Tanzania itapiga hatua kubwa ya maendeleo pale wakoloni watakaporudi upya

Tanzania itapiga hatua kubwa ya maendeleo pale wakoloni watakaporudi upya

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Inchi za afrika, ikiwemo Tanzania haitakaa ipige hatua kama watu wengi wanavyotarajia!
Tutasubiri sana!

Ebu fikiria kwa haya maendeleo machache tumeyafikia baada ya miaka 60 ya Uhuru! Je ikitokea vita si ndo itakuwa kiama!

Huko Ulaya watu hupigana vita na kuharibu kila kitu, lakini ndani ya miaka mitano kila kitu hujengwa kurejea sawa!

Sasa jiulize Tanzania hatuna vita, lakini barabara tangu Uhuru ndo tunajenga sasa, tangu Uhuru umeme bado wa mgao, tangu Uhuru madarasa hayatoshi, tangu Uhuru hatuna bima kwa wote, tangu Uhuru wanainchi bado wanategemea pantoni kuvuka miji mhimu, tangu Uhuru hatuna usafiri wa uhakika!

Sasa jiulize hapo hatuna vita! JE ikitokea tukapigana vita Madaraja yakavunjwa je tutayarejesha lini?

Miundombinu ya umeme ikilipuliwa tutairejesha tena kwa mda gan? Majengo yakivunjwa yatajengwa tena kwa mda gan?

Kama kila mradi unaojengwa tanzania huwa haukamiliki pasipo mafisadi 10 kutumbuliwa, Je;

watanzania tunastahili kuendelea kujitawala?
TUMESHINDWA NINI KUPITISHA SHERIA YA KUNYONGA WAPIGAJI!? Tunaogopa nini?

Inakuwaje mtu anaetia mimba mtoto wa shule afungwe miaka 30 jela ili asilee mwanae!

Halafu Fisadi anaehujumu madarasa yasijengwe akaishia kutumbuliwa ili akatumie pesa vizuri?,

Inakuwaje anaekula pesa za madawa akaachwa salama, inakuaje anaekula pesa za miundombinu akaishia kutumbuliwa?

Kama haujanielewa, chukua umri wako wa sasa jumlisha miaka 13 ijayo ya uongozi mpya ndipo utanielewa! Miaka 13 ijayo wengi mtakuwa mmezeeka!

Wakoloni wanaumhimu mkubwa sana kuliko matarajio ya wengi!
 
Hakuna Mzungu atakubali kuishi na so many black people over 45 million karibia nusu yake muslims waliobakia wanaamini ukabila na uchawi

Mzungu ana Christian (western) back ground, hivyo sahau hata bure Mzungu hawezi kubali labda nchi kama Namibia kuna only 1 million black people no Muslims hapo labda lakini siyo Tanzania too many of us,

Unafikiri kwa nini Mzungu aliweka apartheid AK ? Too many black people !
 
Hakuna Mzungu atakubali kuishi na so many black people over 45 million karibia nusu yake muslims waliobakia wanaamini ukabila na uchawi, Mzungu ana Christian (western) back ground, hivyo sahau hata bure Mzungu hawezi kubali labda nchi kama Namibia kuna only 1 million black people no Muslim hapo labda lakini siyo Tanzania too many of us, unafikiri kwa nini Mzungu aliweka apartheid AK ? Too many black people !
 
Waje kama wawekezaji tuwape bandari!
Madini tulishawapa kitambo.
 
Inchi za afrika, ikiwemo Tanzania haitakaa ipige hatua kama watu wengi wanavyotarajia!
Tutasubiri sana!

Ebu fikiria kwa haya maendeleo machache tumeyafikia baada ya miaka 60 ya Uhuru! Je ikitokea vita si ndo itakuwa kiama!

Huko Ulaya watu hupigana vita na kuharibu kila kitu, lakini ndani ya miaka mitano kila kitu hujengwa kurejea sawa!
Sasa jiulize Tanzania hatuna vita, lakini barabara tangu Uhuru ndo tunajenga sasa, tangu Uhuru umeme bado wa mgao, tangu Uhuru madarasa hayatoshi, tangu Uhuru hatuna bima kwa wote, tangu Uhuru wanainchi bado wanategemea pantoni kuvuka miji mhimu, tangu Uhuru hatuna usafiri wa uhakika!...

Sasa jiulize hapo hatuna vita! JE ikitokea tukapigana vita Madaraja yakavunjwa je tutayarejesha lini? Miundombinu ya umeme ikilipuliwa tutairejesha tena kwa mda gan? Majengo yakivunjwa yatajengwa tena kwa mda gan?

Kama kila mradi unaojengwa tanzania huwa haukamiliki pasipo mafisadi 10 kutumbuliwa, Je; watanzania tunastahili kuendelea kujitawala?
TUMESHINDWA NINI KUPITISHA SHERIA YA KUNYONGA WAPIGAJI!? Tunaogopa nini?

Inakuwaje mtu anaetia mimba mtoto wa shule afungwe miaka 30 jela ili asilee mwanae!
Halafu Fisadi anaehujumu madarasa yasijengwe akaishia kutumbuliwa ili akatumie pesa vizuri?,
Inakuwaje anaekula pesa za madawa akaachwa salama, inakuaje anaekula pesa za miundombinu akaishia kutumbuliwa?

Kama haujanielewa, chukua umri wako wa sasa jumlisha miaka 13 ijayo ya uongozi mpya ndipo utanielewa! Miaka 13 ijayo wengi mtakuwa mmezeeka!

Wakoloni wanaumhimu mkubwa sana kuliko matarajio ya wengi!
kiongozi kumbuka Tanzania tumepigana na kushiriki katika vita nyingi pia.

Vita ya ukombozi wa kusini mwa Afrika, Vita ya Kagera, nk
 
Inchi za afrika, ikiwemo Tanzania haitakaa ipige hatua kama watu wengi wanavyotarajia!
Tutasubiri sana!

Ebu fikiria kwa haya maendeleo machache tumeyafikia baada ya miaka 60 ya Uhuru! Je ikitokea vita si ndo itakuwa kiama!

Huko Ulaya watu hupigana vita na kuharibu kila kitu, lakini ndani ya miaka mitano kila kitu hujengwa kurejea sawa!
Sasa jiulize Tanzania hatuna vita, lakini barabara tangu Uhuru ndo tunajenga sasa, tangu Uhuru umeme bado wa mgao, tangu Uhuru madarasa hayatoshi, tangu Uhuru hatuna bima kwa wote, tangu Uhuru wanainchi bado wanategemea pantoni kuvuka miji mhimu, tangu Uhuru hatuna usafiri wa uhakika!...

Sasa jiulize hapo hatuna vita! JE ikitokea tukapigana vita Madaraja yakavunjwa je tutayarejesha lini? Miundombinu ya umeme ikilipuliwa tutairejesha tena kwa mda gan? Majengo yakivunjwa yatajengwa tena kwa mda gan?

Kama kila mradi unaojengwa tanzania huwa haukamiliki pasipo mafisadi 10 kutumbuliwa, Je; watanzania tunastahili kuendelea kujitawala?
TUMESHINDWA NINI KUPITISHA SHERIA YA KUNYONGA WAPIGAJI!? Tunaogopa nini?

Inakuwaje mtu anaetia mimba mtoto wa shule afungwe miaka 30 jela ili asilee mwanae!
Halafu Fisadi anaehujumu madarasa yasijengwe akaishia kutumbuliwa ili akatumie pesa vizuri?,
Inakuwaje anaekula pesa za madawa akaachwa salama, inakuaje anaekula pesa za miundombinu akaishia kutumbuliwa?

Kama haujanielewa, chukua umri wako wa sasa jumlisha miaka 13 ijayo ya uongozi mpya ndipo utanielewa! Miaka 13 ijayo wengi mtakuwa mmezeeka!

Wakoloni wanaumhimu mkubwa sana kuliko matarajio ya wengi!
Kwani mkoloni CCM a.k.a kolo amekufa?
 
Inchi za afrika, ikiwemo Tanzania haitakaa ipige hatua kama watu wengi wanavyotarajia!
Tutasubiri sana!

Ebu fikiria kwa haya maendeleo machache tumeyafikia baada ya miaka 60 ya Uhuru! Je ikitokea vita si ndo itakuwa kiama!

Huko Ulaya watu hupigana vita na kuharibu kila kitu, lakini ndani ya miaka mitano kila kitu hujengwa kurejea sawa!
Sasa jiulize Tanzania hatuna vita, lakini barabara tangu Uhuru ndo tunajenga sasa, tangu Uhuru umeme bado wa mgao, tangu Uhuru madarasa hayatoshi, tangu Uhuru hatuna bima kwa wote, tangu Uhuru wanainchi bado wanategemea pantoni kuvuka miji mhimu, tangu Uhuru hatuna usafiri wa uhakika!...

