Zegreaty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,253
- 1,056
Hatuwezi kuanza upya bila waliosababisha haya wasichukuliwe hatua stahikiKuna Kiongozi Kijana wa Burkina Faso, ukisogea mpaka Mali, Niger wao Kwa Sasa wanavunja mikataba ya kinyonyaji ya mabeberu.
Kuanza Upya sio Ujinga... Madini hayaozi, Kulipa Billion hizo, lkn Madini yakabaki salama, na yakachimbwa Kwa Mkataba wenye Masilahi na Nchi, kipi Bora??.
Kama huna GPA ya kuanzia walau 3.5 Chuo Kikuu, huwezi kunielewa.