kuelimishana.
 
Hivi unajua maana ya ukabila wewe?! NImesema makabila mengine hayafanyi biashara au nimekuambia utofauti wa ufanyaji biashara kati ya Wachaga na hayo makabila mengine?

Btw, kama kuwataja Wachaga ni ukabila, how come tena a nwewe unawataja Wakinga, na kwanini kwa mfano, hukuwataja Wakwere au Wafipa?

Ulivyo na mawazo ya hovyo si ajabu hapo unadhani mimi ni Mchaga...
Usijishitukie wewe hakuna sehemu nimesema wewe mchaga. Ila ulipodai kwamba wachanga ndiyo kabila linalofanya biashara na limeenea kila sehemu kuliko makabila mengine, hapo nimekukatalia. Ulidai kuwa makabila mengine si kama wachaga. nakataa. Kuna makabila mengi yanayofanya biashara. Ukisoma nimesema kwa mfano wakinga. Unajua neno kwa mfano linapotumika. Uhitaji kutaja kila kitu, ndo maana sikutaja makabila mengine.
Kwa taarifa yako Wakerewe ni wafanya biashara wazuri, katika maswala ya uvuvi, na nyingi zinginezo. Na nikabila lililo na maprofesa wengi katika nchi hii.
Wafipa ni wafanya biashara wakubwa ya mazao na ni wakulima wazuri. Sihitaji nieleze kila kabila.
Wewe ndo unamawazo ya ovyo kwani unapandikiza kitu hata nisichokifikiria!
 
Hebu zungumza nini kakosea aliechangia, usiwatie ujinga watu kwa ushabiki. Sema kitu gani kakosea na kipi kipo sawa, na wewe unaonaje ili tuelimike.

Hii kuchangia kitoto toto bila kutoa kasoro kwa aliechangia tunavuruga ubora wa Jukwaani lá JF. Hili Jukwaani ni lá maoni na kuelimishana.
Tulia wewe sukuma gang,
Muda wenu ushapita na kamwe hautarudi hadi vizazi 20
 
Usijishitukie wewe hakuna sehemu nimesema wewe mchaga.
Sasa how come useme mimi ni mkabila wakati mimi sio Mchaga?! Ndo maana nilikuuliza unaelewa maana ya ukabila?!

Cambridge Dictionary inatafsiri tribalism kama:-
a very strong feeling of loyalty to a political or social group, so that you support them whatever they do
Je, hiyo tafsiri ina-fit kwenye kile nilichoongea?! Tangu lini kutoa credit kwa jamii fulani ikawa ni ukabila?

And to be honest, linapokuja suala la ukabila (na udini) huwa siwacheleweshi watu wanaoangukia kwenye Cambridge Definition ya Ukabila, kwa sababu hao tumewaona sana safari hii hadi akina Gwajima wakafikia kuhamasisha watu wamtetee JPM kwa sababu tu ni Msukuma mwenzao!!
Ila ulipodai kwamba wachanga ndiyo kabila linalofanya biashara na limeenea kila sehemu kuliko makabila mengine, hapo nimekukatalia.
Una uhakika ulichoandika ndicho nimeandika? Kama unajua Kiswahili fasaha, unaposeama "...ndiyo kabila linalofanya..." hapo maana yake nimeya-exclude makabila mengine, wakati nimesema:-
Wachaga wana biashara zao karibu kila mahali ndani ya Tanzania, including vijijini!
Wapi hapo nimeandika kuliko makabila mengine?! Au unataka kuupinga huo ukweli kwamba wana biashara kila mahali TZ including vijijini?

Au ulitaka nianze kuorodhesha makabila yooote ingawaje hata wewe uliishia tu kutaja Wakinga pekee?! Na hivi umaarufu wa Wakinga kwenye biashara, hususani huko vijijini unaweza kuulinganisha na wa Wachaga?
Ulidai kuwa makabila mengine si kama wachaga. nakataa. Kuna makabila mengi yanayofanya biashara. Ukisoma nimesema kwa mfano wakinga. Unajua neno kwa mfano linapotumika. Uhitaji kutaja kila kitu, ndo maana sikutaja makabila mengine.
Hivi hoja ya msingi ni kufanya biashara au kufanya biashara nje ya mipaka yao?
Kinyume chake, unakuta jamii zingine hawana biashara yoyote ya kueleweka hata kwenye maeneo yao wenyewe!!! Na hata wale wenye biashara, unakuta wapo maeneo yao tu, na wanashindwa kuvuka hata wilaya ya jirani hata kama wana uwezo huo kibiashara!!
Unaona hapo concern kubwa ni ipi?!
Kwa taarifa yako Wakerewe ni wafanya biashara wazuri, katika maswala ya uvuvi, na nyingi zinginezo. Na nikabila lililo na maprofesa wengi katika nchi hii.
Wafipa ni wafanya biashara wakubwa ya mazao na ni wakulima wazuri. Sihitaji nieleze kila kabila.
Wewe ndo unamawazo ya ovyo kwani unapandikiza kitu hata nisichokifikiria!
Kama makazi yako sio huko Ukerewe au Simbawanga, tembea basi kwenye kitongoji chako kisha hesabu biashara za Wakerewe, Wafipa na ikibidi hata na za Wakinga halafu linganisha na zile za Wachaga!!!

TIP: Don't hate giving credit where it deserve.
 
.. alikuwa anafanya manunuzi bila hata kufuata taratibu za serikali, Fisadi mkubwa yule
Taratibu za manunuzi zilotailored na mashariti ya wafadhili ya kununua basi la milion600 na lenye vitu fake lakini laina sura ya kuvutia badala ya kununua basi mbili zenye vitu halisi lakini lina sura ya kawaida kwa bei ya 560 milion!
 
Sasa hao wakawa wanakenua tu kufurahia jina hilo la kirofa
We uoni mtu akitumbuliwa ushangilia akisamehewa wanashangiliwa tena sababu wanyonge ilikuwa ni rahisi sana kuwadanganya enzi zile za comedy.
 
Back
Top Bottom