GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
CCM ni Chama cha Siasa.Walisema gesi ndio mwarubaini wa tatizo la umeme
Baadae wakasema bwawa la Nyerere ndio suluhu
Leo wanasema wana mpango wa kununua umeme Ethiopia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ni Chama cha Siasa.Walisema gesi ndio mwarubaini wa tatizo la umeme
Baadae wakasema bwawa la Nyerere ndio suluhu
Leo wanasema wana mpango wa kununua umeme Ethiopia!
Sijui nani anaeishauri serikali mambo ya kipuuzi hivi..wkt hatuna bwawa hatukua tunanunua umeme...limejengwa bwawa tunanunua umeme...😇😇😇😇Sana yani kutoka kutaka kuwa wauzaji wa umeme hadi kununua umeme, ila siasa!
Hii ni Serikali sugu sana na sijui lini itaamka katika usingizi mzito .Ukitaka maendeleo katika nchi yako jambo la mwanzo ni ENERGY ENERGY ENERGY pamoja na Maji hawzi kuja INVESTOR kuja kuwekeza ikiwa vitu hivo viwili hakuna .Tanzania inalenga kuongeza upatikanaji wa nishati ya umeme nchini kufuatia mpango wa kuanza kununua nishati hiyo kutoka Ethiopia.
Tayari mamlaka za nishati kutoka nchi hizo mbili zipo kwenue meza ya majadiliano kukubaliana kuhusu vifungu, vigezo na masharti ya makubaliana hayo ya miaka 20.
Katika makubaliano hayo, shirika la umeme la Ethiopia litakuwa linaiuzia Tanzania nishati ya umeme, kupitia shirika la TANESCO.
Kwa kuanzia, Tanzania inalenga kununua Megawati 100 za umeme kutoka Ethiopia, baada ya kukamiliaka kwa majadiliano ya awali.
" Lengo la mpango huu ni kuunganisha mradi wa umeme wa Afrika Mashariki na ule wa Kusini mwa Afrika, ambapo Tanzania itakuwa katikati ya miradi hiyo miwili. Kukamilika kwa huu mpango kutafanikisha kuuziana umeme kati ya nchi za Afrika Mashariki na zile za Kusini mwa Afrika." anaeleza Mhandisi Innocent Luoga, Kamishna wa Umeme wa Nishati Jadilifu, kutoka wizara ya nishati nchini Tanzania.
"Mambo yote hayo yapo kwenye hatua za majadiliano ambayo hujulikana kitapları kama "Wheeling Charges Agreement." amesisitiza Luoga.
Kulingana na kamishna huyo, mkubaliano yakikamilika, Ethiopia itaanza kuiuzia umeme Tanzania.
Kupitia mradi huo pia Tanzania itakuwa imejitosheleza katika nishati ya umeme na hivyo kuwa na uwezo wa kuiuzia tena Ethiopia au nchi yoyote katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Chanzo TRT Afrika
Kufa kwa Magufuli kumeongeza mianya ya upigaji serikalini.Maelezo hayajanyooka. Ikumbukwe na sisi bwawa la Nyerere likikamilika tutakuwa na umeme mwingi kuliko matumizi
Chura yupi? Unamaanisha chura kiziwi?Huyu ndio CHURA ninae mjua mm. Yy kukesha kwenye kigodoro siku 3. Ndio anacho weza zaidi.
All the best
Au sio?😁Hamia Burundi
Umeitika vyema, maana hii ni sawa na hadithi za Sungura na Fisi.Ehee
Maelezo hayajanyooka. Ikumbukwe na sisi bwawa la Nyerere likikamilika tutakuwa na umeme mwingi kuliko matumizi