MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Ili tuendelee lazima tukubali kuacha kushabikia siasa kama dini au ushabiki wa mpira. Tuwahukumu wanasiasa kwa haki na siyo ushabiki. Asiyefanya wajibu wake aondolewe, basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuliyopigana direct kama Nchi ni vita ya Kagera tu !! Wote tuliokuwepo tulishiriki kwa namna moja au nyingine !! I stand to be corrected !kiongozi kumbuka Tanzania tumepigana na kushiriki katika vita nyingi pia.
Vita ya ukombozi wa kusini mwa Afrika, Vita ya Kagera, nk
Hii ni ya kuonesha ni jinsi gani ulivyo doubt uongozi wa nchi wa sasa na pia awamu zote...Inchi za afrika, ikiwemo Tanzania haitakaa ipige hatua kama watu wengi wanavyotarajia!
Tutasubiri sana!
Ebu fikiria kwa haya maendeleo machache tumeyafikia baada ya miaka 60 ya Uhuru! Je ikitokea vita si ndo itakuwa kiama!
Huko Ulaya watu hupigana vita na kuharibu kila kitu, lakini ndani ya miaka mitano kila kitu hujengwa kurejea sawa!
Sasa jiulize Tanzania hatuna vita, lakini barabara tangu Uhuru ndo tunajenga sasa, tangu Uhuru umeme bado wa mgao, tangu Uhuru madarasa hayatoshi, tangu Uhuru hatuna bima kwa wote, tangu Uhuru wanainchi bado wanategemea pantoni kuvuka miji mhimu, tangu Uhuru hatuna usafiri wa uhakika!
Sasa jiulize hapo hatuna vita! JE ikitokea tukapigana vita Madaraja yakavunjwa je tutayarejesha lini?
Miundombinu ya umeme ikilipuliwa tutairejesha tena kwa mda gan? Majengo yakivunjwa yatajengwa tena kwa mda gan?
Kama kila mradi unaojengwa tanzania huwa haukamiliki pasipo mafisadi 10 kutumbuliwa, Je;
watanzania tunastahili kuendelea kujitawala?
TUMESHINDWA NINI KUPITISHA SHERIA YA KUNYONGA WAPIGAJI!? Tunaogopa nini?
Inakuwaje mtu anaetia mimba mtoto wa shule afungwe miaka 30 jela ili asilee mwanae!
Halafu Fisadi anaehujumu madarasa yasijengwe akaishia kutumbuliwa ili akatumie pesa vizuri?,
Inakuwaje anaekula pesa za madawa akaachwa salama, inakuaje anaekula pesa za miundombinu akaishia kutumbuliwa?
Kama haujanielewa, chukua umri wako wa sasa jumlisha miaka 13 ijayo ya uongozi mpya ndipo utanielewa! Miaka 13 ijayo wengi mtakuwa mmezeeka!
Wakoloni wanaumhimu mkubwa sana kuliko matarajio ya wengi!
Zimegeuka omba omba kila kukicha! Yaani kitu kuomba tu!Nchi za kiafrica zilifikiri kujiongoza ni kazi nyepesi - zote zinahaha - zimeshindwa kuweka mifumo dhabiti ili zijipatie maendeleo kwa haraka.
Kina polepole au?Hii ni ya kuonesha ni jinsi gani ulivyo doubt uongozi wa nchi wa sasa na pia awamu zote...
pakuanzia ni kuwauliza wananchi, hivi maendeleo maana yake ni nini? Wakisha jitambua watayadai...
Kwa sasa hawajui maana yake ndio maana hawana mpango wa kuyadai...siku wakijua maendeleo ni nini, watajaa barabarani kuyadai...kwa sasa ni watu wachache tu wanaodai maendeleo kwa niaba ya wananchi ili wao wenyewe Hawana habari nao...
Tuanzie na kuwaamusha wajue ili wayadai...
Umejaribu kuwaza baada ya miaka 13 mbele utakuwa na umri gan?Ili tuendelee lazima tukubali kuacha kushabikia siasa kama dini au ushabiki wa mpira. Tuwahukumu wanasiasa kwa haki na siyo ushabiki. Asiyefanya wajibu wake aondolewe, basi.
Akiwemo huyo kiroboto na wote waliokuwepo na waliopo sasa uongozini...miaka 60 bado tunasaidiwa kujenga matundu ya vyoo...Kina polepole au?
Siasa haziko hivyo na Mungu hapangiwi, timiza wajibu wako kwanzaUmejaribu kuwaza baada ya miaka 13 mbele utakuwa na umri gan?
Kabisa!Ndio ni kweli kabisa. Nchi ambayo inakusanya kidogo na kutumia kikubwa kamwe haiwezi kupata maendeleo.
Na hapo tulipata uhuru wa mezani. Wazungu wangebomoa reli yao ya kati je na shule?Inchi za afrika, ikiwemo Tanzania haitakaa ipige hatua kama watu wengi wanavyotarajia!
Tutasubiri sana!
Ebu fikiria kwa haya maendeleo machache tumeyafikia baada ya miaka 60 ya Uhuru! Je ikitokea vita si ndo itakuwa kiama!
Huko Ulaya watu hupigana vita na kuharibu kila kitu, lakini ndani ya miaka mitano kila kitu hujengwa kurejea sawa!
