NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 1,323
- 1,608
Ukiwauliza TANESCO watakuambia haiwezekani tununue umeme kwa bei iliyopo sasa. Lengo wanataka tuminywe mpaka basi.
Inakuwaje wanasema wamezima mitambo ya kufua umeme kwa kutumia gas, kwa kuwa umeme umekuwa mwingi matumizi machache, na leo hii wanunue umeme kutoka nje?
Nakumbuka kuna jamaa alisema umeme wa bwawa la Nyerere sio wetu ni biashara watafaidi mataifa jirani, nimeanza kuamini.
Inakuwaje wanasema wamezima mitambo ya kufua umeme kwa kutumia gas, kwa kuwa umeme umekuwa mwingi matumizi machache, na leo hii wanunue umeme kutoka nje?
Nakumbuka kuna jamaa alisema umeme wa bwawa la Nyerere sio wetu ni biashara watafaidi mataifa jirani, nimeanza kuamini.