mwambadog
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 1,736
- 1,446
Hii bavicha shida sana.. Can you translate the contents, kisha useme heading yako inaendana?
WHY YOU THINK THIS FROM BAVICHA?
OR ALL BAD DOING ARE FROM SATAN?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii bavicha shida sana.. Can you translate the contents, kisha useme heading yako inaendana?
Mara mia wangewaambia warudishe vifaranga vilikotoka ili vikauzwe soko la ndani ya kenya kuliko ushetani uliofanyika.
South Afirca walikataa consignment ya viazi vya uporoto Mbeya kwamba havifai kwa matumizi ya binadamu wala wanyama ndani ya SA. Hivyo mwenye navyo aliagizwa arudishe vilikotoka kwa kuwa vinakiwango kikubwa cha sumu. Waliondoka navyo kutoka ardhi ya Madiba wakajua walichokifanya na hivyo viazi baada ya kuvuka mipaka!.
Masuala mengine hayahitaji elimu ya ki diplomasia bali ubinadamu tu unaweza kufanya mtu akaamua discretionary negatively lakini bila kutesa viumbe wengine.
Tumepiga mnada ng'ombe za kutoka Kenya, ktu nilidhani kwa majirani na ujirani mwema, ilikuwa ni kuzikabidhi kwa serikali kwa masharti sahihi.
Sasa kenya nao wamekamata mangombe mengi zaidi ya kwetu, ambayo bila shaka nayo yatauzwa. Hii tit for tat, inajenga ujirani mwema?
Ubabe huu utatufikisha mahala sahihi na utaleta manufaa kwetu ukizingatia sisi ndio waasisi wa amani katika maziwa makuu na tuna raia kila sehemu katika ukand ahuu?
Ninachoomba ni wahusika kujaribu kuepeuka kuliingiza taifa katika maafa kwa sababu ya personalities disorders za watu wachache. Maslahi ya taifa yawe mbele kuliko kuingiza nchi kwenye hali tata kwa sababu ya egocentricity ya mtu na wafuasi wake. Hapana ni wachache sana kutuingiza matatizoni. Labda wakapigane mieleka wao wenyewe atakayeshindwa ameshindwa na atakayeshinda awe ameshinda. Lakini askari wetu,, kwa hili hapana!.
Mara mia wangewaambia warudishe vifaranga vilikotoka ili vikauzwe soko la ndani ya kenya kuliko ushetani uliofanyika.
South Afirca walikataa consignment ya viazi vya uporoto Mbeya kwamba havifai kwa matumizi ya binadamu wala wanyama ndani ya SA. Hivyo mwenye navyo aliagizwa arudishe vilikotoka kwa kuwa vinakiwango kikubwa cha sumu. Waliondoka navyo kutoka ardhi ya Madiba wakajua walichokifanya na hivyo viazi baada ya kuvuka mipaka!.
Masuala mengine hayahitaji elimu ya ki diplomasia bali ubinadamu tu unaweza kufanya mtu akaamua discretionary negatively lakini bila kutesa viumbe wengine.
Tumepiga mnada ng'ombe za kutoka Kenya, ktu nilidhani kwa majirani na ujirani mwema, ilikuwa ni kuzikabidhi kwa serikali kwa masharti sahihi.
Sasa kenya nao wamekamata mangombe mengi zaidi ya kwetu, ambayo bila shaka nayo yatauzwa. Hii tit for tat, inajenga ujirani mwema?
Ubabe huu utatufikisha mahala sahihi na utaleta manufaa kwetu ukizingatia sisi ndio waasisi wa amani katika maziwa makuu na tuna raia kila sehemu katika ukand ahuu?
Ninachoomba ni wahusika kujaribu kuepeuka kuliingiza taifa katika maafa kwa sababu ya personalities disorders za watu wachache. Maslahi ya taifa yawe mbele kuliko kuingiza nchi kwenye hali tata kwa sababu ya egocentricity ya mtu na wafuasi wake. Hapana ni wachache sana kutuingiza matatizoni. Labda wakapigane mieleka wao wenyewe atakayeshindwa ameshindwa na atakayeshinda awe ameshinda. Lakini askari wetu,, kwa hili hapana!.
