Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #121
Mbona Dodoma hawapajui lakini wanapaita makao makuu ya nchi? Watanzania wote ni ndugu kumbuka hilo. Mbona Mzee Kikwete na Mama Salma wanavaa mavazi ya makabila mengine na wako poa tu? Hao wazee wasivae kwani wao ni akina nani?Vazi linapaswa li emerge kutokana na tamaduni za watu husika siyo watu kubebeshwa mavazi wasiyoyajua.