Tanzania kills chicks worth Sh12.5m over Avian Flu fears

Tanzania kills chicks worth Sh12.5m over Avian Flu fears

Vingekuwa vimetoka Brazil. Vingerudishwa vilikotoka? Kwa gharama za nani? Na vilikotoka unajuae watavikubali?
Mkuu umesoma alichokiandika au umekurupuka kujibu maana ulichokiandika ni cha mtu asiyefikiria vizuri

sent from my BlackBerry keyone using JamiiForums mobile app
 
Hivi zile kuku tunabanika kwenye baa na kuwala wanakuwa wazima au mnadhani wakati wanachinjwa ili waliwe hao kuku wanafurahia na hawasikii maumivu? Naona kama kuna ka harufu ya unafiki hapa!!!!
 
Perhaps I do not know how to read in English. Its just a news report and bear no malice to any body.

Stop exaggerating things, "Magufuli vs Uhuru" why????

Fake thread

Mwingereza (topic owner) does not understand Kiingereza,probably.
 
Hivi zile kuku tunabanika kwenye baa na kuwala wanakuwa wazima au mnadhani wakati wanachinjwa ili waliwe hao kuku wanafurahia na hawasikii maumivu? Naona kama kuna ka harufu ya unafiki hapa!!!!
Tena kwa mbwembwe wanaagizaga kuku mzima eti
 
Hii bavicha shida sana.. Can you translate the contents, kisha useme heading yako inaendana?


Sawa Mwingereza ameshindwa kutafsiri contents za habari

Lakini na wewe BAVICHA wamekujaje hapa kwenye hiyo habari???

Acha hisia deal na issues siyo kupiga piga makelele
 
Cost and who would be responsible, should be none of your business. Wamwachie importer atajua anafanya nini. Yawezekana angeviuza kenya ama Uganda ama kokote ikiwa hapa havikutakiwa. Wewe unaviua, kwa gharama ya nani? Nani kakuambia mwenyewe hakuwa na options? Kiherehere cha kutenda maovu!
Na importer hakisema ana pesa ya kuvirudisha?
Na hiyo nchi livikokuwa import wakivikataa kutokana na quarantine law yao utafanyaje?
Lazima uwe na procedures ambazo ni workable.
 
yani uo uzi umeupa tittle
qxkgnk63dar3lub59fc213710d56.jpg

NAIROBI, KENYA: A Tanzanian Non-Governmental organisation fears the country’s relations with Kenya may deteriorate following a decision to burn 6,400 chicks imported from Kenya on Tuesday. ALSO READ: How ARM aggressive expansion into Dar has left Pradeep in ‘tears’ According to Tanzanian media, the chicks worth Sh12.5 million were impounded at Namanga border town on Monday before being burnt on Tuesday.

It was reported that the destruction of the consignment came in the wake of illegal imports and fear of the spread of bird flu. The Tanzanian government banned the importation of chicks in 2007. Dar authorities said Tuesday’s destruction of the birds was in line with the country’s Animal Disease Act, 2003. Kenya and Tanzania have in the past disagreed on a number of issues; In June Tanzania protested Kenya’s decision to ban exportation of unprocessed foods. President John Pombe Magufuli's government has protested Kenya's decision to ban the importation of cooking gas and wheat from Tanzania, saying it is a breach of the East African Community (EAC) Common Market requirements.
Read more at: Tanzania burns chicks worth Sh12.5m over Avian Flu fears


yani wabongo bana... iyo heading imekaa kiupotoshajii...
magufuli na uhuru hapo wameingiaje?
na kimenuka nini....
acheni kuichafua nchi yenu wenyewe for the sake of likes n comment mitandaoni... hii ndo nchi pekee u can call home hamna popote duniani utaweza kuwa somebody na kwa style hii ndo kabisaaaa...
 
Vinge __ unaogea mambo ya _Inge .sijui akilizenu huwa mnazikodisha wapi ??
Ku include “possibility” kwenye maisha yetu ya kila siku ndio imeweza kutufanya tukabiliane na mambo mbali mbali.

