Tanzania kills chicks worth Sh12.5m over Avian Flu fears

Mambo kama haya ni kichocheo cha mahusiano mabaya baina ya majirani. Hivyo vifaranga vingeweza kurejeshwa kuliko kuviharibu ndani ya nchi yetu Dr
 
Kenya wametunyanyasa sana , acha Magu awashughulikie
 
Hayo maumivu hao vifaranga waliopata na vile vilio wakati wanachomwa kwa kweli hayatatuacha salama.. ni kitendo cha kikatili mno ambacho tuliwafanyia hawa viumbe wenzetu ambao kimsingi ni animalia tu kama sisi... Its totally barbaric and brutal
Mie mpaka sasa hiv kila nikiwaza roho inaniuma, nikiwaza maumivu ya moto yalivyo lakini kiumbe kinachomwa hai mpaka kiteketee. Ni ukatili mkubwa sana.
 
Kwa mada hii, hakika bavicha wamefika mwisho wa kufikiri!
 
Mada ni nzuri ila kuna mbweha kutoka ccm wapo humu ili kuutetea huu upuuzi.
 
Ni samaki kiasi gani wanauawa bila hurumq??
Ukiyawaza haya unaweza kuyaona maisha halisi ya mtanzania ndugu yangu
 
Mie mpaka sasa hiv kila nikiwaza roho inaniuma, nikiwaza maumivu ya moto yalivyo lakini kiumbe kinachomwa hai mpaka kiteketee. Ni ukatili mkubwa sana.
Acheni unafiki
Hivi unafikiri ni samaki wangapi wanakufa kwa kuchomwa maji, kukaangwa kwenye mafuta na wengine hufa kwa kunyimwa makazi yao na kisha miili yao huteketezwa kwa manufaa yenu?
Ni mbuzi wangapi tena wengine wakiacha watoto wao wakiwa mayatima kwa kuchinjwa nchi nzima??
Ni ng'ombe wangapi wanaoteketea kwa ajilo ya matumbo yenu??
Ni bata wangapi hupoteza mama zao na baba zao kisa tu nyinyi binadamu mmehalalisha kwa kula bata batani??



Huruma ya hivyo vifaranga imetoka wapi??
Hatima ya hivyo vifaranga endapo vingekuwa ingekuwaje?? Au vingeuka kuwa wapiga kura??


Acheni unafiki watanzania

Toeni ya moyoni kwa kumchafua mtu kwa sababu zenu sio kuzingizia huruma kwa vifaranga asee
 
Lazma uchumi wetu ulindwe.

Ila approach iwekwe sawa. Pia haki za wanyama zilindwe. . ni ukatili kuwachoma wanyama kama ng'ombe na mbuzi kwa chapa ya moto kisa eti tunawaweka alama ya utambuzi. Wanyama wanauguza vidonda kwa maumivu makubwa. Tofauti ya wanyama na binadamu itabaki tu kuwa wanyama hawana akili , wanatumia sirika ila binadamu ana akili. Lugha au kuongea si kigezo kwa kuwa kila mnyama au kiumbe ana lugha na ishara yake. Ivo kuchoma kifaranga au kuwaweka nembo wanyama hata ikiwapo sheria ya nchi itakuwa ovu na mbaya!
 


Hata binadamu naye ni mnyama, kwa iyo unaona uhalali kwa kuwa uovu unatendeka?
Best prictice iliyopo lazma iebdelee kuwapo bila queer excuses. Kama unashangaa ili je ni kwa nn serikali inachoma nyavu za wavuvi wanaovuna samaki wachanga ila wanakubali kuvua masamaki mkubwa? Je kukataza kusafirisha mali ghafi ? Je kwa kukataza kusafirisha mchanga makinikia ila madini yanayotokana na huo mchanga sawa tu kusafirisha? Kutokata misitu ila kukata miti kwa ajili ya kupata karatasi? Je kukataza kusupply baadhi ya madawa ya kulevya ila baadhi ya hayo madawa kutumika hospitali kwa ajili ya kulewesha watu kwa ganzi?

Kwa kusema vifaranga kufa uzeeni mwake hajustify kuviua untimely, and brutally. Pia Tanzania ni kosa kumtesa kuku mfano wakati unampeleka sokoni japo inajulikana hata ukimfikisha sokoni salama ataenda kufa hotelini kama Supu.
 
Unafiki upi?? Ushawahi kumkaanga samaki akiwa mzima????? Au ushawahi kumchoma mbuzi akiwa hai??? Acha undezi wewe roho mbaya imekujaa mpaka haouni tofauti ya kilicho hai na kilicho kufa.
 
Kama S.A walirudisha chakula chenye sumu kilicho faa kwa binadam swala mnyama ni HATARI SANA na siyo UNGWANA .. Bora wange destroy hiyo bidha Hatarishi
 
Unafiki upi?? Ushawahi kumkaanga samaki akiwa mzima????? Au ushawahi kumchoma mbuzi akiwa hai??? Acha undezi wewe roho mbaya imekujaa mpaka haouni tofauti ya kilicho hai na kilicho kufa.
Walipondwa na kesho yake walichomwa moto.
 
South Africa walifanya vibaya sana kurudisha viaza vienye kiwango kikubwa cha sumu.
WANGEVI DESTROY PAPO HAPO, WANGEKUWA WAMETENDA HAKI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…