Tanzania insists EAC citizens MUST use passports to enter Tanzania

Tanzania insists EAC citizens MUST use passports to enter Tanzania

Nakumbuka yule jamaa anaitwa Mwanzi1 akilia lia eti Uhuru ameitenga Tanzania wakati habari kama hizi ndio zinadhihirisha Tanzania yenyewe inavyojitenga na kuwa na double standard kwa majirani. Eti wanafunzi wa Rwanda wanalipa karo moja na wale wa Tanzania ilhali wa Uganda wanalipa zaidi.

Leo hii Mnyarwanda akitaka kuasfiri kuja Kenya au Mkenya kwenda Rwanda, ilmradi anayo kitambulisho cha taifa lake hana haja ya kuhangaika na passpoti.

Hivi majuzi tumekua na tukio la ovyo sana hapo Bongo, kuna shughuli fulani ya kikazi iliyokwama ghafla na ilihitaji mtaalam fulani kutokea Kenya aje kuifanyia kazi. Tatizo jamaa alikua na matatizo na paspoti yake, ikawa hawezi kuingia Tanzania maana hata akipewa temporary passport Kenya lakini kule Tanzania hawampi business permit au CTR.
Hilo la karo serikali ilifanyie kazi wanyarwanda walipe ada sawa na waganda.

Cc: Mwigulu Nchemba
 
Mko kama gari bovu, mnaenda lakini mjuwi kama mtafika salama. Mtu makini hafanyi utubutu wakati anajuwa hato pata ushindi. Mnakubaliana pekeyenu halafu mnataka Tanzania ije kula matapishi yenu. Fanyeni vitu kistaarabu kwa kumsikiliza kila muusika. Leo hii Kenya nnakuja kwa magoti na kuomba Tanzania ijiigize kwenye viza moja na kutumia ID kupitia mipakani. Mabavu yote mliotumia hayakuza matunda yoyote.
Wewe hapo ndio unaona gari mbovu, lakini sisi tunaosafiri na gari lenyewe hatuoni ubovu wake, leo hii kamuulize Mnyarwanda anayesafiri kwa kutumia ID kutokea Kigali hadi Nairobi, halafu hilo swali kamuulize Mtanzania anayefanya biashara kwenye mataifa ya EAC.
Changamoto zitakuwepo, hata waliobuni ndege walikumbana na changamoto, ila leo zinapaa. Nyie mumekaa kama fisi, hamtaki kuhusika kwenye uwindaji, mnakaa pembeni kuwacheka wanaohangaika kufanikisha, halafu mnalia mumetengwa.
Tanzania ilituzungusha kwenye mbuyu hadi ikaamua yenyewe ikae pembeni na mdogo wake maskini Burundi, baadaye mkaanza kulia eti mnatengwa.
 
I am heading to Uganda on 20th of next month, inshallah to Rwanda the following month for a week.....no passport required, except for my original ID. Aint that nice, Cicero?

I dont understand u. Where do u really stand on this issue of the EAC integration? On the one hand, u have been making these grandiose suggestions about harmonizing the various systems including the currency, education, vehicle number plates, tourist visas and I think u once stated that the region ought to be a federal state under one govt, with the common parliament, judiciary etc. On the other hand, u seem to support, and fiercely defend some of the Tanzania govt measures which go against this very spirit of integration u advocating for.
We Africans tend to misunderstand the concept of federalism in my view. Federalism is about finding the balance between self rule and shared rule, about being a unified entity and maintaining diversity and difference. Harmonizing is different from unifying. If one member state wants to do something they should be allowed that freedom as long as they don't violate certain fundamental agreements.
EAC would work if we all looked at it that way.
Tatizo we think kuungana ni kufuta mipaka and all that.
 
