Hatuwezi kuanza upya bila waliosababisha haya wasichukuliwe hatua stahikiKuna Kiongozi Kijana wa Burkina Faso, ukisogea mpaka Mali, Niger wao Kwa Sasa wanavunja mikataba ya kinyonyaji ya mabeberu.
Kuanza Upya sio Ujinga... Madini hayaozi, Kulipa Billion hizo, lkn Madini yakabaki salama, na yakachimbwa Kwa Mkataba wenye Masilahi na Nchi, kipi Bora??.
Kama huna GPA ya kuanzia walau 3.5 Chuo Kikuu, huwezi kunielewa.
Alipoambiwa yale makaratasi ni proffeserial rubbish alidhani ametukanwa.Changamoto ya TAML ni kuongea kwa sauti "kali" ila yenye ukweli.Jiwe alikuwa mzigo wa chuma kwa watanzania.
Mkuu, hivi madini hayaishi? na kama yanaisha huoni kwamba tuna honga/poteza bure tu hizo dola kwa kukosa ufahamu?I smell something....huu ni upigaji..anyway...wacha tuwalipe..fedha zitaisha na madini yatabaki..
Mezani wamekaa watu na vibwengo kujadili jambo.Unadhani nani ataeleweka?Wange negotiate nao tu
Ova
Bila shaka sasa unaiona nafasi ya watetezi nguli kama Adv. Mwabukusi!My Take: Kama Nchi ingesubiria na kutangaza kwamba haitaongeza mda wa leseni by 2020 basi mradi hodhi ungerejea Serikalini bila kulipa fidia yeyote.
Akili ni nywele kama huna wenya nazo wataendelea kutunyoa Kwa msumeno👇👇
View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1817816422967283892?t=ZiFJBtaw090kP6suFvic7g&s=19
Kwenye negotiations nchi hii kuna shida aise,isije ikawa huko wanawapeleka watu kama wakina steve nyerere mwijaku bongo movie typeMezani wamekaa watu na vibwengo kujadili jambo.Unadhani nani ataeleweka?
Hata Mwendazake mlimuita mtetezi nguli wa Rasilimali zenu ila haya ndio matokeo ya maamuzi ya mihemkoBila shaka sasa unaiona nafasi ya watetezi nguli kama Adv. Mwabukusi!
Huwa nadhani kuna jambo fiche mawazoni mwao.Mtu mzima kasomeshwa na kuitumikia nchi zaidi ya robo karne halafu anashindwa kusimamia na kutetea mambo ya wazi kabisa.Hujuma hii.Kwenye negotiations nchi hii kuna shida aise,isije ikawa huko wanawapeleka watu kama wakina steve nyerere mwijaku bongo movie type
Ova
My Take: Kama Nchi ingesubiria na kutangaza kwamba haitaongeza mda wa leseni by 2020 basi mradi hodhi ungerejea Serikalini bila kulipa fidia yeyote.
Akili ni nywele kama huna wenya nazo wataendelea kutunyoa Kwa msumeno👇👇
View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1817816422967283892?t=ZiFJBtaw090kP6suFvic7g&s=19
Mwendazake hakuwa na leadership skills zozote. Nadhani ni kutokana na asili au makuzi yake!Hata Mwendazake mlimuita mtetezi nguli wa Rasilimali zenu ila haya ndio matokeo ya maamuzi ya mihemko
Angeshirikisha,huwezi jua Kila kituMwendazake hakuwa na leadership skills zozote. Nadhani ni kutokana na asili au makuzi yake!
Kiongozi anashirikisha... Shujaa Mtawala ana dharau!Angeshirikisha,huwezi jua Kila kitu
Mwenye akili ni huyu anayeuza kila kitu.Kuna mtu alikuwa bogus sana lakini kuna mazezeta eti ndiyo wanamsifia!
Angetuchemshia mawe na kuyafunika kwa kutuambia tusubiri matobholwa yaive napo tungempopoa ile ngumu.Mwenye akili ni huyu anayeuza kila kitu.