Sasa jiulize hapo hatuna vita! JE ikitokea tukapigana vita Madaraja yakavunjwa je tutayarejesha lini? Miundombinu ya umeme ikilipuliwa tutairejesha tena kwa mda gan? Majengo yakivunjwa yatajengwa tena kwa mda gan?

Kama kila mradi unaojengwa tanzania huwa haukamiliki pasipo mafisadi 10 kutumbuliwa, Je; watanzania tunastahili kuendelea kujitawala?
TUMESHINDWA NINI KUPITISHA SHERIA YA KUNYONGA WAPIGAJI!? Tunaogopa nini?

Inakuwaje mtu anaetia mimba mtoto wa shule afungwe miaka 30 jela ili asilee mwanae!
Halafu Fisadi anaehujumu madarasa yasijengwe akaishia kutumbuliwa ili akatumie pesa vizuri?,
Inakuwaje anaekula pesa za madawa akaachwa salama, inakuaje anaekula pesa za miundombinu akaishia kutumbuliwa?

Kama haujanielewa, chukua umri wako wa sasa jumlisha miaka 13 ijayo ya uongozi mpya ndipo utanielewa! Miaka 13 ijayo wengi mtakuwa mmezeeka!

Wakoloni wanaumhimu mkubwa sana kuliko matarajio ya wengi!
Laiti kama Mjarumani asingelipoteza koloni lake la Tanganyika,leo tungekuwa mbali sana
 
Kuna kipindi tulikuwa tunatamani tupate Rais diktekta tukampata mzilakende tukaanza kulia lia, naona sasa tunataka wakoloni tupelekeshwa kwenye utumwa🐒
 
Inchi za afrika, ikiwemo Tanzania haitakaa ipige hatua kama watu wengi wanavyotarajia!
Tutasubiri sana!

Ebu fikiria kwa haya maendeleo machache tumeyafikia baada ya miaka 60 ya Uhuru! Je ikitokea vita si ndo itakuwa kiama!

Huko Ulaya watu hupigana vita na kuharibu kila kitu, lakini ndani ya miaka mitano kila kitu hujengwa kurejea sawa!

Sasa jiulize Tanzania hatuna vita, lakini barabara tangu Uhuru ndo tunajenga sasa, tangu Uhuru umeme bado wa mgao, tangu Uhuru madarasa hayatoshi, tangu Uhuru hatuna bima kwa wote, tangu Uhuru wanainchi bado wanategemea pantoni kuvuka miji mhimu, tangu Uhuru hatuna usafiri wa uhakika!

Sasa jiulize hapo hatuna vita! JE ikitokea tukapigana vita Madaraja yakavunjwa je tutayarejesha lini?

Miundombinu ya umeme ikilipuliwa tutairejesha tena kwa mda gan? Majengo yakivunjwa yatajengwa tena kwa mda gan?

Kama kila mradi unaojengwa tanzania huwa haukamiliki pasipo mafisadi 10 kutumbuliwa, Je;

watanzania tunastahili kuendelea kujitawala?
TUMESHINDWA NINI KUPITISHA SHERIA YA KUNYONGA WAPIGAJI!? Tunaogopa nini?

Inakuwaje mtu anaetia mimba mtoto wa shule afungwe miaka 30 jela ili asilee mwanae!

Halafu Fisadi anaehujumu madarasa yasijengwe akaishia kutumbuliwa ili akatumie pesa vizuri?,

Inakuwaje anaekula pesa za madawa akaachwa salama, inakuaje anaekula pesa za miundombinu akaishia kutumbuliwa?

Kama haujanielewa, chukua umri wako wa sasa jumlisha miaka 13 ijayo ya uongozi mpya ndipo utanielewa! Miaka 13 ijayo wengi mtakuwa mmezeeka!

Wakoloni wanaumhimu mkubwa sana kuliko matarajio ya wengi!
Duh! Kazi kweli kweli !!!
 
Nchi za kiafrica zilifikiri kujiongoza ni kazi nyepesi - zote zinahaha - zimeshindwa kuweka mifumo dhabiti ili zijipatie maendeleo kwa haraka.
 
Back
Top Bottom