Kama serikali lazima iwe na quarantine law ambayo ni workable kwa kila mtu na wakati tofauti.
 
Mkuu umesoma alichokiandika au umekurupuka kujibu maana ulichokiandika ni cha mtu asiyefikiria vizuri

sent from my BlackBerry keyone using JamiiForums mobile app
Ndio nimesoma! Je, wewe umenisoma?!
 
qxkgnk63dar3lub59fc213710d56.jpg

NAIROBI, KENYA: A Tanzanian Non-Governmental organisation fears the country’s relations with Kenya may deteriorate following a decision to burn 6,400 chicks imported from Kenya on Tuesday. ALSO READ: How ARM aggressive expansion into Dar has left Pradeep in ‘tears’ According to Tanzanian media, the chicks worth Sh12.5 million were impounded at Namanga border town on Monday before being burnt on Tuesday.

It was reported that the destruction of the consignment came in the wake of illegal imports and fear of the spread of bird flu. The Tanzanian government banned the importation of chicks in 2007. Dar authorities said Tuesday’s destruction of the birds was in line with the country’s Animal Disease Act, 2003. Kenya and Tanzania have in the past disagreed on a number of issues; In June Tanzania protested Kenya’s decision to ban exportation of unprocessed foods. President John Pombe Magufuli's government has protested Kenya's decision to ban the importation of cooking gas and wheat from Tanzania, saying it is a breach of the East African Community (EAC) Common Market requirements.
Read more at: Tanzania burns chicks worth Sh12.5m over Avian Flu fears
Magunia anafanya makusudi kumkomoa Uhuru kwa sababu ya maslahi ya rafiki yake Omolo..
 
Tena kwa mbwembwe wanaagizaga kuku mzima eti
Watu wanafiki sana. Yaani unakuta mtu anapost hapa na ametoka kula kuku au nyama. Utafikiri hao kuku au ng'ombe wakati wanachinjwa anafurahia kuchinjwa. Binadamu sisi ni makatili natural, ndo maana tunavua samaki wakati ukijua ukimtoa kwenye maji tunawaua.
 
Watu wanafiki sana. Yaani unakuta mtu anapost hapa na ametoka kula kuku au nyama. Utafikiri hao kuku au ng'ombe wakati wanachinjwa anafurahia kuchinjwa. Binadamu sisi ni makatili natural, ndo maana tunavua samaki wakati ukijua ukimtoa kwenye maji tunawaua.
[emoji86] [emoji86] nalo neno! Kumbe wenye huruma ya kweri ni rasta tu
 
Akili zangu zinanipeleka huko kwa zaidi ya 80% na ndiyo maana nafikiria kumpiga chini.ila nikiwaza watoto ndo nachanganyikiwa kabisa
Kabadilshe sheria
Mara mia wangewaambia warudishe vifaranga vilikotoka ili vikauzwe soko la ndani ya kenya kuliko ushetani uliofanyika.

South Afirca walikataa consignment ya viazi vya uporoto Mbeya kwamba havifai kwa matumizi ya binadamu wala wanyama ndani ya SA. Hivyo mwenye navyo aliagizwa arudishe vilikotoka kwa kuwa vinakiwango kikubwa cha sumu. Waliondoka navyo kutoka ardhi ya Madiba wakajua walichokifanya na hivyo viazi baada ya kuvuka mipaka!.

Masuala mengine hayahitaji elimu ya ki diplomasia bali ubinadamu tu unaweza kufanya mtu akaamua discretionary negatively lakini bila kutesa viumbe wengine.

Tumepiga mnada ng'ombe za kutoka Kenya, ktu nilidhani kwa majirani na ujirani mwema, ilikuwa ni kuzikabidhi kwa serikali kwa masharti sahihi.

Sasa kenya nao wamekamata mangombe mengi zaidi ya kwetu, ambayo bila shaka nayo yatauzwa. Hii tit for tat, inajenga ujirani mwema?

