rumplelstiltskin
JF-Expert Member
- Jul 27, 2020
- 232
- 339
- Thread starter
- #21
Tatizo wa Tanzania wengi hawapendi vitu vya kwao utumwa upo kwenye dam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😲Kuzalisha sukari kumewashinda mnazungumzia smart phone? Hotel za ndani zinawashinda mmezigeuza hostel za wanafunzi
Tuache utani kwenyw mambo ya msingi
👍Tatizo wa Tanzania wengi hawapendi vitu vya kwao utumwa upo kwenye dam
Ngurdoro Hotel hii hii ninayoifahamu mimi eti ndiyo inakuwa Hostel za chuo cha IAA. Aisee, masikhara haya!!Kama vipi mkuu jifanye mwanafunze ukajitwalie kachumba kako pale fasta kwa laki nne ili uamini
Ngurdoto ilikufa tangu 2017 mkuu, ilibaki kama golf, ni bora hata wamepata akili ya kuweka hostel atilist pataonekana pana uhaiNgurdoro Hotel hii hii ninayoifahamu mimi ndiyo inakuwa Hostel za IAA.
Daah mkuu kwa kweli inabidi nikupitie ili twende zetu tukajitwalie vyumba kila mtu na cha kwake kwa mwaka mzima.
Itakua tanzania ya viwanda, sio hii unayoishi weweTanzania gani?
Hii hii nayo ishi mimi?
Wewe Ni sawasawa na mke anae mdharau mume wake kisa hajui kuvaa vizuri, hamninihii vizuri, hampi hela nyingi etcKuzalisha sukari kumewashinda mnazungumzia smart phone? Hotel za ndani zinawashinda mmezigeuza hostel za wanafunzi
Tuache utani kwenyw mambo ya msingi
Ccm huwa hawapendi kuambiwa ukweli, Sukari tunanunua 4500 kilo wakati tuna viwanda na tunalima miwq, face this reality bruh, kubalini kushauriwa na wananchi, anzeni kutatua haya madogo yanayowasumbua wananchi kabla hajatutengenezea simuWewe Ni sawasawa na mke anae mdharau mume wake.
Mhudumie mume nae atakua Kama hao wa nje unaowatamani
Tanzania kuanza kutengeneza smartphone
vi-wonderItakua tanzania ya viwanda, sio hii unayoishi wewe
wee jamaa bana 🤣🤣🤣🤣Ndio maana siku hizi wachekeshaji hawapati hela sababu kuna wanasiasa wamedandia fani zao
Duuh sukari 4500?!! Wapi huko mkuu hebu nipe tenda hiyo nije kupiga hela mzigo upo wa kutosha.Ccm huwa hawapendi kuambiwa ukweli, Sukari tunanunua 4500 kilo wakati tuna viwanda na tunalima miwq, face this reality bruh, kubalini kushauriwa na wananchi, anzeni kutatua haya madogo yanayowasumbua wananchi kabla hajatutengenezea simu
Haki nimechekaNahisi wachina washaona fursa kwetu mazuzu,lol, me,i'm happy itagenerate jobs hata kama ni tano..lol