Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,968
- 8,139
- Thread starter
-
- #61
Uko sawa kabisa mkuu!!Mwanzoni watu walikuwa wanaogopa kukatiza sehemu ya kuuzia majeneza. Ila sasa hivi imekuwa ni kawaida na si ajabu siku zijazo tukaona wamachinga wakitembeza majeneza mitaani.
Pesa nje nje hizo aisee...!!Nasisimka navyosoma hii fursa dah
Nilishasikia hii kitu. Mpaka mwekezaji aliyekua patna na shaba akaondoka nchini akasusa na project yenyewe. Sijui kama kuna ukweli au laProfesa Shaba ali import vifaa kabisa nadhani mpaka leo 30 years later bado viko bandarini.
Alipata upinzani na ukiritimba mkubwa sana kutoka serikali pendwa.
Duuhhhh....!!! Noma sana. Sijawahi kabisa kuisikia hii story. Ngoja, nitafuatilia zaidi kwa wadau nipate insights zaidi juu ya hiyo story na kujua kama ni ya kweliNilishasikia hii kitu. Mpaka mwekezaji aliyekua patna na shaba akaondoka nchini akasusa na project yenyewe. Sijui kama kuna ukweli au la
Majeneza yanatisha zaidiInatisha!
Wabongo tuna uoga fulani wa ajabu hivi...!!Kuna mji fulani hospitali haina hiyo watu wakifa mait inalazwa chini au ipelekwe umbali wa zaid kilomita 25 kuifadhiwa kisha ifuatwe cku ya mazishi sasa nikamshauli mdogo wangu afanye biashara hiyo alikataa na hata alipowaambia watu ktk familia walikataa kabisaaa
Wabongo uoga mwingiMajeneza yanatisha zaidi
Karibu na mawingu?Zipo kuna sehem ilikuwepo wakahamia sehem flan hiyo nyumba hadi leo haipati wapangaji tetesi ni imeuzwa tena ilikua karibu na kituo kikubwa cha radio...
Ilikua ni mortuary na Pia wanafanya maandalizi ya msiba nk
Kuna moja ilikuwa karibu na Mawingu radio, sijui kwa sasa kama bado wapoOkaay.
Hii sijawahi kuisikia aisee. Funguka zaidi ipo maeneo gani au owner ni nani ili niweze kufuatilia zaidi.
Mbonq mortuary zipo nying sana za jumuiya nje ya government kama dar misikiti mikubwa karibu yote zina mortuary temeke kina masjid alqadiria kariakoo kuna manyema mtoro upanga kuna maanur town kuna masjid jabir bin zaid na magomen pia kuna masjid nying zina huduma hizo ilala piaWadau hivi Bongo ukiachana na Mortuary zilizopo ndani ya hospitali, Mbona hakuna Mortuary ambazo Mtu/Kampuni zinamiliki private? i.e high class/ VIP mortuary?
Mfano kwa wenzetu Kenya, hii fursa watu wameitumia kweli kweli na kuna private mortuaries nyingi tu watu wamezitengeneza, na wengi wanazitumia huduma hizo pale wanapofikwa na janga la msiba kwenye familia zao.
Kwa shida ya upungufu na ubora hafifu wa vyumba vya mortuary kwa hospitali nyingi ninayoiona kwenye hospitali nyingi za bongo, hii inaweza kuwa biashara nzuri tu bongo na ikalipa vizuri tu, kama watu wenye uwezo wakiwekeza huko.
Ni watu hawajaiona hiyo fursa au wabongo hawataweza kuzilipia?
Au taratibu zetu za kisheria haziruhusu? Kama sheria zetu haziruhusu, zifanyiwe marekebisho ziruhusu hilo, ni fursa nzuri sana. Watu watapata pesa na serikali itapata kodi.
Mkuu vipi tena kuniita katili hata hunijui?Mleta mada wewe ni katili. Nyinyi ndo watu mnaomba kila wakati watu Wafe biashara zenu zichanganye
Ok. Hii nilikua sijui mkuu kiukweli. Kumbe misikiti mikubwa Dar wana mortuary zao kabisa ambapo wanai-treat na kulaza miili ya marehemu? Nitajaribu kutembelea kwenye msikiti mmojawapo nijifunze pia.Mbonq mortuary zipo nying sana za jumuiya nje ya government kama dar misikiti mikubwa karibu yote zina mortuary temeke kina masjid alqadiria kariakoo kuna manyema mtoro upanga kuna maanur town kuna masjid jabir bin zaid na magomen pia kuna masjid nying zina huduma hizo ilala pia
Yeah, kwenye hospitali mortuary zipo... Sema ndo hivyo hazikidhi mahitaji kama ulivyosema hiyo ambayo umeitaja ni ndogo. Ndio maana nikawaza kuwa na kitu cha private kwa huduma hiyo tuu! (siyo hospitali, bali mortuary room tu).Pale Himo, Moshi nimewahi kuona Private hospital moja ina mortuary yake nzuri tuu na huduma safi kabisa,sema siyo kubwa sana.
Eehh mkuu... wewe hutoi fungu la kumi kwenye mapato yako? Hiyo kawaida kwa waamini.Fungu la10 tena duh hatari
Unaweza tengeneza compact cold rooms kwa ajili ya maiti hapo hapo dar kwa bei nafuu .Unajua bei ya zile jokofu za 4 in one? Si chini ya 50,000,000 kaka