Ubabe huu utatufikisha mahala sahihi na utaleta manufaa kwetu ukizingatia sisi ndio waasisi wa amani katika maziwa makuu na tuna raia kila sehemu katika ukand ahuu?

Ninachoomba ni wahusika kujaribu kuepeuka kuliingiza taifa katika maafa kwa sababu ya personalities disorders za watu wachache. Maslahi ya taifa yawe mbele kuliko kuingiza nchi kwenye hali tata kwa sababu ya egocentricity ya mtu na wafuasi wake. Hapana ni wachache sana kutuingiza matatizoni. Labda wakapigane mieleka wao wenyewe atakayeshindwa ameshindwa na atakayeshinda awe ameshinda. Lakini askari wetu,, kwa hili hapana!.
 
qxkgnk63dar3lub59fc213710d56.jpg

NAIROBI, KENYA: A Tanzanian Non-Governmental organisation fears the country’s relations with Kenya may deteriorate following a decision to burn 6,400 chicks imported from Kenya on Tuesday. ALSO READ: How ARM aggressive expansion into Dar has left Pradeep in ‘tears’ According to Tanzanian media, the chicks worth Sh12.5 million were impounded at Namanga border town on Monday before being burnt on Tuesday.

It was reported that the destruction of the consignment came in the wake of illegal imports and fear of the spread of bird flu. The Tanzanian government banned the importation of chicks in 2007. Dar authorities said Tuesday’s destruction of the birds was in line with the country’s Animal Disease Act, 2003. Kenya and Tanzania have in the past disagreed on a number of issues; In June Tanzania protested Kenya’s decision to ban exportation of unprocessed foods. President John Pombe Magufuli's government has protested Kenya's decision to ban the importation of cooking gas and wheat from Tanzania, saying it is a breach of the East African Community (EAC) Common Market requirements.
Read more at: Tanzania burns chicks worth Sh12.5m over Avian Flu fears
 
Mara mia wangewaambia warudishe vifaranga vilikotoka ili vikauzwe soko la ndani ya kenya kuliko ushetani uliofanyika.

South Afirca walikataa consignment ya viazi vya uporoto Mbeya kwamba havifai kwa matumizi ya binadamu wala wanyama ndani ya SA. Hivyo mwenye navyo aliagizwa arudishe vilikotoka kwa kuwa vinakiwango kikubwa cha sumu. Waliondoka navyo kutoka ardhi ya Madiba wakajua walichokifanya na hivyo viazi baada ya kuvuka mipaka!.

Masuala mengine hayahitaji elimu ya ki diplomasia bali ubinadamu tu unaweza kufanya mtu akaamua discretionary negatively lakini bila kutesa viumbe wengine.

Tumepiga mnada ng'ombe za kutoka Kenya, ktu nilidhani kwa majirani na ujirani mwema, ilikuwa ni kuzikabidhi kwa serikali kwa masharti sahihi.

Sasa kenya nao wamekamata mangombe mengi zaidi ya kwetu, ambayo bila shaka nayo yatauzwa. Hii tit for tat, inajenga ujirani mwema?

Ubabe huu utatufikisha mahala sahihi na utaleta manufaa kwetu ukizingatia sisi ndio waasisi wa amani katika maziwa makuu na tuna raia kila sehemu katika ukand ahuu?

Ninachoomba ni wahusika kujaribu kuepeuka kuliingiza taifa katika maafa kwa sababu ya personalities disorders za watu wachache. Maslahi ya taifa yawe mbele kuliko kuingiza nchi kwenye hali tata kwa sababu ya egocentricity ya mtu na wafuasi wake. Hapana ni wachache sana kutuingiza matatizoni. Labda wakapigane mieleka wao wenyewe atakayeshindwa ameshindwa na atakayeshinda awe ameshinda. Lakini askari wetu,, kwa hili hapana!.
Kwa hili serikali inakosea sana aise!
 
Back
Top Bottom