wewe mama yako , baba yako na ukoo wenu wote ndio mna iq ndogo, pumbaf mkubwa wew!
wewe mama yako , baba yako na ukoo wenu wote ndio mna iq ndogo, pumbaf mkubwa wew!
Kwa upande mwingine kama DRC nchi za magharibi ndizo zinazochangia kwa kuwagombanisha na mwisho wa siku DRC wenyewe wanaonekana ndo wana matatizo japo siyo, yapo kwa wao wenye interest zao
Kwa hiyo waafrica tu ndo wana IQ ndogo?
Ndiyo siunaona Nchi zenye lowest list nzima ni za ki Africa !
Israel yenyewe imetupwa mbali sana !
Kwa hiyo waafrica tu ndo wana IQ ndogo?
Huwa wanapima wananchi wa nchi husika au viongozi wao?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
.Huwa wanapima wananchi wa nchi husika au viongozi wao?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
.Hivi wametoa namna ya jinsi walivyofanya utafiti wao?
Waliwapima watu gani?
.WAHEED SUDAY said:IQ inapimwaje kwa wananchi wote kuwagroup katika kundi moja!?
hong kong na china tofauti ni nn?