Wewe hapo ndio unaona gari mbovu, lakini sisi tunaosafiri na gari lenyewe hatuoni ubovu wake, leo hii kamuulize Mnyarwanda anayesafiri kwa kutumia ID kutokea Kigali hadi Nairobi, halafu hilo swali kamuulize Mtanzania anayefanya biashara kwenye mataifa ya EAC.
Changamoto zitakuwepo, hata waliobuni ndege walikumbana na changamoto, ila leo zinapaa. Nyie mumekaa kama fisi, hamtaki kuhusika kwenye uwindaji, mnakaa pembeni kuwacheka wanaohangaika kufanikisha, halafu mnalia mumetengwa.
Tanzania ilituzungusha kwenye mbuyu hadi ikaamua yenyewe ikae pembeni na mdogo wake maskini Burundi, baadaye mkaanza kulia eti mnatengwa.
Kenyatta ndio aliyetuweka pembeni, hata Mungu analijiwa hilo. Chuki yake binafsi ndio iliyo mfikisha hapo (sitaki kuongele ni chuki ipi lakini ukweli ipo).

Tanzania bado hatujakamilisha zowezi vitambulisho vya taifa, mfanyabiashara wa Tanzania anatambuwa ili kusafiri au kufanyabiashra nje ya Tanzania, anahitaji kuwa na hati ya kusafiria (passport). Ni swala lililo wazi kwa watanzania wote. Sasa kwanini na nyinyi mtu anaetaka kuja Tanzania kufanyabiashra anashidwa kuomba passport kama raia wengine?? Au Kenya inashindwa kugawia passport kwa raia wake?? Tunajuwa vitambulisho vya Kenya vinavyopatikana kwa njia ya rushwa. Kuna watu wengi sana hata mimi nawajuwa wanavipande vya Kenya na sio raia wa kenya. Leo hii mnaenda kukubaliana kutumia vitambulisho na kutulazimisha na sisi tukubali wakati mnajuwa jinsi idara zenu za uraia zilivyo gubikwa na rushwa.

Hatuwezi kula matapishi ya Kenyatta, mkitaka kuelewana leteni mjadala mezani tuuchambue tujiridhishe, vinginevyo mtakuwa mna jitekenya na kucheka wenyewe.
 
Kenyatta ndio aliyetuweka pembeni, hata Mungu analijiwa hilo. Chuki yake binafsi ndio iliyo mfikisha hapo (sitaki kuongele ni chuki ipi lakini ukweli ipo).

Tanzania bado hatujakamilisha zowezi vitambulisho vya taifa, mfanyabiashara wa Tanzania anatambuwa ili kusafiri au kufanyabiashra nje ya Tanzania, anahitaji kuwa na hati ya kusafiria (passport). Ni swala lililo wazi kwa watanzania wote. Sasa kwanini na nyinyi mtu anaetaka kuja Tanzania kufanyabiashra anashidwa kuomba passport kama raia wengine?? Au Kenya inashindwa kugawia passport kwa raia wake?? Tunajuwa vitambulisho vya Kenya vinavyopatikana kwa njia ya rushwa. Kuna watu wengi sana hata mimi nawajuwa wanavipande vya Kenya na sio raia wa kenya. Leo hii mnaenda kukubaliana kutumia vitambulisho na kutulazimisha na sisi tukubali wakati mnajuwa jinsi idara zenu za uraia zilivyo gubikwa na rushwa.

Hatuwezi kula matapishi ya Kenyatta, mkitaka kuelewana leteni mjadala mezani tuuchambue tujiridhishe, vinginevyo mtakuwa mna jitekenya na kucheka wenyewe.

Kwamba Tanzania bado imechelewa kwenye kuwapa raia wake vitambulisho, sisi hatuna tatizo nalo na ndio maana mkaomba mkae pembeni mjiandae, mtafakari mfanye yote ili muwe tayari baadaye. Tatizo ni pale mnaanza kulia kwamba mumetengwa ilhali wenyewe ndiye hao baada ya kutuzungusha kwenye mbuyu baadaye mkaomba mkae pembeni kwa baadhi ya mambo.