Sasa jiulize Tanzania hatuna vita, lakini barabara tangu Uhuru ndo tunajenga sasa, tangu Uhuru umeme bado wa mgao, tangu Uhuru madarasa hayatoshi, tangu Uhuru hatuna bima kwa wote, tangu Uhuru wanainchi bado wanategemea pantoni kuvuka miji mhimu, tangu Uhuru hatuna usafiri wa uhakika!
Sasa jiulize hapo hatuna vita! JE ikitokea tukapigana vita Madaraja yakavunjwa je tutayarejesha lini?
Miundombinu ya umeme ikilipuliwa tutairejesha tena kwa mda gan? Majengo yakivunjwa yatajengwa tena kwa mda gan?
Kama kila mradi unaojengwa tanzania huwa haukamiliki pasipo mafisadi 10 kutumbuliwa, Je;
watanzania tunastahili kuendelea kujitawala?
TUMESHINDWA NINI KUPITISHA SHERIA YA KUNYONGA WAPIGAJI!? Tunaogopa nini?
Inakuwaje mtu anaetia mimba mtoto wa shule afungwe miaka 30 jela ili asilee mwanae!
Halafu Fisadi anaehujumu madarasa yasijengwe akaishia kutumbuliwa ili akatumie pesa vizuri?,
Inakuwaje anaekula pesa za madawa akaachwa salama, inakuaje anaekula pesa za miundombinu akaishia kutumbuliwa?
Kama haujanielewa, chukua umri wako wa sasa jumlisha miaka 13 ijayo ya uongozi mpya ndipo utanielewa! Miaka 13 ijayo wengi mtakuwa mmezeeka!
Wakoloni wanaumhimu mkubwa sana kuliko matarajio ya wengi!
Inasikitisha sana matumizi yanazidi kipato. Balance inakuwa mkopo🤣🤣Ndio ni kweli kabisa. Nchi ambayo inakusanya kidogo na kutumia kikubwa kamwe haiwezi kupata maendeleo.
Hii FRUSTRATION yako ni ya kiwango cha juu sana. Haiwezi kutibiwa hapa JF. unaongelea ukoloni wakati huujui ukoloni. Kwa akili yako unaona miaka 60 Tanzania haijapiga hatua, wewe ni poyoyo. Kwa akili yako unadhani wazungu wote ni matajiri hawana maskini!! wewe ni popoma.Inchi za afrika, ikiwemo Tanzania haitakaa ipige hatua kama watu wengi wanavyotarajia!
Tutasubiri sana!
Ebu fikiria kwa haya maendeleo machache tumeyafikia baada ya miaka 60 ya Uhuru! Je ikitokea vita si ndo itakuwa kiama!
Huko Ulaya watu hupigana vita na kuharibu kila kitu, lakini ndani ya miaka mitano kila kitu hujengwa kurejea sawa!
Sasa jiulize Tanzania hatuna vita, lakini barabara tangu Uhuru ndo tunajenga sasa, tangu Uhuru umeme bado wa mgao, tangu Uhuru madarasa hayatoshi, tangu Uhuru hatuna bima kwa wote, tangu Uhuru wanainchi bado wanategemea pantoni kuvuka miji mhimu, tangu Uhuru hatuna usafiri wa uhakika!
Sasa jiulize hapo hatuna vita! JE ikitokea tukapigana vita Madaraja yakavunjwa je tutayarejesha lini?
Miundombinu ya umeme ikilipuliwa tutairejesha tena kwa mda gan? Majengo yakivunjwa yatajengwa tena kwa mda gan?
Kama kila mradi unaojengwa tanzania huwa haukamiliki pasipo mafisadi 10 kutumbuliwa, Je;
watanzania tunastahili kuendelea kujitawala?
TUMESHINDWA NINI KUPITISHA SHERIA YA KUNYONGA WAPIGAJI!? Tunaogopa nini?
Inakuwaje mtu anaetia mimba mtoto wa shule afungwe miaka 30 jela ili asilee mwanae!
Halafu Fisadi anaehujumu madarasa yasijengwe akaishia kutumbuliwa ili akatumie pesa vizuri?,
Inakuwaje anaekula pesa za madawa akaachwa salama, inakuaje anaekula pesa za miundombinu akaishia kutumbuliwa?
Kama haujanielewa, chukua umri wako wa sasa jumlisha miaka 13 ijayo ya uongozi mpya ndipo utanielewa! Miaka 13 ijayo wengi mtakuwa mmezeeka!
Wakoloni wanaumhimu mkubwa sana kuliko matarajio ya wengi!
Ndo maana China walirndelea hawafungamani sheria za kinafiki namna hiyo!Hii FRUSTRATION yako ni ya kiwango cha juu sana. Haiwezi kutibiwa hapa JF. unaongelea ukoloni wakati huujui ukoloni. Kwa akili yako unaona miaka 60 Tanzania haijapiga hatua, wewe ni poyoyo. Kwa akili yako unadhani wazungu wote ni matajiri hawana maskini!! wewe ni popoma.
Unataka watu wanyongwe kinyume na mkataba wa haki za binadamu ambao nchi yetu imeuridhia.
DuhNa hapo tulipata uhuru wa mezani. Wazungu wangebomoa reli yao ya kati je na shule?