Tanzania kills chicks worth Sh12.5m over Avian Flu fears

Nikikutanaga tu na habari ya lugha gongana basis macho hupata upofu automatically, i don't know why but you can help me if there is an eyeglass for reading English. Kwa msaada wa c9pro.
 

Unapo zungumzia Maafa fafanua maafa gani!?
 

Kuna jitu moja ndio linasababisha haya yote
 
Vingekuwa vimetoka Brazil. Vingerudishwa vilikotoka? Kwa gharama za nani? Na vilikotoka unajuae watavikubali?
 
Mtoa mada umebeba sympath ya mwenye vifaranga au mwenye ng'ombe? It sounds like a revenge...
 
Hii bavicha shida sana.. Can you translate the contents, kisha useme heading yako inaendana?
Yaani chadema Wana chuki kubwa sana kwa Magufuli kiasi kwamba wanaokoteza kila habari ambayo wanaamini inaweza kumchafua Magufuli. Lengo la habari hii Ni kutaka kuonesha kuwa Magufuli anaharibu mahusiano Na Kenya kwa vile swahiba wa Chadema, Uhuru kaingia madarakani
 
Vingekuwa vimetoka Brazil. Vingerudishwa vilikotoka? Kwa gharama za nani? Na vilikotoka unajuae watavikubali?

Cost and who would be responsible, should be none of your business. Wamwachie importer atajua anafanya nini. Yawezekana angeviuza kenya ama Uganda ama kokote ikiwa hapa havikutakiwa. Wewe unaviua, kwa gharama ya nani? Nani kakuambia mwenyewe hakuwa na options? Kiherehere cha kutenda maovu!
 
Hayo maumivu hao vifaranga waliopata na vile vilio wakati wanachomwa kwa kweli hayatatuacha salama.. ni kitendo cha kikatili mno ambacho tuliwafanyia hawa viumbe wenzetu ambao kimsingi ni mamalia tu kama sisi... Its totally barbaric and brutal
Haya sasa kifaranga nae kawa mamalia


Hii ni kwa tanzania pekeee aseee ambayo kifaranga ni mamalia
 
Duh! maCCM bila ukatili kwasasa itakua kwaheri.
 
Vingekuwa vimetoka Brazil. Vingerudishwa vilikotoka? Kwa gharama za nani? Na vilikotoka unajuae watavikubali?
Vinge __ unaogea mambo ya _Inge .sijui akilizenu huwa mnazikodisha wapi ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…