Tanzania kuilipa Indiana Resources Ltd Bilioni 237 baada ya kuvunja mkataba mwaka 2018. Yatanguliza Bilioni 92

Tanzania kuilipa Indiana Resources Ltd Bilioni 237 baada ya kuvunja mkataba mwaka 2018. Yatanguliza Bilioni 92

Tanzania Yakubali Kulipa Bilioni 237 ya Fidia Kwa Kuvunja Mkataba Mwaka 2018. Yatanguliza Bilioni 92
Tanzania na kampuni ya uchimbaji madini kutoka Australia, Indiana Resource Limited zimefikia makubaliano ya fidia ambapo Tanzania itailipa kampuni hiyo dola za kimarekani milioni 90 kutokana na kuvunja makubaliano katika Mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill uliopo mkoani Lindi. Tanzania imeshatanguliza malipo ya awamu ya kwanza ya dola milioni 35 sawa na bilioni 92.

Haya yameelezwa leo Julai 29,2024 katika taarifa iliyotolewa na kampuni ya Indiana Resouces ambayo inaeleza kuwa kampuni hiyo imekubali kupokea ofa ya Tanzania ya dola milioni 90 sawa na bilioni 237, kiwango ambacho ni kidogo kuliko kile cha awali ambacho Tanzania kiliamriwa kulipa na Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID).

Mnamo Julai 14, 2023, Tanzania ilitakiwa kuilipa kampuni ya Indiana Resources Ltd, dola milioni 109 ambazo ni sawa na takribani shilingi bilioni 250 baada ya kituo hicho kujiridhisha uwepo wa ukiukwaji wa mkataba wa uwekezaji katika Mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill.

Kampuni hiyo imeeleza kuwa imeamua kukubali kiwango hicho kupunguza mzigo wa gharama utakaotokana na kuendelea na ubishano katika vyombo mbalimbali vya kisheria. Katika makubaliano hayo Tanzania itatakiwa kumalizia kiwango kilichobaki kwa awamu mbili, ambapo mpaka Oktoba 24 itatakiwa kulipa dola milioni 25 na ifikapo Machi 30,2025, itatakiwa kulipa dola milioni 30.

SOURCE: THE CHANZO
 
Tanzania Yakubali Kulipa Bilioni 237 ya Fidia Kwa Kuvunja Mkataba Mwaka 2018. Yatanguliza Bilioni 92
Tanzania na kampuni ya uchimbaji madini kutoka Australia, Indiana Resource Limited zimefikia makubaliano ya fidia ambapo Tanzania itailipa kampuni hiyo dola za kimarekani milioni 90 kutokana na kuvunja makubaliano katika Mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill uliopo mkoani Lindi. Tanzania imeshatanguliza malipo ya awamu ya kwanza ya dola milioni 35 sawa na bilioni 92.

Haya yameelezwa leo Julai 29,2024 katika taarifa iliyotolewa na kampuni ya Indiana Resouces ambayo inaeleza kuwa kampuni hiyo imekubali kupokea ofa ya Tanzania ya dola milioni 90 sawa na bilioni 237, kiwango ambacho ni kidogo kuliko kile cha awali ambacho Tanzania kiliamriwa kulipa na Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID).

Mnamo Julai 14, 2023, Tanzania ilitakiwa kuilipa kampuni ya Indiana Resources Ltd, dola milioni 109 ambazo ni sawa na takribani shilingi bilioni 250 baada ya kituo hicho kujiridhisha uwepo wa ukiukwaji wa mkataba wa uwekezaji katika Mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill.

Kampuni hiyo imeeleza kuwa imeamua kukubali kiwango hicho kupunguza mzigo wa gharama utakaotokana na kuendelea na ubishano katika vyombo mbalimbali vya kisheria. Katika makubaliano hayo Tanzania itatakiwa kumalizia kiwango kilichobaki kwa awamu mbili, ambapo mpaka Oktoba 24 itatakiwa kulipa dola milioni 25 na ifikapo Machi 30,2025, itatakiwa kulipa dola milioni 30.

SOURCE: THE CHANZO

Hapa aina za kina Etwege ni kupita juu kwa juu wakijisemea hiiiiiiii iiiii!

Hapo wakidhani kuwa huo ndiyo uzalendo sasa, pasipokuwa na neno lolote la laana kwa wale waliotufikisha hapa.

Bure kabisa!
 
