Tanzania kuanza kununua umeme kutoka Ethiopia

Si tulikubaliana sisi ndio tutakaowauzia majirani baada ya mwlm Nyerere dam kukamilika ?
Vipi Tena gear inabadilika angani mbona
 
Hii ni Serikali sugu sana na sijui lini itaamka katika usingizi mzito .Ukitaka maendeleo katika nchi yako jambo la mwanzo ni ENERGY ENERGY ENERGY pamoja na Maji hawzi kuja INVESTOR kuja kuwekeza ikiwa vitu hivo viwili hakuna .
Raisi Samia Suluhu Jenga kinu cha NUCLEAR ndio solution ya umeme Tanzania na mwengine utwauzia Kenya Uganda na Burundi na wote huo ndio muarubaini.Tatizo viongozi wetu hawana VISION.
 
Huyu ndio CHURA ninae mjua mm. Yy kukesha kwenye kigodoro siku 3. Ndio anacho weza zaidi.
All the best
 
Wakati wa gesi tulisema tutauza umeme stigula ilipokuwa inataka kujegwa tukaambiwa pia tutauza umeme sasa hayo mambo ya kununua umeme sijui yanatokea wapi Kwa kweli hii nchi inakatisha tamaa kabisa.
 
Maji wanayotumia Ethiopia kuzalisha umeme ni ya mto nile ambayo chanzo chake ni ziwa Victoria lililopo Tanzania, tunaenda kununua umeme kwao
 
Yani tunnunue Umeme kutoka Ethiopia alafu baadae tena tuwauzie ? Ivi ni mimi tu ndo sijaelewa au
 
Si walisema sisi ndio tuna umeme rahisi kuliko nchi yoyote Afrika hii. Sasa tunakwenda kununua tuliyo ghari?
 
Umeitika vyema, maana hii ni sawa na hadithi za Sungura na Fisi.

Ccm wameshajihakikishia kwamba watanzania ni wakupeleka wapendavyo..maana hawahoji chocolate.
 
Maelezo hayajanyooka. Ikumbukwe na sisi bwawa la Nyerere likikamilika tutakuwa na umeme mwingi kuliko matumizi

Ukiona mna umeme mwingi kuliko matumizi, kimbia upesi. Hiyo nchi itakuwa ya watu wanaobeti tu. Hawana wanachozalisha
 
Mnatuchanganya hasa wimbo unaoimbwa wa bwana la mwalimu Nyerere. Umeme wa nini tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…