Kuhusu ufisadi wa kuwa na vitambulisho ni tatizo linalokumba hata mataifa makubwa, hilo sio la kutupigia makelele na vijisababu vyenu visivyoisha, nakumbuka siku fulani hata waziri wenu Mwigulu Nchemba aliwahi kusema mwenyewe kawaona Wachina wana hadi vitambulisho vya kupigia kura. Sasa hadi upate cha kura lazima uwe na cha kitaifa, hebu tafakari.
 
We Africans tend to misunderstand the concept of federalism in my view. Federalism is about finding the balance between self rule and shared rule, about being a unified entity and maintaining diversity and difference. Harmonizing is different from unifying. If one member state wants to do something they should be allowed that freedom as long as they don't violate certain fundamental agreements.
EAC would work if we all looked at it that way.
Tatizo we think kuungana ni kufuta mipaka and all that.
Hata hiyo EAC hatuitaki.
 
Wanataka waje watuletee Al Shabab na kumiliki ardhi ndivyo sivyo! Kenya yenu kubwa kaeni kwenyu kha!
Acha hizi. Tazama vile watu wanadadavua hoja kisomi, wewe unakuja kuchafua na hizi hoja zako mikebe. Kaa kando kama mimi na ufiatilie tu.
 
Developer hana passport?? Basi kazi zake zote ai azifanuie naivasha mombasa kiwangare na kericho?
Ila akipata offer ya kwenda USA pasport ataipata ndani ya dakika moja.

Hivyo ina maana kila developer kwenu ana passport? Sio kila mtu huwa amekaa mkao wa kutoka nchini kwao. Hata kule USA utakuta kuna madeveloper hawajawaza kutoka hiyo USA unayoishobokea.

Binafsi kwa maisha yangu yote sikua nawaza kutoka nje ya nchi yetu, ila siku moja ghafla offer ikanikuta ya kutakiwa niende Hongkong ili kuhuduhuria mafunzo ya mfumo fulani wa teknolojia walitaka kuuanzisha EAC. Tatizo sikua na paspoti, wakati wenyewe walikua wanalipia kila kitu, usafiri na malazi na mambo mengi, nilikua bado kijana kijana hivi, hivyo niliishia kuwaona wenzangu wakivuka kwa KQ hadi ikaniuma. Baadaye nilifuata pasport, hivyo sio kila mtu hukaa mkao wa kutoka kwenye nchi yao.

Na pia developers wengi wanabadilishana mawazo hapa EAC na usije ukashangaa kuna wale wanaalikana ili wasaidiane kwenye mambo fulani fulani. Kuwekea watu vizuizi ni jambo ovyo sana.
 
Kwamba Tanzania bado imechelewa kwenye kuwapa raia wake vitambulisho, sisi hatuna tatizo nalo na ndio maana mkaomba mkae pembeni mjiandae, mtafakari mfanye yote ili muwe tayari baadaye. Tatizo ni pale mnaanza kulia kwamba mumetengwa ilhali wenyewe ndiye hao baada ya kutuzungusha kwenye mbuyu baadaye mkaomba mkae pembeni kwa baadhi ya mambo.

Kuhusu ufisadi wa kuwa na vitambulisho ni tatizo linalokumba hata mataifa makubwa, hilo sio la kutupigia makelele na vijisababu vyenu visivyoisha, nakumbuka siku fulani hata waziri wenu Mwigulu Nchemba aliwahi kusema mwenyewe kawaona Wachina wana hadi vitambulisho vya kupigia kura. Sasa hadi upate cha kura lazima uwe na cha kitaifa, hebu tafakari.
Unarusha ajenda, hivi ile mikutano ya CoW Tanzania ilialikwa au Kenya ilibana mualiko?? Waambie umati wa wanamtandao kama Tanzania ndio ilikataa au Kenya ndio iligoma kutoa mualiko?

Nchi nyingi duniani hazina vitambulisho, na sisi Tanzania kama nchi baada ya uhuru tulilikataa. Hata wale walio wafundisha vitambulisho (Uingereza) hawana vitambulisho walivikataa. Vitabulisho vyenywe ya Kenya wala sio salama, wasomali, wanaigeria, walaiberia wanavitumia kila siku kuingia Kenya na kufanya mambo yao ya ajabu. Utaratibu upo na unajulikana ukitaka kuja Tanzania omba passport kama huna, imekula kwako.
 