Kuna mtu alikuwa bogus sana lakini kuna mazezeta eti ndiyo wanamsifia!
Bogus ni wewe ni kizazi chako chote. Huna chochote cha kujivunia zaidi ya umasikini na ujinga . Jinga, jinga,jinga kwenye maisha yako yote . Kufa jinga wewe
 
Tanzania Yakubali Kulipa Bilioni 237 ya Fidia Kwa Kuvunja Mkataba Mwaka 2018. Yatanguliza Bilioni 92
Tanzania na kampuni ya uchimbaji madini kutoka Australia, Indiana Resource Limited zimefikia makubaliano ya fidia ambapo Tanzania itailipa kampuni hiyo dola za kimarekani milioni 90 kutokana na kuvunja makubaliano katika Mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill uliopo mkoani Lindi. Tanzania imeshatanguliza malipo ya awamu ya kwanza ya dola milioni 35 sawa na bilioni 92.

Haya yameelezwa leo Julai 29,2024 katika taarifa iliyotolewa na kampuni ya Indiana Resouces ambayo inaeleza kuwa kampuni hiyo imekubali kupokea ofa ya Tanzania ya dola milioni 90 sawa na bilioni 237, kiwango ambacho ni kidogo kuliko kile cha awali ambacho Tanzania kiliamriwa kulipa na Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID).

Mnamo Julai 14, 2023, Tanzania ilitakiwa kuilipa kampuni ya Indiana Resources Ltd, dola milioni 109 ambazo ni sawa na takribani shilingi bilioni 250 baada ya kituo hicho kujiridhisha uwepo wa ukiukwaji wa mkataba wa uwekezaji katika Mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill.

Kampuni hiyo imeeleza kuwa imeamua kukubali kiwango hicho kupunguza mzigo wa gharama utakaotokana na kuendelea na ubishano katika vyombo mbalimbali vya kisheria. Katika makubaliano hayo Tanzania itatakiwa kumalizia kiwango kilichobaki kwa awamu mbili, ambapo mpaka Oktoba 24 itatakiwa kulipa dola milioni 25 na ifikapo Machi 30,2025, itatakiwa kulipa dola milioni 30.

SOURCE: THE CHANZO
Hayo yote ni makosa ya kukurupuka kwa mwendazake kwa kujificha kwenye kivuli cha uzalendo 237bn, zinatosha kujenga hospitali tano za rufa na kuwekea madawa.......
 
Sasa hivi Nchi inapigiwa madili ya kufa mtu kwa kisingizio cha Mwendazake alikosea !
Watoto wa mjini wako kazini na madili ya kufa mtu kwa kisingizio cha Mwendazake. 😳😱

Yana mwisho hayo !
Just a matter of time !
 
Vipigo kila kukicha.

Meanwhile...
ph_30468_111097.jpg


Wakati huo huo Wapigaji wanatuona Mafala
👇
black-happy.gif
 
Si ndiyo maana utasikia wakandarasi wanemnunulia Samia helicopter.
Ni kwa sababu ya hii mikataba yao. Haitakiwi kuvunjwa ikishasainiwa. Kwa hiyo mkandarasi anakuwa mungu mdogo na Samia anastahili kuipata helicopter.
 
Kuna Kiongozi Kijana wa Burkina Faso, ukisogea mpaka Mali, Niger wao Kwa Sasa wanavunja mikataba ya kinyonyaji ya mabeberu.


Kuanza Upya sio Ujinga... Madini hayaozi, Kulipa Billion hizo, lkn Madini yakabaki salama, na yakachimbwa Kwa Mkataba wenye Masilahi na Nchi, kipi Bora??.

Kama huna GPA ya kuanzia walau 3.5 Chuo Kikuu, huwezi kunielewa.
We naye akili kama za JPM tu, kama kuna kitu umefanyiwa sio sawa si unafungua shauri huko ICSID, MIGA or popote ambapo unapata attention ya Arbitration.

Sasa leseni inaisha 2020, unapata shida gani kuacha leseni imalize miaka 2 bila kuingia gharama yoyote? Haya madini ya thamani ya billion 500 alafu tunalipa fidia ya billion 300 sasa hata tukichimba leo tutafidiaje hiyo hasara?

Reasoning kama ya JPM no wonder tulishindwa kesi kama nyie ndio think tanks wa nchi
 
Hizi ni rushwa za wakubwa, hiyo kampuni utakuta ni ya wazawa haswa wenye asili ya India
Hivyo hivyo kama ile Richmond tuliambiwa kampuni ya Marekani kumbe ni kijana wa kiasia aliyekuwa na kiofisi cha kupigia simu za kimataifa kupitia Internet pale nyuma ya Key’s Hotel mnazi mmoja.
Jamaa alikuwa anakusanya mia tano tano kwa ajili ya simu na pia wanaojifunza kompyuta 😂🙄😳

Ghafla eti akawa ni mmarekani mwenye Richmond LLC 🤣😱
 
Back
Top Bottom