Mkuu huyo kichaa atakujibu nn unafikiri,,,,,wao WaPo kwajili ya kumsifia mwenyekiti wao na wanamuogopa,,,,,anatuharibia uhusiano mwema na majirani zetuStroke. naomba nisaidie kitu, sheria inasemaje ikiingizwa bidhaa inayoonekana ina madhara kutoka nchi jirani?
Vingekuwa vimetoka Brazil. Vingerudishwa vilikotoka? Kwa gharama za nani? Na vilikotoka unajuae watavikubali?Mara mia wangewaambia warudishe vifaranga vilikotoka ili vikauzwe soko la ndani ya kenya kuliko ushetani uliofanyika.
South Afirca walikataa consignment ya viazi vya uporoto Mbeya kwamba havifai kwa matumizi ya binadamu wala wanyama ndani ya SA. Hivyo mwenye navyo aliagizwa arudishe vilikotoka kwa kuwa vinakiwango kikubwa cha sumu. Waliondoka navyo kutoka ardhi ya Madiba wakajua walichokifanya na hivyo viazi baada ya kuvuka mipaka!.
Masuala mengine hayahitaji elimu ya ki diplomasia bali ubinadamu tu unaweza kufanya mtu akaamua discretionary negatively lakini bila kutesa viumbe wengine.
Tumepiga mnada ng'ombe za kutoka Kenya, ktu nilidhani kwa majirani na ujirani mwema, ilikuwa ni kuzikabidhi kwa serikali kwa masharti sahihi.
Sasa kenya nao wamekamata mangombe mengi zaidi ya kwetu, ambayo bila shaka nayo yatauzwa. Hii tit for tat, inajenga ujirani mwema?
Ubabe huu utatufikisha mahala sahihi na utaleta manufaa kwetu ukizingatia sisi ndio waasisi wa amani katika maziwa makuu na tuna raia kila sehemu katika ukand ahuu?
Ninachoomba ni wahusika kujaribu kuepeuka kuliingiza taifa katika maafa kwa sababu ya personalities disorders za watu wachache. Maslahi ya taifa yawe mbele kuliko kuingiza nchi kwenye hali tata kwa sababu ya egocentricity ya mtu na wafuasi wake. Hapana ni wachache sana kutuingiza matatizoni. Labda wakapigane mieleka wao wenyewe atakayeshindwa ameshindwa na atakayeshinda awe ameshinda. Lakini askari wetu,, kwa hili hapana!.
Boss hivi hata mwanao akimwonea mtoto wa jirani utachekelea?Unapo zungumzia Maafa fafanua maafa gani!?
Yaani chadema Wana chuki kubwa sana kwa Magufuli kiasi kwamba wanaokoteza kila habari ambayo wanaamini inaweza kumchafua Magufuli. Lengo la habari hii Ni kutaka kuonesha kuwa Magufuli anaharibu mahusiano Na Kenya kwa vile swahiba wa Chadema, Uhuru kaingia madarakaniHii bavicha shida sana.. Can you translate the contents, kisha useme heading yako inaendana?
Sio kila anayepingana na wewe ni bavichaHii bavicha shida sana.. Can you translate the contents, kisha useme heading yako inaendana?
tunavunja katiba nini sheria!!!!Kwahiyo tuvunje sheria ili kufurahisha watu??
Vingekuwa vimetoka Brazil. Vingerudishwa vilikotoka? Kwa gharama za nani? Na vilikotoka unajuae watavikubali?
Ukijibiwa uni tag mkuuuStroke. naomba nisaidie kitu, sheria inasemaje ikiingizwa bidhaa inayoonekana ina madhara kutoka nchi jirani?
Haya sasa kifaranga nae kawa mamaliaHayo maumivu hao vifaranga waliopata na vile vilio wakati wanachomwa kwa kweli hayatatuacha salama.. ni kitendo cha kikatili mno ambacho tuliwafanyia hawa viumbe wenzetu ambao kimsingi ni mamalia tu kama sisi... Its totally barbaric and brutal
Vinge __ unaogea mambo ya _Inge .sijui akilizenu huwa mnazikodisha wapi ??Vingekuwa vimetoka Brazil. Vingerudishwa vilikotoka? Kwa gharama za nani? Na vilikotoka unajuae watavikubali?