Unarusha ajenda, hivi ile mikutano ya CoW Tanzania ilialikwa au Kenya ilibana mualiko?? Waambie umati wa wanamtandao kama Tanzania ndio ilikataa au Kenya ndio iligoma kutoa mualiko?

Nchi nyingi duniani hazina vitambulisho, na sisi Tanzania kama nchi baada ya uhuru tulililataa. Hata wale walio wafundisha vitambulisho (Uingereza) hawana vitambulisho walivikataa. Vitabulisho vyenywe ya Kenya wala sio salama, wasomali, wanaigeria, walaiberia wanavutumia kila siku kuingia Kenya na kufanya mambo yao ya ajabu. Utaratibu upo na unajulikana ukitaka kuja Tanzania omba passport kama huna, imekula kwako.

Sio Kenya ilikua inaalika vikao vya CoW, kuna secretariat. Pili, Tanzania mara nyingi ilikua inatuma waziri au wawakilishi wake wa kuzuga maana wenyewe mlishasema tuendelee na mengine halafu mtakuja ungana nasi hapo baadaye. Tatizo mkaishia kulia lia baadaye kwamba mumetengwa.

Halafu hakuna sehemu nimerusha ajenda, nimesema waziri wenu aliwahi sema kwamba amewaona wachina na hizo stakabadhi, sasa hapo nimeruka vipi, nimekuambia tatizo la kughushi stakabadhi lipo duniani kote hata Marekani.
 
Izi figisu figisu ndo huzorotesha umoja wetu..ivi agenda kuu za EAC ninin kama hata kusafiri nako kunavizingiti
 
Sio Kenya ilikua inaalika vikao vya CoW, kuna secretariat. Pili, Tanzania mara nyingi ilikua inatuma waziri au wawakilishi wake wa kuzuga maana wenyewe mlishasema tuendelee na mengine halafu mtakuja ungana nasi hapo baadaye. Tatizo mkaishia kulia lia baadaye kwamba mumetengwa.

Halafu hakuna sehemu nimerusha ajenda, nimesema waziri wenu aliwahi sema kwamba amewaona wachina na hizo stakabadhi, sasa hapo nimeruka vipi, nimekuambia tatizo la kughushi stakabadhi lipo duniani kote hata Marekani.
Haha, mikutamo mutatu ya kwanza yote Tanzania haikuona mualiko wala salamu. Mkiulizwa mnasema Oh, haya ni maswala ya nchi tatu huru, wakati nyuma yenu kuna bendera ya EAC. Mawaziri watanzania walianza kuja baada ya Museveni kuomba suluhu. Lakini hata hivyo na mpaka leo hii, yote yaliyoongelewa mnashidwa kutueleza faida iliyopatikana.

Kudakuliwa vitambulisho sio sifa kusema turuhusu mkenya yoyote aigie kwetu eti dunia nzima nyaraka zao zinadakuliwa. Miaka ya karibuni udakuzi wa hati za kusafiria umeshuka sana kutokana na usalama wa hizo hati na taarifa zake kuwekwa kwenye mitandao ya kidunia. Sasa kwanini tusitake kutumia nyaraka iliyokuwa na uhakika kuliko vitambulisho vinavyoweza kutengenezwa na wajanja wa River Road.
 
Why are we trying to convince these people on something everyone knows. Easy movement of people, more business, more revenue. As a kenyan if I want to visit any of the EAC countries, I am now more likely to go to either Ug or Rwanda, vice versa... It is a reality. I will visit these 2 countries and tz wont even be in my plan. All that hustle...
 
Why are we trying to convince these people on something everyone knows. Easy movement of people, more business, more revenue. As a kenyan if I want to visit any of the EAC countries, I am now more likely to go to either Ug or Rwanda, vice versa... It is a reality. I will visit these 2 countries and tz wont even be in my plan. All that hustle...
Visitor?
 
Back
Top Bottom