Tanzania itapigwa tena na Cape Verde

"kila penye uzito wepesi upo" Hajar
mpira ni dakika 90 tusubiri siku ifike,
"dont remember to forget" kacnia.
Hahahaaaa. Mbona Signature yako sijaiona sasa Mkuu.

Kabisaaaa mpira dk 90 japokuwa kuna baadhi ya mechi zile dk 90 zinakuwa kutimiza tu sheria za mpira wa miguu ila nje ya hapo matokeo yanakuwa yameshajulikana. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Vipi mkuu upo huko Cape Verde? Habari za huko? Nasikia wamelokota munyavu mara mbili tu.
 
Hahahaaaa. Mbona Signature yako sijaiona sasa Mkuu.

Kabisaaaa mpira dk 90 japokuwa kuna baadhi ya mechi zile dk 90 zinakuwa kutimiza tu sheria za mpira wa miguu ila nje ya hapo matokeo yanakuwa yameshajulikana. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜€signature yangu bado ipo under construction.

sawa mkuu naona umekaza vidole kabisa kunikatisha tamaa na timu yanguπŸ˜€ mbichi na mbivu tutazijua hapa hapa usibadili ID
 
Uchawi sio mpaka ubebe ma tunguri au upae na ungo hata huu ni uchawi pia
 
Sawa Dada yangu, kwa sasa nipo pembezoni mwa mji.

Nikirudi mjini nitakutafuta, hizi ahadi zimekuwa nyingi kama za bwana mkubwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], hii nahakikisha ikamilike kabisa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sawa mdogo wangu. Wacha leo niwe mCape Verde leo. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wa Taifa Stars msinimeze jamaani. πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa mdogo wangu. Wacha leo niwe mCape Verde leo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wa Taifa Stars msinimeze jamaani. [emoji85][emoji85][emoji85]
Dawa ya wasaliti ipo jikoni, tusije kulaumiana baadae[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
πŸ˜€signature yangu bado ipo under construction.

sawa mkuu naona umekaza vidole kabisa kunikatisha tamaa na timu yanguπŸ˜€ mbichi na mbivu tutazijua hapa hapa usibadili ID
Hahahaaa. Haya iandae Mkuu ikiwa tayari iweke niione.

Hahahaaaaa. Wala usihofu mie nipo Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…