VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 403
- 545
Misri wana jeshi imara Sana haswa la anga linaweza kuchapa nchi tatu kwa mkupuo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Mkuu,Ni kweli mkuu kwa maoni yangu ninaona kinacho ipa Misiri kiburi ni kwa sababu ya Udhaifu wa wale inao zozana nao, Misri siku zote imekuwa ikionesha kiburi kwenye meza ya mazunguzo.
Kiuhalisia sioni kama Ethiopia ina nguvu za kukabiliana na Misri hata kidogo hasa kijeshi hilo liko wazi.
Kingine Misri ina huungaji mkono mkubwa kutoka kwa nchi za magharibi.
Kingine nchi nyingi za kiafirika zinaongozwa na viongozi wanafiki vita ikianza hakuna msaada wowote watakao utoa kwa Ethiopia itapigwa wanaangalia tu.
Mkuu,Naungana na Misri kwa kuwa hawana chanzo kingine cha maji zaidi ya Nile. Wewe ungekuwa rais wa Misri ungekubali kuona watu wanakufa njaa kwa kukosa maji ya kutumia na kumwagilia mashambani?
Tatizo Ethiopia anataka ajaze maji kwa mkupuo na abadilishe mkondo wa maji. Misri anaomba mkondo wa maji usibadilike na muda wa kujaza bwawa uwe miaka kadhaa, sio mkupuo.
Ukisema hivyo unakosea mkuu, sheria za kidunia haziruhusu kufanya chochote kwenye chanzo cha maji kumbuka Mbowe mashamba yake yariharibiwa kisa kuwa karibu na chanzo cha maji sasa Misri wanatumia sheria hiyohiyo iliyotumika kumuharibia Mbowe mashamba, ingawa mimi sioungi mkono hii sheria maana haiwezekani ziwa lote lile turuhusiwe kuvua samaki tu bila kunywa yale majiEgypt ni Wabinafsi, kama kawaida ya Mwarabu....
Na mbaya zaidi Ethiopia ndio wanaotunza misitu ya chanzo Cha Nile isikatwe. Vita hiyo itakuwa mbaya Sana kuwahi kutokea.Acha kufananisha mipaka na maji ni upuuzi ulip tukuka yani mto upite kwako usitumie maji eti kisa hayo maji yanaenda kwa jirani yako uwo si ujinga uwo maji tutatumia wote kama utaki nitumie yapitishe angani bac na sio kwenye ardhi yangu...
Naanza kuelewaa...Tz tutakuwa kama kawaida yetu unafki(NAM) ila in deep tutakuwa upande wa misri kwa sababu bwala la Ethiopia ni mshindani wa bwawa letu so sisi hapa tutaombea Ethiopia ashindwe ili tuwe wauzaji wakubwa wa umeme ukanda huu
kingine ambacho hakisemwi ni kuwa misri wametupa offer nyingi mno kwenye ujenzi wa bwawa letu ili tuwe upande wao
Na ndiyo maana nimeitadharisha Ethiopia licha ya kuonekana iko upande wa haki lakini isije kujitoa ufahamu itakuja kukumbana na kipigo cha mbwa kokoMisri wana jeshi imara Sana haswa la Anga linaweza kuchapa nchi tatu kwa mkupuo!
Hayo ni maji ya chumvi. Gharama za kuyatreat na teknolojia yake ngumu wanayotumia Israel haipatikani Misri. Hata hivyo mkataba wa mabeberu uliwapa haki hiyo, kama hawatokubaliana mezani lolote litatokea. Wiki hii kuna delegation ya Misri ilikuwa Somaliland wakizungumza possible military base, Somaliland na Ethiopia wanapakana.Mkuu,
Misri ana eneo Mediterranean Sea anaweza kuvuta maji kutokea Port Said, Alexandria na Marsa Matruh.
Misri ana eneo Red Sea anaweza kuvuta maji kutokea Sham el Sheikh, Suez, Ismailia na Hurghada.
Sawa kabisa, Ethipia hajachota maji toka nile kuu ambayo inaanzia Khartoum kuelekea Misri. Ethiopia ana haki zote na hata akipigwa kijeshi leo madai yataendelea kuwepo. Tukikumbuka ya Lowassa, ni sawa basi tumuunge mkono Ethiopia, Angalia ramani hii,Hakika Mkuu,
Tukitazama kwa uhalisia endapo Ethiopia amejenga bwawa kutoka katika Ziwa Tana (Blue Nile) katika mipaka yake basi ni haki yake maana chanzo hicho kinatoka kwake kuelekea Khartoum.
Na ndio maana nimeionya Ethiopia isije jitoa ufahamu wa kukabiliana kijeshi na Misri kwa sababu hana jeshi la kupigana na Misri ataharibiwa vibaya sana, nadhani waongee waelewane.Kwa Wamisri maji ya mto Nile ndio roho yao pekee. Hawana mbadala, Ni ama wafe wote au wapone wote kutetea maji hayo
Tatizo wanao takiwa kuidhibiti Misri ndio hao hao walio saini mkataba huo unao ipa haki Misri kuidhibiti huu mto ,nikimaanisha ni nchi za magharibi zenye uwezo wa kuidhibiti MisriHakika Mkuu,
Ikifika wakati wa vita, haitokuwa vita ya Ethiopia na Misri, maana baada ya Ethiopia endapo Jamhuri ya Sudan ikihitaji kujenga Khartoum itazuiliwa, Sudan Kusini kujenga Juba itazuiliwa, Uganda kujenga Jinja itazuiliwa na Tanzania kuendeleza maeneo ya Ziwa Nyanza (Victoria) itazuiliwa.
Misri adhibitiwe mapema, lah sivyo atandelea na mchezo huu kwa yeyote mwenye kuhitaji kufanya maendeleo kutumia Nile.
Vita huwa inamatokeo ya kushangaza sio kama misri atajaribu kufanya ujinga wa kuishambulia kijeshi EthiopiaNa ndio maana nimeionya Ethiopia isije jitoa ufahamu wa kukabiliana kijeshi na Misri kwa sababu hana jeshi la kupigana na Misri ataharibiwa vibaya sana, nadhani waongee waelewane.
Mkuu, Misri anafanya ukorofi tu mwenyewe katika mipaka yake kupitia Ziwa Nasser lililotengenezwa kutokana na Mto Nile amejenga bwawa la Aswan, mjini Aswan.Hayo ni maji ya chumvi. Gharama za kuyatreat na teknolojia yake ngumu wanayotumia Israel haipatikani Misri. Hata hivyo mkataba wa mabeberu uliwapa haki hiyo, kama hawatokubaliana mezani lolote litatokea. Wiki hii kuna delegation ya Misri ilikuwa Somaliland wakizungumza possible military base, Somaliland na Ethiopia wanapakana.
Kwamba kuna tech anaweza kui afford Israel Egypt ikamshinda? Miaka ya 70 Mexico (kama sikosei) walijenga plant ya kubadili maji bahari kuwa maji baridi hapa Tanzania kwa ombi la Nyerere halafu leo Egypt ashindwe ku-afford gharama za hiyo teknolojia!Hayo ni maji ya chumvi. Gharama za kuyatreat na teknolojia yake ngumu wanayotumia Israel haipatikani Misri. Hata hivyo mkataba wa mabeberu uliwapa haki hiyo, kama hawatokubaliana mezani lolote litatokea. Wiki hii kuna delegation ya Misri ilikuwa Somaliland wakizungumza possible military base, Somaliland na Ethiopia wanapakana.