Tanzania kuilipa Indiana Resources Ltd Bilioni 237 baada ya kuvunja mkataba mwaka 2018. Yatanguliza Bilioni 92

Tanzania kuilipa Indiana Resources Ltd Bilioni 237 baada ya kuvunja mkataba mwaka 2018. Yatanguliza Bilioni 92

Kuna Kiongozi Kijana wa Burkina Faso, ukisogea mpaka Mali, Niger wao Kwa Sasa wanavunja mikataba ya kinyonyaji ya mabeberu.


Kuanza Upya sio Ujinga... Madini hayaozi, Kulipa Billion hizo, lkn Madini yakabaki salama, na yakachimbwa Kwa Mkataba wenye Masilahi na Nchi, kipi Bora??.

Kama huna GPA ya kuanzia walau 3.5 Chuo Kikuu, huwezi kunielewa.
Alafu hyo GPA ya 3.5 inategemea ni course gani.
 
Tuna li rais la hovyo sana awamu hii.utakubalije kulipa fidia wakati hiyo kampuni ilikiuka masharti mengi tu.Nchi imekuwa shamba la bibi.Shida sana kurithisha majitu ambayo hayakujiandaa kuwa rais
Hii kesi ilikuwa Mahakamani na ikaamukiwa zilipwe zaidi ya hiyo but Tzn ikaomba wayamalize Nje ya mahakama Sasa hapa Rais anahusikaje?

Rais unaemuita wa hovyo ndio alivunja mkataba 2018? Kwa nini hayo makosa yasitajwe na mawakili huko Mahakamani Ili Nchi isiingie kwenye hasara?

Siku nyingine mtambue sio Kila mtu mtamuonea.
 
My Take: Kama Nchi ingesubiria na kutangaza kwamba haitaongeza mda wa leseni by 2020 basi mradi hodhi ungerejea Serikalini bila kulipa fidia yeyote.

Akili ni nywele kama huna wenya nazo wataendelea kutunyoa Kwa msumeno👇👇

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1817816422967283892?t=ZiFJBtaw090kP6suFvic7g&s=19

Sasa hivi hizi ndo dili za Abduli na mama yake... wanatafuta wadai wa serikali kwa nguvu ili wavute haya mabilioni...

Nimeikumbuka Riwaya ya KULI 'Lakini yana mwisho'
 

Attachments

  • IMG-20240729-WA0003.jpg
    IMG-20240729-WA0003.jpg
    26.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom